Movie/Series za kuweka mbali na watoto

Movie/Series za kuweka mbali na watoto

Hiyo Preacher's daughter sikuimalizia story yake ilinichefua,

Frozen Flower wakorea hao balaa walijua kujiachia,

Kwenye Pirates ongezea na Gladiator, hehehehe
Mkuu kama hutojali, Frozen flower inahusu nini hasa, kuna movie naifananisha
 
Mkuu kama hutojali, Frozen flower inahusu nini hasa, kuna movie naifananisha
Mfalme wa Korea alikua ni anashiriki mapenzi ya jinsia moja na mlinzi wake,
Sasa Mfalme akaoa na akatakiwa apate mrithi na yeye hasimamishi ikabidi amwambie Mlinzi wake afanye mapenzi na Malkia ili ampe Mimba,

Shughuli ikaanza hapo maana yule Mlinzi hakuwahi kufanya Mapenzi na Mwanamke Maisha yake yote alikua ni Mpenzi wa Mfalme,

Alivyoonjeshwa na Malkia wakajikuta wote wamenogewa, ikawa tena sio kupeana Mimba bali mahusiano ya Siri,

Unaweza sasa kuendelea.
 
Mfalme wa Korea alikua ni anashiriki mapenzi ya jinsia moja na mlinzi wake,
Sasa Mfalme akaoa na akatakiwa apate mrithi na yeye hasimamishi ikabidi amwambie Mlinzi wake afanye mapenzi na Malkia ili ampe Mimba,

Shughuli ikaanza hapo maana yule Mlinzi hakuwahi kufanya Mapenzi na Mwanamke Maisha yake yote alikua ni Mpenzi wa Mfalme,

Alivyoonjeshwa na Malkia wakajikuta wote wamenogewa, ikawa tena sio kupeana Mimba bali mahusiano ya Siri,

Unaweza sasa kuendelea.
Bibi dada inabidi tutenge siku tucheki wote au unaonaje? Upande wangu aina hizo za movie nimecheki sana
 
Naona hapo mmeorodhesha filamu zenye maudhui ya ngono ngono kwamba hazifai kutazama.ila kuna filamu ambazo ukizitazama hakika zitakuHaribu kisaikolojia kiasi kwamba utaanza kujiuliza maswali kuhusu utu na ubinadamu. Ni filamu ambazo zimepigwa marufuku kuonyeshwa kwenye kumbi za sinema sehemu mbalimbali duniani. Na filamu hizo ni SERBIAN FILM ya 2010 pamoja na SARO:100 days of sodomy.ya 1970s.hizi filamu mbili zimewekwa kwenye category ya experimental film na zinaonyeshwa kwa makundi maalum peke yake.
Ni filamu ambazo hakika zinatia mashaka hata walioigiza waliwezaje kufanya hivyo. ni filamu ambazo sishauri mtu azicheki if you wish watc for ur own mental risk.
Aisee.. hizi movie sio za kuangalia, zina ushetani wa hali ya juu.. ukifanikiwa kumaliza, unabadilika kabisa, unakua na akili za kishwetani shwetani tu.
 
Umeipata wapi namimi niitafute.maana sisi wengine ni tomaso.

Nimeipata kupitia CINEMA HD.

Screenshot_20220420-122839.jpg
 
Back
Top Bottom