William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
1. Wananchi Hawakushirikishwa na Uuundaji wa Katiba Ya sasa:-
Ukweli ni kwamba rasimu ya katiba sasa ilipendekezwa na kuasisiwa na kamati kuu au CC, ya CCM, na mchakato wote wa kupata katiba hii ulifanywa kwa muda wa mwezi mmoja tu! Hivyo hakukuwa na muda wa kukusanya maoni ya wananchi at large, na hasa sisi walalahoi, ndio maana katiba hii ya sasa ina uhalali tu wa kisheria, na kukubalika na nyinyi viongozi wetu wachache tu, lakini haikubaliki na sisi wananchi kwa ujumla.
Ukweli ni kwamba rasimu ya katiba sasa ilipendekezwa na kuasisiwa na kamati kuu au CC, ya CCM, na mchakato wote wa kupata katiba hii ulifanywa kwa muda wa mwezi mmoja tu! Hivyo hakukuwa na muda wa kukusanya maoni ya wananchi at large, na hasa sisi walalahoi, ndio maana katiba hii ya sasa ina uhalali tu wa kisheria, na kukubalika na nyinyi viongozi wetu wachache tu, lakini haikubaliki na sisi wananchi kwa ujumla.