Moyo wa mwanamke pacha wake kuku, wote tiba yao ni vitu

Moyo wa mwanamke pacha wake kuku, wote tiba yao ni vitu

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello mambo JF!

Muda mchache mambo ni mengi, usisumbuke asili ya tamaa ni vitu kama ilivyo kwa mwanamke na kuku, wote tamaa yao huvutwa na mvuto vitu kama afanyavyo kuku.

Hata angeona hatari gani, uchu wake mrushie mchele ndio utajua nguvu ya mchele kwake kuku, vivyo vivyo hivyo mwanamke vyovyote vile kama hawajileti basi fanya mpango wa vitu, usisahau na pesa nayo ni ipo katika vitu.

Pesa ni kilainishi cha upatikanaji wa raha na utamu wa duniani.

Wadiz
 
We Acha hapa napokaa kuna dada anapelekewa moto toka saa sita usiku jana mpaka saizi non stop wanawake salute[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] na bwana wake kasafiri
Huyo Bwana alikosea kuoa
 
We Acha hapa napokaa kuna dada anapelekewa moto toka saa sita usiku jana mpaka saizi non stop wanawake salute🙌🙌🙌🙌 na bwana wake kasafiri
Sema kuoa hapa Tz ni upumbavu hata Mimi hapa Kuna Jamaa anasafiri kikazi lakini mke wake anzagamuliwa hatari na wahuni
 
Vijana wote mnaojisifu kuzagamua wake za watu nyote peponi moja kwa moja maana mmekuwa wa kweli .
Vitoto vya 2000's hamjitambui,kichwani mmejaza misifa ya kijinga. Unajisifu kutembea na wake za watu?

Nakushauri uwe unatembea na mafuta ya Nazi mfukoni ili iwe rahisi kukuzagamua siku mwenyewe Mali akikufuma.
 
Back
Top Bottom