Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Jifariji jipe moyo jikaze na upambane, kama wewe ndio mpenzio wa kwanza huyo basi hiyo ni trela tu ktk movie mzigo kamili haujaanza.
Ushauri wa bure, acha kuwaza wanawake wazuri, walimshinda hata Samsoni mwamba mnadhuri wa Mungu. Tafuta mwanamke wa kawaida itakupunguzia maumivu japo haiwezi kukuondolea kbs.
 
Screenshot_20230602-160843_(1).png
clepatina 😁😁😁
 
Sawa nikiona mambo ni kizungumkuti naenda tinder kutafuta a beautiful white blond lady [emoji2035] Huwa nawapenda sana hao..
Unayumba. Akijua unaingiaga na tinder tutashindwa kukutetea.

Ila kuna raha flani kumpenda dem halafu akawa anakusumbua kama hivi mara utafutw washauli, kuna ka feeling flani hiviii[emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu umeshapuliza mambo yako nini 🤣🤣🤣 sio yeye huyo..Ila pic imetulia hiyo nimeielewa 🤣🤣🤣
Kumbe sio yeye, ila Kama wanafanana hivi...

Hiyo muhimu kuvuta Tena daktari anashauri kila baada ya masaa 3 uvute akili ikae sawia. 😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom