Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hebu tutolee ushamba wako hapa,Ukimuona mwanamke anajua movies zote hizi muogope sana tena kama unaweza kukimbia bc Kimbia into the maximum
Mkuu kama hutojali, Frozen flower inahusu nini hasa, kuna movie naifananishaHiyo Preacher's daughter sikuimalizia story yake ilinichefua,
Frozen Flower wakorea hao balaa walijua kujiachia,
Kwenye Pirates ongezea na Gladiator, hehehehe
Mfalme wa Korea alikua ni anashiriki mapenzi ya jinsia moja na mlinzi wake,Mkuu kama hutojali, Frozen flower inahusu nini hasa, kuna movie naifananisha
Kwann wanaume hua mnaangalia movie za lesbians?Blue is the warmest colour
Love (Hii ni noma)
Ubishi kwenye lipi?kuangalia hizo series ama?Ahsante kwa muongozo, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Zina mzuka flani hivi,Kwann wanaume hua mnaangalia movie za lesbians?
Kaitazame na Below her Mouth
Kwa kweli sijui nikwambiaje lakini ni moja kati ya very disturbing film ever made .. [emoji22]Aloooooooo weeeeeeee,hebu tupe hints kidogo about them
Mi dada bana
Bibi dada inabidi tutenge siku tucheki wote au unaonaje? Upande wangu aina hizo za movie nimecheki sanaMfalme wa Korea alikua ni anashiriki mapenzi ya jinsia moja na mlinzi wake,
Sasa Mfalme akaoa na akatakiwa apate mrithi na yeye hasimamishi ikabidi amwambie Mlinzi wake afanye mapenzi na Malkia ili ampe Mimba,
Shughuli ikaanza hapo maana yule Mlinzi hakuwahi kufanya Mapenzi na Mwanamke Maisha yake yote alikua ni Mpenzi wa Mfalme,
Alivyoonjeshwa na Malkia wakajikuta wote wamenogewa, ikawa tena sio kupeana Mimba bali mahusiano ya Siri,
Unaweza sasa kuendelea.
Umeipata wapi namimi niitafute.maana sisi wengine ni tomaso.Ni 100 days au 120 days mkuu...? Unayo link yake hii kiongozi...?
Hiyo Serbian Film ya 2010 nimeipata bado hiyo Salo mkuu.
Thanking you in advance.
Aisee.. hizi movie sio za kuangalia, zina ushetani wa hali ya juu.. ukifanikiwa kumaliza, unabadilika kabisa, unakua na akili za kishwetani shwetani tu.Naona hapo mmeorodhesha filamu zenye maudhui ya ngono ngono kwamba hazifai kutazama.ila kuna filamu ambazo ukizitazama hakika zitakuHaribu kisaikolojia kiasi kwamba utaanza kujiuliza maswali kuhusu utu na ubinadamu. Ni filamu ambazo zimepigwa marufuku kuonyeshwa kwenye kumbi za sinema sehemu mbalimbali duniani. Na filamu hizo ni SERBIAN FILM ya 2010 pamoja na SARO:100 days of sodomy.ya 1970s.hizi filamu mbili zimewekwa kwenye category ya experimental film na zinaonyeshwa kwa makundi maalum peke yake.
Ni filamu ambazo hakika zinatia mashaka hata walioigiza waliwezaje kufanya hivyo. ni filamu ambazo sishauri mtu azicheki if you wish watc for ur own mental risk.
Leta link.Aisee.. hizi movie sio za kuangalia, zina ushetani wa hali ya juu.. ukifanikiwa kumaliza, unabadilika kabisa, unakua na akili za kishwetani shwetani tu.
Umeipata wapi namimi niitafute.maana sisi wengine ni tomaso.
Aisee.. hizi movie sio za kuangalia, zina ushetani wa hali ya juu.. ukifanikiwa kumaliza, unabadilika kabisa, unakua na akili za kishwetani shwetani tu.
Kwani kuna vitu gani mbona mnashindwa kufungukaAisee.. hizi movie sio za kuangalia, zina ushetani wa hali ya juu.. ukifanikiwa kumaliza, unabadilika kabisa, unakua na akili za kishwetani shwetani tu.
Shukrani sana.nimeipata.ngoja nitazame yaliyomo.