Tetesi: Moto wafukuta ndani ya kikao cha kamati kuu ya CHADEMA

Tetesi: Moto wafukuta ndani ya kikao cha kamati kuu ya CHADEMA

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
305
Reaction score
728
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 uongozi wa Chadema ulitangaza kususia kupokea ruzuku kutoka Serikalini ikiwemo ruzuku ambayo walistahili kupata kupitia Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho kwa madai kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki pamoja na kudai kuwa mchakato wa upatikanaji wa wabunge hao wa viti maalum ulikuwa batili.

Cha kushangaza ni kwamba, kupitia taarifa za ndani ya Chadema zinaeleza kuwa katika kikao cha Kamati kuu cha chama hicho kilichoanza kufanyika jana (17/09/2022) ambacho mpaka sasa kinaendelea. Freeman Mbowe na John Mnyika walitoa azimio la kutaka kuanza kudai ruzuku kwa serikali ambayo awali waliisusia, jambo ambalo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo hawajakubaliana nalo kwa kuwa wanaona kufanya hivyo ni kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kuhusu uchuguzi mkuu wa 2020 pamoja Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho.

Kinachoendelea kupitia suala hilo ni tamaa ya Freeman Mbowe na John Mnyika juu fedha za ruzuku, jambo ambalo linaleta maswali mengi kwa wajumbe wengine wa kamati hiyo, kuwa fedha hizo zikianza kupokelewa zitatumika kwa ajili ya maendeleo ya chama hicho au zitatumika kwa maslahi binafsi ya viongozi hao? , Je kupitia suala hilo Chadema inakwenda kuwatambua rasmi akina Halima Mdee na wenzake kama wabunge wake halali?

Endapo Chadema itakuja na azimio la kudai ruzuku baada ya kikao hicho itakuwa ni jambo la kushangaza sana kwa sababu hapo awali Freeman Mbowe alitamba kuwa chama hicho kitaweza kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka Serikalini. Nukuu: "Tulivyoacha kupokea ruzuku walidhani tusingeweza kujiendesha hata kwa mwezi mmoja, walidhani kwamba Chadema inajiendesha kwa ruzuku pekee ya serikali bila kusahau Chadema inaendeshwa kwa akili, maarifa na upendo"-Freeman Mbowe.

Chadema haiaminiki.
 
Ruzuku ni haki yao, tuliwaambia nyani hasusiwi shamba la mahindi! Sometimes Chadema wanatembea na upepo kuliko vision yao.

Mbowe kama anataka kurudisha nguvu ya umma upya apange safu zake na kuondoa makundi ambayo chanzo chake kilianza kuelekea uchaguzi wa 2015.

Warejeshe think tanks kwenye maeneo nyeti ili chama kiende kwa mipango na nidhamu badala ya hisia za viongozi na wanachama maarufu huko Twitter.

Chama kirejee kwenye kutoa dira za kila changamoto, sera na mipango badala ya watu kusubiri tweets binafsi za akina Lema.
 
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 uongozi wa Chadema ulitangaza kususia kupokea ruzuku kutoka Serikalini ikiwemo ruzuku ambayo walistahili kupata kupitia Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho kwa madai kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki pamoja na kudai kuwa mchakato wa upatikanaji wa wabunge hao wa viti maalum ulikuwa batili.

Cha kushangaza ni kwamba, kupitia taarifa za ndani ya Chadema zinaeleza kuwa katika kikao cha Kamati kuu cha chama hicho kilichoanza kufanyika jana (17/09/2022) ambacho mpaka sasa kinaendelea. Freeman Mbowe na John Mnyika walitoa azimio la kutaka kuanza kudai ruzuku kwa serikali ambayo awali waliisusia, jambo ambalo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo hawajakubaliana nalo kwa kuwa wanaona kufanya hivyo ni kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kuhusu uchuguzi mkuu wa 2020 pamoja Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho.

Kinachoendelea kupitia suala hilo ni tamaa ya Freeman Mbowe na John Mnyika juu fedha za ruzuku, jambo ambalo linaleta maswali mengi kwa wajumbe wengine wa kamati hiyo, kuwa fedha hizo zikianza kupokelewa zitatumika kwa ajili ya maendeleo ya chama hicho au zitatumika kwa maslahi binafsi ya viongozi hao? , Je kupitia suala hilo Chadema inakwenda kuwatambua rasmi akina Halima Mdee na wenzake kama wabunge wake halali?

Endapo Chadema itakuja na azimio la kudai ruzuku baada ya kikao hicho itakuwa ni jambo la kushangaza sana kwa sababu hapo awali Freeman Mbowe alitamba kuwa chama hicho kitaweza kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka Serikalini. Nukuu: "Tulivyoacha kupokea ruzuku walidhani tusingeweza kujiendesha hata kwa mwezi mmoja, walidhani kwamba Chadema inajiendesha kwa ruzuku pekee ya serikali bila kusahau Chadema inaendeshwa kwa akili, maarifa na upendo"-Freeman Mbowe.

Chadema haiaminiki.
Mnapata taabu sana...Chadema haina hiyo njaa na Tunajadili mambò tofauti ķabisa....
 
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 uongozi wa Chadema ulitangaza kususia kupokea ruzuku kutoka Serikalini ikiwemo ruzuku ambayo walistahili kupata kupitia Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho kwa madai kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki pamoja na kudai kuwa mchakato wa upatikanaji wa wabunge hao wa viti maalum ulikuwa batili.

Cha kushangaza ni kwamba, kupitia taarifa za ndani ya Chadema zinaeleza kuwa katika kikao cha Kamati kuu cha chama hicho kilichoanza kufanyika jana (17/09/2022) ambacho mpaka sasa kinaendelea. Freeman Mbowe na John Mnyika walitoa azimio la kutaka kuanza kudai ruzuku kwa serikali ambayo awali waliisusia, jambo ambalo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo hawajakubaliana nalo kwa kuwa wanaona kufanya hivyo ni kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kuhusu uchuguzi mkuu wa 2020 pamoja Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho.

Kinachoendelea kupitia suala hilo ni tamaa ya Freeman Mbowe na John Mnyika juu fedha za ruzuku, jambo ambalo linaleta maswali mengi kwa wajumbe wengine wa kamati hiyo, kuwa fedha hizo zikianza kupokelewa zitatumika kwa ajili ya maendeleo ya chama hicho au zitatumika kwa maslahi binafsi ya viongozi hao? , Je kupitia suala hilo Chadema inakwenda kuwatambua rasmi akina Halima Mdee na wenzake kama wabunge wake halali?

Endapo Chadema itakuja na azimio la kudai ruzuku baada ya kikao hicho itakuwa ni jambo la kushangaza sana kwa sababu hapo awali Freeman Mbowe alitamba kuwa chama hicho kitaweza kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka Serikalini. Nukuu: "Tulivyoacha kupokea ruzuku walidhani tusingeweza kujiendesha hata kwa mwezi mmoja, walidhani kwamba Chadema inajiendesha kwa ruzuku pekee ya serikali bila kusahau Chadema inaendeshwa kwa akili, maarifa na upendo"-Freeman Mbowe.

Chadema haiaminiki.
Tatizo sio ruzuku bali ni kuhusu hatima ya Godbless Lema ambae anataka uenyekiti baada ya Mzee Mbowe kumaliza muda wake 2024.Mbowe na genge lake wanataka kuendeleza utamaduni wa kurithiana ila kundi linaongoza na wasio wana Machame na hswa Mchungaji Msigwa ndio wanapinga hatua yoyote ile ya mzee Mbowe kutaka kuhakisha ya kuwa Godbless Lema anakuwa Mwenyekiti wa Chama
 
Ni haki yao kwani kura walizopata zinawabeba kuipata hiyo ruzuko.
Kuna vyama vinaitani ingekuwa yao kwa uhitaji ni mkubwa kuendana na ukata uliopo
 
Tatizo sio ruzuku bali ni kuhusu hatima ya Godbless Lema ambae anataka uenyekiti baada ya Mzee Mbowe kumaliza muda wake 2024.Mbowe na genge lake wanataka kuendeleza utamaduni wa kurithiana ila kundi linaongoza na wasio wana Machame na hswa Mchungaji Msigwa ndio wanapinga hatua yoyote ile ya mzee Mbowe kutaka kuhakisha ya kuwa Godbless Lema anakuwa Mwenyekiti wa Chama
Kwa ushauri hii nafasi inafaa Heche
 
Tatizo sio ruzuku bali ni kuhusu hatima ya Godbless Lema ambae anataka uenyekiti baada ya Mzee Mbowe kumaliza muda wake 2024.Mbowe na genge lake wanataka kuendeleza utamaduni wa kurithiana ila kundi linaongoza na wasio wana Machame na hswa Mchungaji Msigwa ndio wanapinga hatua yoyote ile ya mzee Mbowe kutaka kuhakisha ya kuwa Godbless Lema anakuwa Mwenyekiti wa Chama
Ulosoma mpaka darasa langapi? Mbona hujui kujieleza kwa kiwqngo hiki? Sitsangaa ukiniambia una masters
 
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 uongozi wa Chadema ulitangaza kususia kupokea ruzuku kutoka Serikalini ikiwemo ruzuku ambayo walistahili kupata kupitia Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho kwa madai kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki pamoja na kudai kuwa mchakato wa upatikanaji wa wabunge hao wa viti maalum ulikuwa batili.

Cha kushangaza ni kwamba, kupitia taarifa za ndani ya Chadema zinaeleza kuwa katika kikao cha Kamati kuu cha chama hicho kilichoanza kufanyika jana (17/09/2022) ambacho mpaka sasa kinaendelea. Freeman Mbowe na John Mnyika walitoa azimio la kutaka kuanza kudai ruzuku kwa serikali ambayo awali waliisusia, jambo ambalo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo hawajakubaliana nalo kwa kuwa wanaona kufanya hivyo ni kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kuhusu uchuguzi mkuu wa 2020 pamoja Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho.

Kinachoendelea kupitia suala hilo ni tamaa ya Freeman Mbowe na John Mnyika juu fedha za ruzuku, jambo ambalo linaleta maswali mengi kwa wajumbe wengine wa kamati hiyo, kuwa fedha hizo zikianza kupokelewa zitatumika kwa ajili ya maendeleo ya chama hicho au zitatumika kwa maslahi binafsi ya viongozi hao? , Je kupitia suala hilo Chadema inakwenda kuwatambua rasmi akina Halima Mdee na wenzake kama wabunge wake halali?

Endapo Chadema itakuja na azimio la kudai ruzuku baada ya kikao hicho itakuwa ni jambo la kushangaza sana kwa sababu hapo awali Freeman Mbowe alitamba kuwa chama hicho kitaweza kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka Serikalini. Nukuu: "Tulivyoacha kupokea ruzuku walidhani tusingeweza kujiendesha hata kwa mwezi mmoja, walidhani kwamba Chadema inajiendesha kwa ruzuku pekee ya serikali bila kusahau Chadema inaendeshwa kwa akili, maarifa na upendo"-Freeman Mbowe.

Chadema haiaminiki.
Wewe ni mbwa nini? Sasa kama wewe kila siku humu unatamba kuwatambua covid 19 kama wabunge wa chadema inakuwaje leo ushangae ruzuku? Mbwa wewe
 
Haya maswala ya ruzuku ni ya kuyafutilia mbali.

Hatuwezi tumia kodi za wananchi kuwapa watu pesa wakazichezee kwa mambo ya anasa kama siasa.

Kila chama cha siasa kiwe na vyanzo vyake vya mapato ambayo ni donations toka kwa wapenzi wa vyama hivyo na wanachama.

Hizo fedha zikafanye mambo mengine ya msingi.
 
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 uongozi wa Chadema ulitangaza kususia kupokea ruzuku kutoka Serikalini ikiwemo ruzuku ambayo walistahili kupata kupitia Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho kwa madai kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki pamoja na kudai kuwa mchakato wa upatikanaji wa wabunge hao wa viti maalum ulikuwa batili.

Cha kushangaza ni kwamba, kupitia taarifa za ndani ya Chadema zinaeleza kuwa katika kikao cha Kamati kuu cha chama hicho kilichoanza kufanyika jana (17/09/2022) ambacho mpaka sasa kinaendelea. Freeman Mbowe na John Mnyika walitoa azimio la kutaka kuanza kudai ruzuku kwa serikali ambayo awali waliisusia, jambo ambalo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo hawajakubaliana nalo kwa kuwa wanaona kufanya hivyo ni kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kuhusu uchuguzi mkuu wa 2020 pamoja Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho.

Kinachoendelea kupitia suala hilo ni tamaa ya Freeman Mbowe na John Mnyika juu fedha za ruzuku, jambo ambalo linaleta maswali mengi kwa wajumbe wengine wa kamati hiyo, kuwa fedha hizo zikianza kupokelewa zitatumika kwa ajili ya maendeleo ya chama hicho au zitatumika kwa maslahi binafsi ya viongozi hao? , Je kupitia suala hilo Chadema inakwenda kuwatambua rasmi akina Halima Mdee na wenzake kama wabunge wake halali?

Endapo Chadema itakuja na azimio la kudai ruzuku baada ya kikao hicho itakuwa ni jambo la kushangaza sana kwa sababu hapo awali Freeman Mbowe alitamba kuwa chama hicho kitaweza kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka Serikalini. Nukuu: "Tulivyoacha kupokea ruzuku walidhani tusingeweza kujiendesha hata kwa mwezi mmoja, walidhani kwamba Chadema inajiendesha kwa ruzuku pekee ya serikali bila kusahau Chadema inaendeshwa kwa akili, maarifa na upendo"-Freeman Mbowe.

Chadema haiaminiki.
mavi uharo
 
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 uongozi wa Chadema ulitangaza kususia kupokea ruzuku kutoka Serikalini ikiwemo ruzuku ambayo walistahili kupata kupitia Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho kwa madai kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki pamoja na kudai kuwa mchakato wa upatikanaji wa wabunge hao wa viti maalum ulikuwa batili.

Cha kushangaza ni kwamba, kupitia taarifa za ndani ya Chadema zinaeleza kuwa katika kikao cha Kamati kuu cha chama hicho kilichoanza kufanyika jana (17/09/2022) ambacho mpaka sasa kinaendelea. Freeman Mbowe na John Mnyika walitoa azimio la kutaka kuanza kudai ruzuku kwa serikali ambayo awali waliisusia, jambo ambalo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo hawajakubaliana nalo kwa kuwa wanaona kufanya hivyo ni kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kuhusu uchuguzi mkuu wa 2020 pamoja Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho.

Kinachoendelea kupitia suala hilo ni tamaa ya Freeman Mbowe na John Mnyika juu fedha za ruzuku, jambo ambalo linaleta maswali mengi kwa wajumbe wengine wa kamati hiyo, kuwa fedha hizo zikianza kupokelewa zitatumika kwa ajili ya maendeleo ya chama hicho au zitatumika kwa maslahi binafsi ya viongozi hao? , Je kupitia suala hilo Chadema inakwenda kuwatambua rasmi akina Halima Mdee na wenzake kama wabunge wake halali?

Endapo Chadema itakuja na azimio la kudai ruzuku baada ya kikao hicho itakuwa ni jambo la kushangaza sana kwa sababu hapo awali Freeman Mbowe alitamba kuwa chama hicho kitaweza kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka Serikalini. Nukuu: "Tulivyoacha kupokea ruzuku walidhani tusingeweza kujiendesha hata kwa mwezi mmoja, walidhani kwamba Chadema inajiendesha kwa ruzuku pekee ya serikali bila kusahau Chadema inaendeshwa kwa akili, maarifa na upendo"-Freeman Mbowe.

Chadema haiaminiki.
Bora kufa maskini kuliko fedhea, hakuna Cha kuchukua ruzuku hapa
 
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 uongozi wa Chadema ulitangaza kususia kupokea ruzuku kutoka Serikalini ikiwemo ruzuku ambayo walistahili kupata kupitia Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho kwa madai kuwa uchaguzi huo haukuwa huru na wa haki pamoja na kudai kuwa mchakato wa upatikanaji wa wabunge hao wa viti maalum ulikuwa batili.

Cha kushangaza ni kwamba, kupitia taarifa za ndani ya Chadema zinaeleza kuwa katika kikao cha Kamati kuu cha chama hicho kilichoanza kufanyika jana (17/09/2022) ambacho mpaka sasa kinaendelea. Freeman Mbowe na John Mnyika walitoa azimio la kutaka kuanza kudai ruzuku kwa serikali ambayo awali waliisusia, jambo ambalo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo hawajakubaliana nalo kwa kuwa wanaona kufanya hivyo ni kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kuhusu uchuguzi mkuu wa 2020 pamoja Wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho.

Kinachoendelea kupitia suala hilo ni tamaa ya Freeman Mbowe na John Mnyika juu fedha za ruzuku, jambo ambalo linaleta maswali mengi kwa wajumbe wengine wa kamati hiyo, kuwa fedha hizo zikianza kupokelewa zitatumika kwa ajili ya maendeleo ya chama hicho au zitatumika kwa maslahi binafsi ya viongozi hao? , Je kupitia suala hilo Chadema inakwenda kuwatambua rasmi akina Halima Mdee na wenzake kama wabunge wake halali?

Endapo Chadema itakuja na azimio la kudai ruzuku baada ya kikao hicho itakuwa ni jambo la kushangaza sana kwa sababu hapo awali Freeman Mbowe alitamba kuwa chama hicho kitaweza kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka Serikalini. Nukuu: "Tulivyoacha kupokea ruzuku walidhani tusingeweza kujiendesha hata kwa mwezi mmoja, walidhani kwamba Chadema inajiendesha kwa ruzuku pekee ya serikali bila kusahau Chadema inaendeshwa kwa akili, maarifa na upendo"-Freeman Mbowe.

Chadema haiaminiki.
Hizi "Tetesi" wewe umezipata wapi?

Kama Mbowe na Mnyika ndio wanaopigania ruzuku, maana yake ni kwamba wale 19 ni wabunge waliopata baraka za hawa viongozi. Hapatakuwa na tafsiri nyingine yoyote.

'Credibility' ni kila kitu kwa chama na viongozi hawa. Watakuwa wamejimaliza na kukimaliza chama chao kwa uamzi wa kuchukua haramu hiyo.
CHADEMA haitakuwa na tofauti yoyote na CUF na vyama vingine kama hivyo.
 
Back
Top Bottom