Moto warudi tena Soko Kuu la Kariakoo

Moto warudi tena Soko Kuu la Kariakoo

Mbona hiyo timu ipo, Soma Sheria ya wakala wa usimamizi wa maafa, 2014

7.-(1) Kutakuwa na Baraza la Usimamizi wa Maafa Tanzania.
(2) Baraza litaundwa na wajumbe wafuatao-
(a) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana ya
Usimamizi wa maafa ambaye atakuwa
Mwenyekiti;
(b) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana ya ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye atakuwa Makamu wa Mwenyekiti;
(c) Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali;
(d) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana ya mamlaka na tawala za mikoa na serikali za mitaa;
(e) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na fedha;
(f) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na afya na ustawi wa jamii;
(g) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na
mawasiliano;
(h) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na
mazingira;
(i) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na
Kilimo; na
(j) Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Hali ya
Hewa Tanzania.
Kwenye makaratasi kila kitu kipo🤣
Kuna watu wanapata hela za bure bure
 
Hapo ndio huwa wahenga wananichanganya Sana methali zao
Ahaha ..mkuu hivi umeshawahi kusikia mtu Kafa kifo cha Moto porini?

Sasa hiko hivi;km ukiwa porini na Moto mkali unawaka,unachopaswa kufanya ni kuwasha Moto mwingine.Ule Moto wa zamani ukifika pale ulipowasha Moto mpya unakuwa hauna mwendelezo,Kwa hiyo unazimika automatically bila kutumia nguvu

Kisha unaondoka kibabe huku unasema,dawa ya moto ni moto!!
 
Ahaha ..mkuu hivi umeshawahi kusikia mtu Kafa kifo cha Moto porini?

Sasa hiko hivi;km ukiwa porini na Moto mkali unawaka,unachopaswa kufanya ni kuwasha Moto mwingine.Ule Moto wa zamani ukifika pale ulipowasha Moto mpya unakuwa hauna mwendelezo,Kwa hiyo unazimika automatically bila kutumia nguvu

Kisha unaondoka kibabe huku unasema,dawa ya moto ni moto!!
Vp huu wa kariakoo wauswashie wap ili ukutane na huo

Umenikumbusha BUSH MAN
 
Tunayo Idara kabisa Ila mambo ndio hayo Mkuu

Inasikitisha sana, kwa janga kama hili limewavua nguo hio idara, clearly hiki kikundi cha zimamoto HAKIJUI jinsi ya kudeal na moto.... nahisi kungekua na mtu mwenye technical skills anayetangulia kwenye tukio,ambae ndio atadetermine huo moto utadhibitiwa vipi, kama ni magari ya maji ni mangapi yafike, upande gani uanze kuzimwa etc... Sio kuja tu na maji na kuanza kuzima, it should be done strategically,,,,, sipendi kulaumu sikua kwenye tukio lakini baadhi ya mambo ni uzembe..... kama tatizo ni kukosa maji then hili lilitakiwa liwe calculated before, na jinsi ya kuli mitigate .......
 
Kuna muda Unaweza kutamani kua Patriot wa nchi yako ila ukiangalia mifumo na uendeshaji wa serikali unaamua tu kutulia. Mm naamini wakazi wa bara hili tuna laana fulani hivi [emoji849]
Yaani hakuna jambo hata moja tunaloweza kulifanya kwa ufanisi kabisa kabisa. Kwa nini lakini tuko hivi? Kwa nini tuko hivi watu weusi?
 
Yaani hakuna jambo hata moja tunaloweza kulifanya kwa ufanisi kabisa kabisa. Kwa nini lakini tuko hivi? Kwa nini tuko hivi watu weusi?
Kwakweli hua nashangaa sijui shida ni nini wananchi chenga tupu, basi hata hao viongozi Mungu aliowachagua watuongoze wao ndio wapuuzi kabisa. Nadhani kikubwa kinachotusumbua ni umimi, tamaa na ubinafsi wa materials things. Mtu yupo Tayari atelekeze mladi wa zahanati kijijini hela yote abebe aweke mfukoni....Tunakosa Vision tunajijali sisi tu tunaoishi leo hatutaki kujua kesho wajukuu zetu wataishije maana tutakua tushakufa so haituhusu.

Sasa shida ni ubinafsi na Tamaa tuangalie ni kipi sasa kinachofanya tunakua wabinafsi hivyo bila kuwajali wenzetu??? Sio matatizo ya nchi moja bali bara zima tunafanana matatizo
 
Back
Top Bottom