Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #21
Sio kweli Mbowe and Lissu is the best combination to have this eraWakati huo Mbowe akilamba Asali. Tundu Lissu tu ndo anahangaika namna hii kuwasha moto. Mbowe anaogopa kuiudhi CCM.
Ndio hapo sasa.Mbona swali lako limekaa kimboga mboga? Anyway ngoja nikujibu Kwa swali,
Wewe unaweza kuishi bila mdomo?
Tena ikulu mpya ipo hapo dodoma,,,, Lazima jirani wa hapo Singida aende akai blessπ π π
Moto huu na ule wa Mpanda lazima waibuke.
Unlike poles repelMbona inakataa hii 'combination'
π π π sio kwa Mwigulu hana uwezo binafsi wa kuongoza Nchi. Hapo amefika kwa kubebwa tu.Tena ikulu mpya ipo hapo dodoma,,,, Lazima jirani wa hapo Singida aende akai bless
π π π sio kwa Mwigulu hana uwezo binafsi wa kuongoza Nchi amefika hapo kwa kubebwa tuTena ikulu mpya ipo hapo dodoma,,,, Lazima jirani wa hapo Singida aende akai bless
Inaweza tu ikawekwa remote kama mambo yanavyoenda sasa,,,, uzuri tumeshajua kwamba linawezekanaπ π π sio kwa Mwigulu hana uwezo binafsi wa kuongoza Nchi. Hapo amefika kwa kubebwa tu.
Safi sana.View attachment 2637162
Picha | TABORA Mjini, jioni ya leo (27/05/2023)
View attachment 2637164
Picha | TABORA Mjini, jioni ya leo (27/05/2023)
View attachment 2637169
Video | Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Mhe. #freemanmbowetz alifika Tabora Mjini leo 27.05.2023 kwa ajili ya kuzindua Oparesheni #255KatibaMpya. Alipokelewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. #TunduALissu ambaye aliongoza mikutano mingine minne katika mkoa huo asubuhi. Oparesheni #255KatibaMpya ni kampeni ya CHADEMA ya kutaka katiba mpya ya Tanzania.
π π π we jamaa mzushi sanaInaweza tu ikawekwa remote kama mambo yanavyoenda sasa,,,, uzuri tumeshajua kwamba linawezekana
ππππbwana wee akili za weekendπ π π we jamaa mzushi sana
This is serious political bussness
Zikichagizwa na matapu tapuππππbwana wee akili za weekend
Ila akiwekwa Mwigulu nampigia kura na mataputapu yangu asubuhi kabisaZikichagizwa na matapu tapu
Sawa bwana chaguo ni lakoIla akiwekwa Mwigulu nampigia kura na mataputapu yangu asubuhi kabisa
INabidi tufanye hivi kwa sababu hali tete.Kitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.
Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.
Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.
Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.
Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezemani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.
Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.
Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.
Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
Kombi hai balance kabisaaaa π π πMbona inakataa hii 'combination'
Mwigulu mtoto wa mjini anajua kula na kipofu,, mtaalam wa kubadili gia angani na alishaanza kua rais wa mawe na madaraja basi atakua jiwe mwingine
Lissu ni ShujaaKitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.
Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.
Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.
Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.
Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezemani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.
Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.
Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.
Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
Nimekubali 100%