Hawa jamaa kila mtu akiamua kufanya muziki wake watachange ila usela mwingi pale.Na ndiyomaana wameambiwa style zao zinafanana kama mchele wa Basmat
Mmh aisee jamaa motra atajuta[emoji23]Soon cholo brighter atamuua Motra kupitia beat ya mtazano ngoma tume ipitika kikosi kazi tuka bariki itoke sisi hatuwezi mjibu motra atajibiwa na watoto wenzake
Hamna best diss hapoDiss Track ya MOTRAA ni the Best Diss haijawahi tokea hapa bongo.
Labda ile ya Roho Saba vs Fid Q ndo inayofuatia.
Hapa bila kupepesa macho kikosi Kazi wamepatwa na mhaho hawajui wajibu nini.
Jana nimepita kwenye page ya Niki mbishi naporomosha tu matusi hahahaha
Toa Dude ....tunalisubiriHuwa nacheka sana eti g-nako naye mwana hip hop mistari yake mashudu matupu yaani ilimradi anaflow,kile anachokiandika hata mimi layman kwenye game naweza andika na nikaingia studio kurekodi,hii game imeharibiwa sana na watangazaji na ma dj njaa
Alichokifanya Cortex ni uwezo binafsi ambao sio kila Mc naweza, kwa muda mfupi tu tangu motra kaachia diss jamaa katoa bars kali za kumjibu ambazo mimi naweza kusema ni freestyleHamna kitu kama hicho!
Mex Cortez kamtolea ya kwanza inaitwa elimisha Mduwanzi. Ya pili ipo jikoni inasubiri kuachiwa tu inaitwa futi 12.
Anamsubiri Motra ajibu, Motra anakazi ya kusema Mex hajajibu na kujigamba kwamba Mex ni mdogo sana kwake!
Mex akamwambia aache uoga!! Kama hajajibu aonyeshe uwezo wake yeye Motra kama mwana hip hop ajibu.
Motra hamuwezi Mex Cortez! Hata thumni bado atasubiri kwa Mex.
Kama anamuona motra ni mkali basi aje humu tu battle kwa freestyle tuone kama hatujamkalishaVyovyote itakavyo tafsiriwa iwee!!
Ila ukweli kwa michano huyo Motra bado kabisa! Iliyombeba ni biti. Mistari yake hata mimi naichora! Yaani kaandika kwa kuunga unga! Kwa àmbaye anauejua mziki wa hip hop hili habishi labda aamue tu kubisha kwa sababu zake nyengine ambazo hazina mashiko.
Uno alikutana na Mex Cortez akamwambia umemskia dogo(Motra)? Mex alikuwa bado hajaisikia ngoma ya Motra. Hapo siku 2 au moja na ½ zimepita. Akaisikiliza.
Mex akamwambia brother Uno tulia huyu niachieni mimi. Mex kufika studio kwake producer hayupo alikuwa ametoka. Yeye mwenyewe anajua kurekodi nyimbo tena alikuwa na haraka na mambo yake mengine..
Akatafuta biti yoyote tu itakayomjia kichwani ndiye ile iliyomjia. Akajirekodi mistari akaandika kwa muda mfupi tu na kumkumbusha dogo alipotoka ingawa anakataa.
Akamwambia AMKIA!!! Hii ngoma kaiita elimisha Mduwanzi!
Nyengine kaiita futi 12!!! Watu si wanazikwa kwa futi 6?! Yeye atamzika Motra kwa 12. Mpaka Jana na Juzi alitaka kuiachia hii ngoma. Anamsubiri Motra ajibu, hajajibu mpaka muda huu.!
Sema unataka tumchane motra au jinako, nimtembezee sindano za ndonga au za tako?.../Chief usipanic.
Motra ni mkali nina uhakika 150% humuwezi kwa style, humuwezi kwa mashairi nk.
(Weka nyimbo yako hapa tukusikie🤣)
Hao kikosi kazi wenyewe bado wanajitafuta hadi wamechoka, miaka inaenda mziki umewapa majina bila pesa na ndiyo maana wanastress na wivu dhidi ya waliofanikiwa ndiyo maana kwao kila mtu ni mmbaya kwao.
Huyo mex hii dis track yake ni malalamiko tu kama kaka zake hana content , hana taarifa za opponent wake amejikuta anafanya diss track utadhani yuko jukwaani anafanya rap battle na mtu aliyekutana naye leo.
Ushawahi kuona wapi mtu anarekodi diss track 2 kabla hata hajajibiwa???
Na kwa taarifa yako hakuna atakaye mjibu kwasababu hii diss track yake haina content.
Style zao zinafanana kama mchele wa basmat 🤣🤣🤣
Amekekuja na Povu jingi la utambulisho😀😀😀😀😀 kumbe wa 2000.Chief nimeishia kusoma hapo uliposema umeanza kufatilia mziki mwaka 2000 😂
Ur still a junior. Mimi nakaa meza moja na Chief Ramson( nowdays anajiita Zavara) yani mc Zaiid nimemuona akizaliwa.
Reference yako ya kina juma nuture na kina inspector Haroun ni expirience ya juzi kabisa bado hainipi sababu ya kukuamini kuwa wewe ni mkali kuliko Motra otherwise weka ngoma yako hapa.
Kusoma vitabu vya mashairi ni jambo moja, na kuyachana hayo mashairi ni jambo lingine.
Kubali-kataa dogo amewachana kwa akili na style kali sana hao mabraza zako na mmeumia kweri-kweri.
Huyu motra labda mumjibu kwa albam mzima 🤣🤣🤣
Vita ni vita, mara nyingi anayefanya hivyo anakuwa anajiamini kuwa mpinzani wake hamuwezi... mbona Drake alivyokuwa anapambana na Meek Mill alitoa kwanza Charged up halafu kabla hata Meek Mill hajapumua akammalizia na Back 2 Back tena alikuwa anamwambia kabisa kwamba nimetoa diss track nyingine kabla hujatoa hata moja kwenye bars zake humo humoUshawahi kuona wapi mtu anarekodi diss track 2 kabla hata hajajibiwa???
Mkuu umemaliza kila kituMwenye hulka ya atakayeiona kwake mambo hayajakaa sawa anakuchana ni Mbishi tu.
Songa hizo hana anafanya mziki wake na mambo yake.
Uno hana anafanya mziki wake na mambo yake.
Mansulii hana haya mambo anafanya mziki wake na mambo yake. Tena Mansulii anafanya Mziki tangu 2003 Sinza. Ushawahi msikia akimsema mtu zaidi ya C Pwaa kusema walichukua biti yake ya Pwaa!
Stereo anafanya mziki wake. Ukimzingua naye anakuchana ila mpaka umzingue.
Azma na wengineo akina Zaaid vivyo hivyo!
Waliyoanza kuwachana ni WEUSI wao wamemalizia kazi tu kama hujui..
Wewe Uarusha unakusumbua tu! Kwani ni nani asiyewajua watu wa Arusha? Mna Usisi. Sina haja ya kukuwekea mashairi ya Mex hapa! Kama watu ambao wapo kwenye hii tasnia ukikaa nao wanasema Mex kaua we nani? Zaidi ya kuleta Uarusha tu?
Eti nini? Hana info za kutosha kuhusu mpinzani wake? Mex kamchana King B Swag wa Sierra Leone (diss track) na jamaa alikaa! Motra yeye nani? Hata kwenye interview Mex àliulizwa swali hili. Jawabu lake ni rahisi tu, ajibu halafu aone kitakachomjia. Yeye Motra si ni mkali? Asiishie kujibu kwenye interview yeye ajibu diss track ya Mex.
Na hakuna aliyepanick. Dogo Amkie..
Kingine sina muda wa kuweka mashairi mzee ila nikikaa namkalisha Vizuri tu Motra.
Kwa hiyo WEUSI wametengeneza pesa?Amekekuja na Povu jingi la utambulisho😀😀😀😀😀 kumbe wa 2000.
Watu tumeanza enzi hizo unasaka mziki kwenye AM.90 Kweusi..hawa ndio wanawaponza Vijana wenzao wanalala njaa kisa Kuimbia mtaa.
Watu wanawekeza huko wao wanaishia kuimbia mtaa sasa sijui ni mitaa ipi hasa.
Huku tulipo wanamjua Diamond na Jeshi.
Haya majina mengine ukitaja wanajua Mota za Boti .
Vijana wakue kiakili watengeneze pesa.Wanadanganywa na hizi mambo.
Kwa hiyo WEUSI wametengeneza pesa?
Kwasababu mmoja kateuliwa kuwa DC?
OkUDC umeleta wewe na Pia WEUSI umeandika wewe.
Fikirisha akili wacha kukaa kizembe zembe
Kama point ndogo tu imekushinda unawezaje kuelewa HIP HOP?
Huo ni ufinyu wa akili.Usikurupuke kujibu vitu haraka haraka soma uelewe kwanza.
Hao weusi wametengeneza pesa zipi mzee!!? Tuoneshe kwa evidence vitu walivyonavyo tuthibitishe kuwa muziki umewalipa,wale wako chini ya mawingu FM wanatengeneza wasanii wenye majina makubwa ila hawana kitu mfukoni ndo maana Maua sama ni msanii mwenye jina kubwa tz ila uliza anamiliki kipi cha maana kusema muziki umemlipa!!!!?the same to weusi wale jamaa hata shows sidhani kama zinawalipa maana nakumbuka mkesha wa Christmas 2019 Joe makini alikuja kupiga show mwanza pale the cask na kiingilio ilikuwa 5000 tu ila huwezi amini watu walioingia hawakuzidi 50.Hao wasanii wako unaowaona wakubwa ni majina tu ila ni choka mbaya because mtaa hauna habari naoAmekekuja na Povu jingi la utambulisho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kumbe wa 2000.
Watu tumeanza enzi hizo unasaka mziki kwenye AM.90 Kweusi..hawa ndio wanawaponza Vijana wenzao wanalala njaa kisa Kuimbia mtaa.
Watu wanawekeza huko wao wanaishia kuimbia mtaa sasa sijui ni mitaa ipi hasa.
Huku tulipo wanamjua Diamond na Jeshi.
Haya majina mengine ukitaja wanajua Mota za Boti .
Vijana wakue kiakili watengeneze pesa.Wanadanganywa na hizi mambo.
Ana collabo na davido, collabo na a.k na zote hazina impactHao weusi wametengeneza pesa zipi mzee!!? Tuoneshe kwa evidence vitu walivyonavyo tuthibitishe kuwa muziki umewalipa,wale wako chini ya mawingu FM wanatengeneza wasanii wenye majina makubwa ila hawana kitu mfukoni ndo maana Maua sama ni msanii mwenye jina kubwa tz ila uliza anamiliki kipi cha maana kusema muziki umemlipa!!!!?the same to weusi wale jamaa hata shows sidhani kama zinawalipa maana nakumbuka mkesha wa Christmas 2019 Joe makini alikuja kupiga show mwanza pale the cask na kiingilio ilikuwa 5000 tu ila huwezi amini watu walioingia hawakuzidi 50.Hao wasanii wako unaowaona wakubwa ni majina tu ila ni choka mbaya because mtaa hauna habari nao
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Songa alisemaNa ndiyomaana wameambiwa style zao zinafanana kama mchele wa Basmat