Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Watu tulisema hapa tukashambuliwa sana na Andrew Tate mpaka tukajiuliza tumemkosea nini huyu jamaa[emoji38][emoji38]
Mimi nilishaanza kuona ushuzi kwenye trailer,nilijua tu muvi itakuwa hovyo. Hizo milioni 473 wangeenda tu kusaidia masikini [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa ndio swali langu lipo, wamerudisha pesa yao au imekuwaje...nataka kujua ROI
Mauzo hayawekwi Public au? Kwa anaefahamu tafadhali?