Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Yote ni kheri 😀😍 kuwa na amani sisterMimi sijui ila maneno ya wengi ni yakuzingatia .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote ni kheri 😀😍 kuwa na amani sisterMimi sijui ila maneno ya wengi ni yakuzingatia .
ID moja hiiClepatina kakupiga chenga ya mwili kiakili Sana, she is very very very very and very smart kichwani
unatumia bamia😀 ndio maana unapata hisia kali sana 😢Sawa ila natumia bamia sasa na inanisaidia kweli
Na ipiID moja hii
Na ipiID moja hii
Pole Sana mkuuSio kwa sababu hiyo ila nilisumbuliwa na ulcers kaka..Imenitesa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaa, uwiiiiihKuna baadhi ya mambo ni ngumu kumsaidia mtu. Imagine hata kiganja chake Cha mkono hajawahi kukiona, ila anaweweseka.
Ushauri ninaompa, next time akimuelewa mtu amfate PM, na kama pm imefungwa, awe mpole. Imagine unapigwa kibuti mbele ya public, hata kama ni wewe, lazima upate mhaho.
haha 😄Juzi Kuna MWANANGU mtoto wa dada Ake wife yupo form 3...
SI unajua watoto wapo likizo kaja kwangu...
Akawa amesema hizi animation movies nikakukumbuka wewe......
Glue
Habari wanajamii, nielekee kwenye hoja husika moja kwa moja.
Nilikuwa na matarajio mengi sana juu yake lakini imekuwa ndivyo sivyo. Nilifikiria sana baada ya kumfungulia thread/Uzi kwakuwa nilimhada na kumpenda sana ila haikuwa bahati yangu kama wasemavyo wahenga, ng’ombe wa maskini hazai, hili ni kweli kabisa.
Hivyo kwa hali hii baada ya kutambua ukweli nimeazimia kusonga mbele na kuweka akili yangu kwenye majukumu yangu zaidi. Nafahamu ipo siku nitapata mwingine mwenye upendo wa kweli zaidi ya huyu aliyeuponda na kuumiza mtima wangu, nina hakika Mungu atanipa mwongozo mzuri sana juu ya hili na kunisimamia vizuri katika hili.
NB: Wanawake wazuri na wenye hekima bado wapo wengi, sitakata tamaa ya kupenda kabisa, nitampata mzuri zaidi yake naamini.
Ngoja tuone majib yakeKavurugwa huyo anahisi mimi ndio Clepatina 🤣🤣🤣
Clepatina na brianleesrNa ipi
weee nitake radhiKavurugwa huyo anahisi mimi ndio Clepatina 🤣🤣🤣
Lisemwalo lipo ila no factsClepatina na brianleesr
Mzee mpaka ratiba zake unazijua? Mlifikia hatua nzuri ulifeli wapi?Yupo bible study now anapata ujuzi wa kuingia kwenye ndoa na mlokole 🤣🤣🤣
hahahahahaNimejiunga chaputa rasmi leo nasubiri kadi yangu kutoka kwa muasisi dronedrake 🤣🤣
hiyo animation itafute uiangalie. Unajua nimekaa na watoto wa baba yangu mdogo huwa nawawekea animation waangalie