Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tofauti kati ya sumu na dawa. Dawa hufanya kitu husika kirudi kwenye uimara ama ubora zaidi ya pale. Sumu hufanya kitu kife kipotee ama kipunguze ubora wa mwanzo. Moto unaofifia unatakiwa uuletee dawa ambayo nayo nimoto. Ila moto uliozidi unatakiwa uuletee sumu ambayo ni majiHapo ndio huwa wahenga wananichanganya Sana methali zao
Kuna uwezekano kabisa kuwa fedha zinatengwa,Tunayo Idara kabisa Ila mambo ndio hayo Mkuu
Andengenye alisaini dili bora kabisa kupata ufadhili wa vifaa vya kisasa na mafunzo, akapigwa chiniSiyo huduma za moto peke yake ni kila kitu. Imagine mtu ndiyo umepata heart attack au stroke. Ambulance mpaka ikakufikie ni kazi. Na ikifika si ajabu ikawa mbovu au ikaishiwa mafuta njiani. Na paramedics waliomo humo wanaweza wasije na kifaa hata kimoja. Kwa hizi huduma aisee wenzetu huko duniani wametuzidi sana. Moto kama huo dakika 5 tu wameshafika na mamitambo ya kila aina. Hata huwa sielewi tatizo letu ni nini yaani.
Heee!!!View attachment 1850015
Inasemekana moto umerudi tena Soko kuu la kariakoo, bado zoezi la uzimaji moto katika Soko hilo linaendelea baada ya sehemu ambazo zilizimwa moto kufuka moshi na kuanza tena.
SOURCE:ITV
Ushirikina upo kila sehem lakini sio sababu ya kuushikilia bango. Hapa kuna namna inayoleta shida...lazima tutafute sababu ya tatiz holoHapa kuna namna na kuna ushirikina unafanyika sio bure watafutwe wazee Mara moja
Hapana mzee mle ndani hasa juu kule kuna nafaka, sasa kama unayajua marando yale wanayokaangia chips Yakiwaka moto utazima kwa maji juu ila chini moto unaendelea kuwepo ndo same na hiyo.Hapa kuna namna na kuna ushirikina unafanyika sio bure watafutwe wazee Mara moja
Pale Kariakoo kule shimoni kuna lango la kuzimu ukipata habari za kule zinatisha sanaHapa kuna namna na kuna ushirikina unafanyika sio bure watafutwe wazee Mara moja
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] so funny walahiVery funny and interesting kama ni kweli na hilo tuliweke kwenye maajabu au tujenge sanamu la moto.
Hili tatizo dogo sana. Wamuone mzee Mpili wa yangaHapa kuna namna na kuna ushirikina unafanyika sio bure watafutwe wazee Mara moja
Jamaa wanakula tu posho ila magari hayana maji mpaka wayafate AirportMbona hiyo timu ipo, Soma Sheria ya wakala wa usimamizi wa maafa, 2014
7.-(1) Kutakuwa na Baraza la Usimamizi wa Maafa Tanzania.
(2) Baraza litaundwa na wajumbe wafuatao-
(a) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana ya
Usimamizi wa maafa ambaye atakuwa
Mwenyekiti;
(b) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana ya ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye atakuwa Makamu wa Mwenyekiti;
(c) Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali;
(d) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana ya mamlaka na tawala za mikoa na serikali za mitaa;
(e) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na fedha;
(f) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na afya na ustawi wa jamii;
(g) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na
mawasiliano;
(h) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na
mazingira;
(i) Katibu Mkuu Wizara yenye dhamana na
Kilimo; na
(j) Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Hali ya
Hewa Tanzania.
Kwenye makaratasi kila kitu kipo🤣
Na sio kwamba kibunda hatuna chakununua iyo nitambo ila ni uzembe wa serikali yetuSiyo huduma za moto peke yake ni kila kitu. Imagine mtu ndiyo umepata heart attack au stroke. Ambulance mpaka ikakufikie ni kazi. Na ikifika si ajabu ikawa mbovu au ikaishiwa mafuta njiani.
Na paramedics waliomo humo wanaweza wasije na kifaa hata kimoja. Kwa hizi huduma aisee wenzetu huko duniani wametuzidi sana. Moto kama huo dakika 5 tu wameshafika na mamitambo ya kila aina. Hata huwa sielewi tatizo letu ni nini yaani.
Moto kuzuka tena eneo lililokuwa na moto halafu ukazimwa ni kitu cha kawaida sana. Inakuwa kuna sehemu bado zinawaka kwa ndani.Mambo ya ndagu hayo