Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Motra the future na Diss Track dhidi ya Kikosi Kazi awaita kikosi kazi WEUPE

Wewe unawatetea tamaduni lakini ukikaa na kuangalia mziki wao una future yeyote? Miaka mingapi wako kwenye game wameishia kuwaimbia masela Kama nyie ambao mnatoa support mitandaoni kwenye real hampo.
WEUSI hawakuanza kuwadiss hao jamaa. Chokochoko zilikuwa tangu kitambo tu tamaduni walikuwa wanadai WEUSI wanabebwa na Media. Ndio WEUSI wakaamua kuwalipua bas majamaa yakapanick balaa 😂😂 bila ile diss track ya WEUSI hakuna mtu mwenye attention nao ni nyie wachache tu ambao hata kazi zao hamnunui na kwenye media hamrequest ngoma zao. Ndio maana mtu Kama Nash Mc kajikataa zake, Dizasta na yeye yuko kivyake. ..kundi Lina wasanii nane siju kumi ..tangu lini kundi kubwa ivyo likadumu mda mrefu? Hawana maisha marefu Hawa jamaa watapoteana tu
kwani swala la WEUSI kubebwa na media ni uwongo?

Unawafahamu wakali wa media?

Kuna watu waliajiriwa kwenye kitengo cha wakali wa media yani zile message ambazo wadau wanatuma ili ku request ngoma zipigwe zilikua zinawafikia wao.

Hata nyimbo ikiwa requested mara 100 wale majamaa walikua wanabania kuicheza, kwa mtu yeyote anayejua hip hop hawezi kuwafananisha kiuwezo kikosi kazi na weusi
 
Nikk ni MC mkali Nina album zake kadhaa naskizaga ni hatari tupu Ila anaharibu sana ana kipaji Ila anajiona yeye ndio Bora zaid na hiyo ndiyo ujinga wake. Amekuwa na mipasho mingi Hadi Roma kamchana afanye mziki muda unakwenda na wakati wake utapita.

NB: Ni ngumu Sana kwa watu wa A Town kuyielewa hip-hop ya Dar kwa sababu ni vitu viwili tofauti kabisa.
Hip-hop ya Dar ni soft mnoo..
Hip hop ya dar ni soft?

Kama anayoimba nani?

Na hiyo hip hop hardcore ya arusha inaimbwa na nani?
 
Hip hop ya dar ni soft?

Kama anayoimba nani?

Na hiyo hip hop hardcore ya arusha inaimbwa na nani?
Nalisubiri jibu lake mkuu,tatizo watoto wa chuga wanafikiri hip hop ni kukaza sauti peke yake,anitajie msanii yeyote kutoka arusha mwenye punch line ya kusikilizika haiweke hapa.Mcs wa arusha mistari yao ya kawaida sana wala haifikirishi
 
Uliona wapi baba anabishana na mwanae wa kambo ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huwa nacheka sana eti g-nako naye mwana hip hop mistari yake mashudu matupu yaani ilimradi anaflow,kile anachokiandika hata mimi layman kwenye game naweza andika na nikaingia studio kurekodi,hii game imeharibiwa sana na watangazaji na ma dj njaa
 
Huwa nacheka sana eti g-nako naye mwana hip hop mistari yake mashudu matupu yaani ilimradi anaflow,kile anachokiandika hata mimi layman kwenye game naweza andika na nikaingia studio kurekodi,hii game imeharibiwa sana na watangazaji na ma dj njaa
Huwajui watu wa Arusha kwa kujikuta wao ndio wana Hip hop haswaaaa Tanzania nzima, kumbe wanaimba mashudu tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
kwani swala la WEUSI kubebwa na media ni uwongo?

Unawafahamu wakali wa media?

Kuna watu waliajiriwa kwenye kitengo cha wakali wa media yani zile message ambazo wadau wanatuma ili ku request ngoma zipigwe zilikua zinawafikia wao.

Hata nyimbo ikiwa requested mara 100 wale majamaa walikua wanabania kuicheza, kwa mtu yeyote anayejua hip hop hawezi kuwafananisha kiuwezo kikosi kazi na weusi
Wakali WA media ndo walikuwa kina Nani?
 
Soon cholo brighter atamuua Motra kupitia beat ya mtazano ngoma tume ipitika kikosi kazi tuka bariki itoke sisi hatuwezi mjibu motra atajibiwa na watoto wenzake
 
Hii diss track ya jamaa iko sooo lame mzee haijafikia hata 50% ya shit alizotema Motra. Wajipange vizuri.

Halafu naomba kuuliza. P mawenge ile track alisema anahamia weusi ilikuwa ni mockery au alikuwa anamaanisha anajitoa kikosi kazi? Na je mpaka sasa yupo kikosi kazi au yupo mwenyewe?
Mex kaua mzee
mex.tz~p~CXOQz94AYvc~1.jpg
 
Hao KIKOSI kazi wanatafuta namna ya kurudi kwenye game maana bongo makundi ya hip-hop ni mawili tu.
WEUSI waliwapotezea Sasa wanatafuta namna ya kurudi. Bila WEUSI kuwadiss Hawa jamaa watapotea kwenye ramani ya mziki.
Motraa Chali wa nyumbani kabisa kawadiss ..wakijibu Kama kundi watakuwa ni WAPUMBAVU.
P mawenge anasanuka mapema anaona Hana maisha maana machizi wakina ZaiiDyao na mansuli washapotea kwenye game. Uno bado anajikongoja, Nikk mbishi hamuna anayemuelewa na mipasho yake. Stereo Yuko busy na kazi za kuajiriwa ..hivyo hili kundi halieleweki malengo yake ni yapi yani lipo lipo tu. Songa na yeye maji kupwaa maji kujaa.

Bila WEUSI kuwadiss Basi tusahau uwepo wa Hawa jamaa Kama kundi. Kila mtu ataanza kula kona yake.
You know nothing walionzisha beef ni weusi mzee na weusi hawaingii ata robo ya kikosi
 
Wewe unawatetea tamaduni lakini ukikaa na kuangalia mziki wao una future yeyote? Miaka mingapi wako kwenye game wameishia kuwaimbia masela Kama nyie ambao mnatoa support mitandaoni kwenye real hampo.
WEUSI hawakuanza kuwadiss hao jamaa. Chokochoko zilikuwa tangu kitambo tu tamaduni walikuwa wanadai WEUSI wanabebwa na Media. Ndio WEUSI wakaamua kuwalipua bas majamaa yakapanick balaa [emoji23][emoji23] bila ile diss track ya WEUSI hakuna mtu mwenye attention nao ni nyie wachache tu ambao hata kazi zao hamnunui na kwenye media hamrequest ngoma zao. Ndio maana mtu Kama Nash Mc kajikataa zake, Dizasta na yeye yuko kivyake. ..kundi Lina wasanii nane siju kumi ..tangu lini kundi kubwa ivyo likadumu mda mrefu? Hawana maisha marefu Hawa jamaa watapoteana tu
Ndiyo wanafanya kwajiri ya mtaa nyie mnatoa ngoma naDavido lakini inakuwa kama hakuna kilichotokea shameful
 
Back
Top Bottom