Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hata sijajisumbua kuangalia mabunduki yanaumiza macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka hatariiWatu tulisema hapa tukashambuliwa sana na Andrew Tate mpaka tukajiuliza tumemkosea nini huyu jamaa[emoji38][emoji38]
Mimi nilishaanza kuona ushuzi kwenye trailer,nilijua tu muvi itakuwa hovyo. Hizo milioni 473 wangeenda tu kusaidia masikini [emoji23][emoji23][emoji23]
Fafanua haya maelezo yakoTeknolojia iliyotumika ni kubwa kuliko movie yenyewe.
Wachawi hawakosekani kila eneo kamchape lazima awepoMngesema mwekewe NSYUKA basi mfidiwe acheni kuponda sana...dah
Ukiangalia yale maroboti, magari, silaha ni vifaa vikubwa kulilo theme ya movie yenyewe. Yani script ipo simple lakini mavifaa yaliyotumika ni kama movie ya terminator ya Arnold SchwarzeneggerFafanua haya maelezo yako
✍️
Wametumia nguvu nyingi nliona trail nikaona ni upuuzi mtupuNimeingalia movie ya EONII lakini haijanifurahisha kabisaaa. Advertisement waliyofanya AZAM ni kubwa sana lakini movie sifuri. Teknolojia iliyotumika ni kubwa kuliko movie yenyewe.
Characters waliocheza movie wamemezeshwa maneno ya kuongea hata mzuka haupo. Angalau Azam wangetafuta professional actors si hao waliowatumia.
Theme ya movie haieleweki, yani ni vurugu tu. Azam wajipange upya.
HawadharauNakumbuka wakati Azam anaanza kurusha mechi live it was so annoying .kwa sasa wamepata uzoefu na kidogo wanafanya vizuri.
Ngoja niwaambie hao Hollywood tunaowatazama leo na kuwaabudu they had plenty time of trial and error to present perfection.
Tatizo la wabongo kubwa ni kudharau vya kwao, na hii ni athari kubwa ya ukoloni.nawaambia hivi azam ndo wakwetu na first ever movie yenye taste ya sayansi fiction.
Wape muda,wape ushauri na wape nafasi watatushangaza
Sasa si ndio maana ya science fiction mkuu au wewe ulitakaje?Ukiangalia yale maroboti, magari, silaha ni vifaa vikubwa kulilo theme ya movie yenyewe. Yani script ipo simple lakini mavifaa yaliyotumika ni kama movie ya terminator ya Arnold Schwarzenegger
Okay fine, mfano wewe ukiambiwa uonyeshe ni wapi wafanyie maboresho utawaambia waboreshe nini labda ?Hawadharau
Wanakosoa penye mapungufu
Ndo support yenyewe hiyo
Hawawezi wakakosea halafu tuwashangilie eti kwa sababu tu ni movie ya nyumbani.
Penye ukweli ukweli usemwe.
kikubwa mmeshatuchangia elfu 2 yetu.mtajua wenyewe
mpaka uje kushtuka kuwa umepigwa ushanunua tayari.sijui Netflix mtauza shingapi ! Shiling 50 maana viwango ziro