Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana mkuu... hiyo series wameshanisema sana ila sijawahi waskiiza kwa maana haijawahi kunichosha... naweza nikakaa miezi ila kuna siku najikuta tu lushaz lion ananijia kichwani 😂😂😂kuna nyimbo kali sana mule
What is Love-V Bozeman
Startup hawajaimalizia sijui kwanini. Ila mkuu unampenda sana hustle za kutafuta noti, nature ya movie zako zinaakisi ninachokiona kwakoHiyo breaking bad nayo nimeirudia rudia ila sio kama silicon valley na Startup... hivi viseries nimevirudi mara nyingi sana na nyingine huwa sipendagi kuisema sana kwa maana wananiambiaga ya kitoto empire 😆😆😆😆 napendaga tu vipande vya cook lion.
Ila currently niko sana na Gangs of new York pamoja na Billions
Movie kuna after everything nimeiangalia mara nyingi pia kuna the nightcrawler hii movie huwa naipenda sana kwa sababu inahamasisha kwenye upambanaji na namna unavyotakiwa kuwa na maamuzi magumu hasa pale unapokilinda kile ulicho kitengeneza.
Hujakosea mkuu... ndio movie ambazo niko nazo kwa wingi sana.Startup hawajaimalizia sijui kwanini. Ila mkuu unampenda sana hustle za kutafuta noti, nature ya movie zako zinaakisi ninachokiona kwako
Nipe zingine zinazofanana na hizo mkuuHujakosea mkuu... ndio movie ambazo niko nazo kwa wingi sana.
Girl bossNipe zingine zinazofanana na hizo mkuu
Huy alikuwa mroman kama sikosei japo demu wake ndo alikazia iman yake kwa kumzawadia bibleHacksaw Ridge(2016) ya mwanangu msabato.Kila kitu naipa 100.
"Please Lord ,help me get one more"-Desmond Doss.
CHI Mtaa flan hiv Ua nikuue.. Kuna mwana anapenda Viatu huyo.
😂😁😁😁