Moyo wa mwanamke pacha wake kuku, wote tiba yao ni vitu

Moyo wa mwanamke pacha wake kuku, wote tiba yao ni vitu

Vitoto vya 2000's hamjitambui,kichwani mmejaza misifa ya kijinga. Unajisifu kutembea na wake za watu?

Nakushauri uwe unatembea na mafuta ya Nazi mfukoni ili iwe rahisi kukuzagamua siku mwenyewe Mali akikufuma.
So hautaki tuzagamue Mkuu hata Kama ni wewe huwezi kuacha kuzagamua.
 
Ivi ni kwa nini mkuu?
Sababu mojawapo ni penye wawili kukosana na unafiki vipo, pia ndoa Ina majukumu kuna kupata na kukosa na mwanamke haamini katika shida, kingine mwanamke ni kiumbe wa mazoea kama anafanya basi anazoea utamu na raha ya kufanya tendo hivyo kiu yake iko karibu na kila anapotoka na mtu anapata raha na chochote kitu ikiwa ni pamoja na faraja.
 
Sababu mojawapo ni penye wawili kukosana na unafiki vipo, pia ndoa Ina majukumu kuna kupata na kukosa na mwanamke haamini katika shida, kingine mwanamke ni kiumbe wa mazoea kama anafanya basi anazoea utamu na raha ya kufanya tendo hivyo kiu yake iko karibu na kila anapotoka na mtu anapata raha na chochote kitu ikiwa ni pamoja na faraja.
Mhm kuna wengne wakishapata ndoa wanafungulia majeshi
 
Mkuu nimeshajiuliza hata mimi ila sijapata jibu aisee.
Wake za watu wamekuwa rahisi kabsa ,kuna mke wa mtu aliniiachia simu yake bahati mbaya nikasoma msg anachati na shoga yake yaan rfki yake wa kike, yani ni ujinga tu mpka nikataka kumsanua mshkaji kumbe na mimi ni mwiz tu [emoji38][emoji1] ikabdi nivunge
 
Mwanamke kuolewa anatafuta kivuli na usalama wa maisha haimfanyi asiwe na akili za kimbuzi na kipaka paka kama wengine, women from their birth and from Eden they are not attached to any man except their devil. A woman creature hanaga permanency na commitment, they always discover mistakes
 
Kwaiyo pesa ni kwa ajili ya kuchezea ili upate uchi unaonuka wa Wanawake watz wasiojitambua mikosi kibao.

Hizo pesa Mimi siwezi kuwapa hata waandamane na siachi kuzagamua wake za watu.
Chief najua hoja kuu mnataka wanawake wabadilike na kurudi kwenye mstari na maadili wayazingatie, ila kidogo tutumie kauli zilizonastaha. Huna haja ya kutukana wanawake wote, unamama na ninamama, tujadili kitu kwa lugha ya staha. Lugha za matusi hivi zinamfanya hata unaetaka kumrekebisha akudharau na asikusikilize. Lugha na maneno aisee!
 
img_1_1677171892632.jpg

Wengine wanataka hela kuliwa hawataki
 
Back
Top Bottom