Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
ndio maana umekonda mzee shemeji anapika na hunenepš¤£hahahahaha
niko cha 4, na mvua hii inagonga midnight nakamilisha nusu dazani
namaanisha unaishi kwa brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio maana umekonda mzee shemeji anapika na hunenepš¤£hahahahaha
niko cha 4, na mvua hii inagonga midnight nakamilisha nusu dazani
Kama umestuka futa huu uzi mkuu!Nimestuka mapema sana..ššš
ukuda wa Jf mwenye kufuta uzi ni ma mod tuKama umestuka futa huu uzi mkuu!
Amstue mod chap!ukuda wa Jf mwenye kufuta uzi ni ma mod tu
Mpaka mlokole anakuzidi jitafakuri ššNiliona alivyoandika kwenye uzi wake š¤£š¤£
Mlokole ameniovateki na speed ya bughati š¤£š¤£
Hivi ukiomba wafute uzi wanafuta?Amstue mod chap!
Mkuu hapana nashauri ufute tu!..wanakuchora tuAcha ubaki kama memories kuwa niliteseka na penzi la mwanadada JF
𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠š¬ nna kwangu mzee, karibu Ngobedi-B hukunamaanisha unaishi kwa brother
WanafutaHivi ukiomba wafute uzi wanafuta?
Taratibu ni zipi au ndio unamtumia mod link ya uzi husika?Wanafuta
mod wanakaushaga kama hawaoniAmstue mod chap!
Mtag mwambie afute uziTaratibu ni zipi au ndio unamtumia mod link ya uzi husika?
Ipo hivi kijana, ukinyimwa au kukataliwa usijiskie vibaya. Shukuru, tuliza Mutima, vuta subira kuna kitu umeepushwa na kuna kheri na Neema mbeleni. Songa mbeleHabari wanajamii, nielekee kwenye hoja husika moja kwa moja.
Nilikuwa na matarajio mengi sana juu yake lakini imekuwa ndivyo sivyo. Nilifikiria sana baada ya kumfungulia thread/Uzi kwakuwa nilimhada na kumpenda sana ila haikuwa bahati yangu kama wasemavyo wahenga, ngāombe wa maskini hazai, hili ni kweli kabisa.
Hivyo kwa hali hii baada ya kutambua ukweli nimeazimia kusonga mbele na kuweka akili yangu kwenye majukumu yangu zaidi. Nafahamu ipo siku nitapata mwingine mwenye upendo wa kweli zaidi ya huyu aliyeuponda na kuumiza mtima wangu, nina hakika Mungu atanipa mwongozo mzuri sana juu ya hili na kunisimamia vizuri katika hili.
NB: Wanawake wazuri na wenye hekima bado wapo wengi, sitakata tamaa ya kupenda kabisa, nitampata mzuri zaidi yake naamini.
Poa mkuuMtag mwambie afute uzi
Ngoja tuache mkuu ulikuwa ushauri tuUache mkuu kwani unakukera wapi!
Huko siji mzee hueleweki 𤣠una slogan za kishetwan𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠š¬ nna kwangu mzee, karibu Ngobedi-B huku
Stop dragging my name in your madnessš.Hapana ni watu tofauti kabisa.. Clepatina ni mwingine sio mimi IamBrianLeeSnr
š¤£š¤£š¤£š¤£ Kwa hiyo najitongoza na kujikataa mwenyewe š¤£š¤£š¤£š¤£ umewaza hovyo sana