Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Kweli na mimi leo nimekula cocies hapa ili niweke akili sawa kidogo...Now am feeling dizzy 🀣🀣🀣🀣
Yaani utoke humo JF, maana uchelewi kwenda pm ya max.

kwahiyo mkuu hapo upo high high, burudani kabisa.

ila raha kuvuta dry bangi halafu uchat JF.... πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Interesting
 
Wewe kuna nati imelegea bro!! Humu mishangazi, single maza na mapampula ya kutosha si ujibebeshe moja utulie nalo!
 
Nashangaa naona maandishi yanazidi kuwa madogo 🀣🀣🀣 halafu sioni keyboard yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umedata tayari, weka simu pembeni upaki Basi, ila usiwe unabugia nyingi hivyo ule taratibu.... πŸ€ πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Sema yule demu hakupata Cha ndoa wala nn sema kakukwepa Mwenetu na kasema hatumii tena ID yake means anakuja na ID nyngn changa karata vema
 
Vipo sharp sana hata mm nilikuaga mtoto wa aina Ake nilikuaga napelekwa na mzee kurekebisha tv na issue za ki IT πŸ€“πŸ€“ miaka Ile ya Giza....
 
Hilo pia ilikua ni kingele hakutaka kunipa namba zake! Mawasiliano yetu ni mtandao ni..
Anyways,kwa age yako,achana na hizi attention unazitoa,,wakubwa tukipigwa chini unatulia tuli kama nothing happened unaugulia kimoyomoyo...unapoachwa lazima uwe strong Kama umeacha hiyo ndio principle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…