Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Na ndiyomaana wameambiwa style zao zinafanana kama mchele wa Basmat
Hawa jamaa kila mtu akiamua kufanya muziki wake watachange ila usela mwingi pale.
Kuna zile pigo za mwana katutenga pale hiyo ndio itawazikia palepale yaan.
 
Soon cholo brighter atamuua Motra kupitia beat ya mtazano ngoma tume ipitika kikosi kazi tuka bariki itoke sisi hatuwezi mjibu motra atajibiwa na watoto wenzake
Mmh aisee jamaa motra atajuta[emoji23]
 
Montra ametisha mnoo kwenye hii dis truck yake ..nimemuelewa sana huku

Kikosi kazi wamechanwa mnoo
 
Hamna best diss hapo
 
Huwa nacheka sana eti g-nako naye mwana hip hop mistari yake mashudu matupu yaani ilimradi anaflow,kile anachokiandika hata mimi layman kwenye game naweza andika na nikaingia studio kurekodi,hii game imeharibiwa sana na watangazaji na ma dj njaa
Toa Dude ....tunalisubiri
 
Kama Hip Hop mashabiki wake wengi ndio hivi basi safari ipo tena si fupi ni ndeefu ya Karne nzima.
 
Alichokifanya Cortex ni uwezo binafsi ambao sio kila Mc naweza, kwa muda mfupi tu tangu motra kaachia diss jamaa katoa bars kali za kumjibu ambazo mimi naweza kusema ni freestyle

Pengine hata yeye motra amepata uoga kujibu kutokana na kwamba huwenda ilimchukua muda mrefu kuandika hiyo diss, sasa anapokuja ku battle na metrix anaingiwa na uoga maana jamaa ni kama ana waiter wa mistari anafanya kuagiza tu
 
Kama anamuona motra ni mkali basi aje humu tu battle kwa freestyle tuone kama hatujamkalisha

Mex kaua na motra akijitusu kujibu tu amekwishaaa, nilimsikia kwenye interview yake jana mpaka anajichanganya, mwanzo alisema kawa inspired na tamaduni music baadaye akakanusha
 
Sema unataka tumchane motra au jinako, nimtembezee sindano za ndonga au za tako?.../
 
Amekekuja na Povu jingi la utambulisho😀😀😀😀😀 kumbe wa 2000.
Watu tumeanza enzi hizo unasaka mziki kwenye AM.90 Kweusi..hawa ndio wanawaponza Vijana wenzao wanalala njaa kisa Kuimbia mtaa.

Watu wanawekeza huko wao wanaishia kuimbia mtaa sasa sijui ni mitaa ipi hasa.

Huku tulipo wanamjua Diamond na Jeshi.

Haya majina mengine ukitaja wanajua Mota za Boti .
Vijana wakue kiakili watengeneze pesa.Wanadanganywa na hizi mambo.
 
Ushawahi kuona wapi mtu anarekodi diss track 2 kabla hata hajajibiwa???
Vita ni vita, mara nyingi anayefanya hivyo anakuwa anajiamini kuwa mpinzani wake hamuwezi... mbona Drake alivyokuwa anapambana na Meek Mill alitoa kwanza Charged up halafu kabla hata Meek Mill hajapumua akammalizia na Back 2 Back tena alikuwa anamwambia kabisa kwamba nimetoa diss track nyingine kabla hujatoa hata moja kwenye bars zake humo humo
 
Mkuu umemaliza kila kitu

Ma fans wa WEUSI wengi hawaelewi hata chimbuko la bifu limeanzia wapi, wanakurupuka tu na kuanza kuwa attack KKK bila kujua kua weusi ndio walianzisha na jamaa wamekuja kujibu
 
Kwa hiyo WEUSI wametengeneza pesa?

Kwasababu mmoja kateuliwa kuwa DC?
 
Kwa hiyo WEUSI wametengeneza pesa?

Kwasababu mmoja kateuliwa kuwa DC?


UDC umeleta wewe na Pia WEUSI umeandika wewe.

Fikirisha akili wacha kukaa kizembe zembe

Kama point ndogo tu imekushinda unawezaje kuelewa HIP HOP?

Huo ni ufinyu wa akili.Usikurupuke kujibu vitu haraka haraka soma uelewe kwanza.
 
UDC umeleta wewe na Pia WEUSI umeandika wewe.

Fikirisha akili wacha kukaa kizembe zembe

Kama point ndogo tu imekushinda unawezaje kuelewa HIP HOP?

Huo ni ufinyu wa akili.Usikurupuke kujibu vitu haraka haraka soma uelewe kwanza.
Ok
 
Hao weusi wametengeneza pesa zipi mzee!!? Tuoneshe kwa evidence vitu walivyonavyo tuthibitishe kuwa muziki umewalipa,wale wako chini ya mawingu FM wanatengeneza wasanii wenye majina makubwa ila hawana kitu mfukoni ndo maana Maua sama ni msanii mwenye jina kubwa tz ila uliza anamiliki kipi cha maana kusema muziki umemlipa!!!!?the same to weusi wale jamaa hata shows sidhani kama zinawalipa maana nakumbuka mkesha wa Christmas 2019 Joe makini alikuja kupiga show mwanza pale the cask na kiingilio ilikuwa 5000 tu ila huwezi amini watu walioingia hawakuzidi 50.Hao wasanii wako unaowaona wakubwa ni majina tu ila ni choka mbaya because mtaa hauna habari nao

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Ana collabo na davido, collabo na a.k na zote hazina impact

Na kuhusu shows, wasanii wote ambao walikua wanaaminika kama wana mafans wengi wanazidi kuumbuka kila uchao mpaka sasa tunajiuliza hao mashabiki zenu wako wapi kama show zenu ndio hizo

Juzi hapo kawe kwenye show best naso tu katosha kawakalisha wote hao wanaojiona mainstrem na nyimbo zao zipo kwenye rotation mpaka saizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…