Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

😅😅 hapa kwangu ni zaidi ya salama.. sio kwa Gily hukoo ..
why unamtisha dada wa watu? why? why?😀
Screenshot_20230529_161957_Gallery.jpg
 
Kuna baadhi ya mambo ni ngumu kumsaidia mtu. Imagine hata kiganja chake Cha mkono hajawahi kukiona, ila anaweweseka.

Ushauri ninaompa, next time akimuelewa mtu amfate PM, na kama pm imefungwa, awe mpole. Imagine unapigwa kibuti mbele ya public, hata kama ni wewe, lazima upate mhaho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaa, uwiiiiih
 
Juzi Kuna MWANANGU mtoto wa dada Ake wife yupo form 3...

SI unajua watoto wapo likizo kaja kwangu...

Akawa amesema hizi animation movies nikakukumbuka wewe......

Glue
haha 😄
ila mpe ushauri huyu IamBrianLeeSnr sis tuko kwenye ndoa ili apate kuwa kwenye ndoa. Yeye analimbilia 40 🤣
 
Habari wanajamii, nielekee kwenye hoja husika moja kwa moja.

Nilikuwa na matarajio mengi sana juu yake lakini imekuwa ndivyo sivyo. Nilifikiria sana baada ya kumfungulia thread/Uzi kwakuwa nilimhada na kumpenda sana ila haikuwa bahati yangu kama wasemavyo wahenga, ng’ombe wa maskini hazai, hili ni kweli kabisa.

Hivyo kwa hali hii baada ya kutambua ukweli nimeazimia kusonga mbele na kuweka akili yangu kwenye majukumu yangu zaidi. Nafahamu ipo siku nitapata mwingine mwenye upendo wa kweli zaidi ya huyu aliyeuponda na kuumiza mtima wangu, nina hakika Mungu atanipa mwongozo mzuri sana juu ya hili na kunisimamia vizuri katika hili.

NB: Wanawake wazuri na wenye hekima bado wapo wengi, sitakata tamaa ya kupenda kabisa, nitampata mzuri zaidi yake naamini.

Hivi hizi ni harakati mmeanzisha au inakuwaje wakuu? Yani kila siku wanaume mnaanzisha uzi zakulia lia mmeachwa..... nyie vijana wa sasa mpo namna gani aisee? Maana naona aibu mimi yani unaachwa unakuja kulalamika huku kweli? Na mpo wengi sana siku kila siku mnaachwa mnaanzisha uzi, mna tuaibishaa aisee wanaume hatupo namna hii
 
Gily hii avatar yako Kuna animation movies

Alikua ananitajia majina hata sikuyashika😊😊😊😊😊
hiyo animation itafute uiangalie. Unajua nimekaa na watoto wa baba yangu mdogo huwa nawawekea animation waangalie

Nina dish la Azam na DSTV na vipindi ukiwaachia remote wanaangalia vitu vya ajabu. Pia watoto wanaelewa cartoon more than anything in the world. Sasa lazima unlimit vitu wanavyangalia🙂

niliweka parental control dstv aisee nikaja kuta wanaingiza codes vitoto vya siku hizi vina akili sana aisee
 
Back
Top Bottom