Mowzey Radio tunamlilia, lakini je tunayafahamu haya?

Hizi sifa za marehemu[emoji23] , kabla ya kifo chake sijawahi ona thread inayomuhusu hata1 hapa JF
Kwa hiyo unataka kusemaje ? Mimi im big of the radio , kama unabisha tafuta kazi zake , ww unafikiri watu kama museveni au wizkid wakiandika msg za nzito za maombolezo ni wajinga ? Masupa star wakali wengi tu humu hawana nyuzi , bonjov, scorpion, hakeem olajuwan , stephen nzonzi , chris euban, sade, lennox lewis , chicago, dick & chicks, inni kanuze, vanilla ice, lady namu mariam etc
 
Alipigwa msumari km afanyavyo undertaker kule wwe?
 

Na hivi ndivyo maisha yake yalivyokatika...kikatili sana.
 

Attachments

Masupa staaa wetu wapenda mkono akina Ze Dudu, TID, Chid, Nyoso nk nk jifunzen kitu hapo.
 
Masupa staaa wetu wapenda mkono akina Ze Dudu, TID, Chid, Nyoso nk nk jifunzen kitu hapo.
 
Masupa staaa wetu wapenda mkono akina Ze Dudu, TID, Chid, Nyoso nk nk jifunzen kitu hapo.
 
Masupa staaa wetu wapenda mkono akina Ze Dudu, TID, Chid, Nyoso nk nk jifunzen kitu hapo.
 
Style ya maisha yako ndo style ya kifo chako .R.I.P Mozey Radio,kila mtu ana mapungufu yake hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…