Moto warudi tena Soko Kuu la Kariakoo

Nilibahatika kupita hayo maeneo Leo asubuhi palikua Pana Moshi na harufu Kali mno.

Madhara yalikua makubwa.
 
Hapo ndio huwa wahenga wananichanganya Sana methali zao
Kuna tofauti kati ya sumu na dawa. Dawa hufanya kitu husika kirudi kwenye uimara ama ubora zaidi ya pale. Sumu hufanya kitu kife kipotee ama kipunguze ubora wa mwanzo. Moto unaofifia unatakiwa uuletee dawa ambayo nayo nimoto. Ila moto uliozidi unatakiwa uuletee sumu ambayo ni maji

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Andengenye alisaini dili bora kabisa kupata ufadhili wa vifaa vya kisasa na mafunzo, akapigwa chini
 
Hapa kuna namna na kuna ushirikina unafanyika sio bure watafutwe wazee Mara moja
Ushirikina upo kila sehem lakini sio sababu ya kuushikilia bango. Hapa kuna namna inayoleta shida...lazima tutafute sababu ya tatiz holo
 
Hapa kuna namna na kuna ushirikina unafanyika sio bure watafutwe wazee Mara moja
Hapana mzee mle ndani hasa juu kule kuna nafaka, sasa kama unayajua marando yale wanayokaangia chips Yakiwaka moto utazima kwa maji juu ila chini moto unaendelea kuwepo ndo same na hiyo.

Magunia ya nafaka ndiyo yanasababisha hiyo hali wala sio hchawi.
 
Hapo timu moja lazima ihamie mkoani.....
Au wazee wa Dabi dabi wanasemaje?
 
Hivi Ina ruhisiwa kuwa na kampuni binafsi ya uzimaji Moto na uokoaji? Wajuzi tafadhali mnijuze.
 
Hiyo lazima maana kuna bidhaa unakuta hazikufikiwa na moto awali ila jivu halikupata maji ya kulizima hivyo linaunda moto taratibu hadi ulivyokolea tena
 
Jamaa wanakula tu posho ila magari hayana maji mpaka wayafate Airport
 
Na sio kwamba kibunda hatuna chakununua iyo nitambo ila ni uzembe wa serikali yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…