Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Unajua nini?

Unaweza kudhani JF ni mashuhuri sana kumbe sivyo. Data zao zinasema memba tumo karibia laki 7 sijui. Lakini ukiulizia mtaani huko hakuna anayeifahamu JF. Fanya kajaribio tu kesho uanze kuulizia watu huko mtaani, sokoni, kwenye daladala n.k. kama wanaifahamu JF. Hutapata mtu. Na hapa ni Dar. Vipi huko Misungwi na Namtumbo huko?

Kuna memba wachache sana hapa sema tu watu wamejaza mafyekero kibao kumbe ni watu wale wale. Na matokeo yake ndo haya sasa!

Melo inabidi aanzishe kampeni ya kuunganisha IDs zote na kuitangaza JF nchi nzima ili ipate wanachama wa kweli wanaoeleweka...
Kuna ka ukweli, hapa. sehemu pekee ambayo najificha ficha nikiwa natumia JF ni maeneo ya kisiasa ila nje ya hapo hasa mikoani najivinjari utanikuta bar naperuzi tu
 
Unajua nini?

Unaweza kudhani JF ni mashuhuri sana kumbe sivyo. Data zao zinasema memba tumo karibia laki 7 sijui. Lakini ukiulizia mtaani huko hakuna anayeifahamu JF. Fanya kajaribio tu kesho uanze kuulizia watu huko mtaani, sokoni, kwenye daladala n.k. kama wanaifahamu JF. Hutapata mtu. Na hapa ni Dar. Vipi huko Misungwi na Namtumbo huko?

Kuna memba wachache sana hapa sema tu watu wamejaza mafyekero kibao kumbe ni watu wale wale. Na matokeo yake ndo haya sasa!

Melo inabidi aanzishe kampeni ya kuunganisha IDs zote na kuitangaza JF nchi nzima ili ipate wanachama wa kweli wanaoeleweka...
Comment yako ina ukweli Mpendwa uhuru wa kumiliki Id zaidi ya moja ufutwe.
 
humjui Gily 😅😅😅
haha mke wa mtu huyu😀 hapo ndipo kinachomlinda siwindi wale za watu. Nina kuku nataka week wauzwe niachane nao ningemoa mmoja akale na familia kiroho safi kabisa😀

huamini kuwa there are good deeds au😀 mbona jana nimempa demu mmoja kuku jirani kampikia bwana wake supu na usiku hatujalala maana kama yule kuku alimpa mshikaj nguvu za kupiga bao nne😀 tulizivumikia na mikelele ile🤣
 
No wonder unahusishwa kutoka na shoga cocastic! Kwa akili zako hizi za kitoto utapata tabu sana kwenye mahusiano
Huyo Shoga cocastic kaishiwa mabasha hadi ahangaike na ID za JF?? bila kumuhusisha coca ktk masuala yenu hampati airtime eeeh???

Hebu mniachee sijaishiwa mtu wa kuwa nae ktk mahusianoo, na sio shida zangu kabisaaa.
Mxxxxxiiiieeeeww.
 
haha mke wa mtu huyu😀 hapo ndipo kinachomlinda siwindi wale za watu. Nina kuku nataka week wauzwe niachane nao ningemoa mmoja akale na familia kiroho safi kabisa😀

huamini kuwa there are good deeds au😀 mbona jana nimempa demu mmoja kuku jirani kampikia bwana wake supu na usiku hatujalala maana kama yule kuku alimpa mshikaj nguvu za kupiga bao nne😀 tulizivumikia na mikelele ile🤣
🫣🫣 una ka mbinuuu kakali sanaaa...
 
Habari wanajamii, nielekee kwenye hoja husika moja kwa moja.

Nilikuwa na matarajio mengi sana juu yake lakini imekuwa ndivyo sivyo. Nilifikiria sana baada ya kumfungulia thread/Uzi kwakuwa nilimhada na kumpenda sana ila haikuwa bahati yangu kama wasemavyo wahenga, ng’ombe wa maskini hazai, hili ni kweli kabisa.

Hivyo kwa hali hii baada ya kutambua ukweli nimeazimia kusonga mbele na kuweka akili yangu kwenye majukumu yangu zaidi. Nafahamu ipo siku nitapata mwingine mwenye upendo wa kweli zaidi ya huyu aliyeuponda na kuumiza mtima wangu, nina hakika Mungu atanipa mwongozo mzuri sana juu ya hili na kunisimamia vizuri katika hili.

NB: Wanawake wazuri na wenye hekima bado wapo wengi, sitakata tamaa ya kupenda kabisa, nitampata mzuri zaidi yake naamini.
Kumbuka A small leak will sink a ship- Fid Q- Propaganda

"Ujinga ni mjukuu wa woga yule aliyemzaa chuki"- Fid Q--Ielewe mitaa.
 
🫣🫣 una ka mbinuuu kakali sanaaa...
Screenshot_20230531_003101_Google.jpg
 
Huyo Shoga cocastic kaishiwa mabasha hadi ahangaike na ID za JF?? bila kumuhusisha coca ktk masuala yenu hampati airtime eeeh???

Hebu mniachee sijaishiwa mtu wa kuwa nae ktk mahusianoo, na sio shida zangu kabisaaa.
Mxxxxxiiiieeeeww.
Kwani unawapata wapi hao wanaokupumulia kisogoni?
 
Back
Top Bottom