Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanye hivyo kwa kweli maana imekuwa too much😁Kuna wakati mods walikuwa wanakata mzizi wa fitina kwa utoto kama huu. Ungekuta tu ID zote mbili zishaunganishwa basi watu weweeee!
Mkuu tuliza akili kwanza. Maana hata ulichoandika hakieleweki. Pia usisogee maeneo ya Makumbusho kabisaHabari wanajamii, nielekee kwenye hoja husika moja kwa moja.
Nilikuwa na matarajio mengi sana juu yake lakini imekuwa ndivyo sivyo. Nilifikiria sana baada ya kumfungulia thread/Uzi kwakuwa nilimhada na kumpenda sana ila haikuwa bahati yangu kama wasemavyo wahenga, ng’ombe wa maskini hazai, hili ni kweli kabisa.
Hivyo kwa hali hii baada ya kutambua ukweli nimeazimia kusonga mbele na kuweka akili yangu kwenye majukumu yangu zaidi. Nafahamu ipo siku nitapata mwingine mwenye upendo wa kweli zaidi ya huyu aliyeuponda na kuumiza mtima wangu, nina hakika Mungu atanipa mwongozo mzuri sana juu ya hili na kunisimamia vizuri katika hili.
NB: Wanawake wazuri na wenye hekima bado wapo wengi, sitakata tamaa ya kupenda kabisa, nitampata mzuri zaidi yake naamini.
aisee ila huyu demu acha tu niishie hapa😂 Kaa kwa password
Dah nilivyo mroho wa nyama udenda hapa kwa huo mchuzi na kuku🙇🏼♀️Huyu demu nahisi atakuwa kibonge flani hivi mwepesi na anavaa skirt mpaka kwenye kisigino. Naogopa kumtag atanitukana msaada numtag tafwadhali🤐
I am truly glad she said no to me. If she agreed and by chance we shared love, I wouldn't be quite about it 😬 Yan ile siku ananipa mzigo break ya kwanza natuma ujumbe mrefu kwenda BBC world wajue binamu Gily kalamba asali.
View attachment 2643646
It won't end there I will tweet it even though I don't have Twitter 😀 I am going to tweet so that the world knows. I will come back to Jf and narrates how beautful it was and how "as I see it" that I was so good "I don't care how she sees it" in bed I made her cry😬😬
Not only will I stop there I will write a song and just tell random strangers how sweet she is " even if she is sour" I don't care . The I will open whatsapp group to celebrate myself with self made statue
View attachment 2643633View attachment 2643634
I hope she do get this is how I eat a chicken. If you get what I mean🤐View attachment 2643635View attachment 2643636
I should stop dreaming and wake up 😄😄
Kwa haya ninayoyaona, memba wanaweza wasizidi hata kumi!Yaani siku zikiunganishwa Id humu ukute member tupo 50 tu😁
Moyo umefika ,Moyo umetulia.Ya ugoko kaka..Nitayavuka tu🤣🤣
endelea kuwaza hivyo sikubishii ila wananijua hapa Half american Analyse watakujulisha kuwa mimi na huyu jamaa ni watu wawili tofauti. Unakariri vibaya halafu test unafeli😄Gilly na mtoa mada ni same id ...
Usimuute demu mdogo wangu Clepatinaaisee ila huyu demu acha tu niishie hapa
Acha aendelee kufeli 😂endelea kuwaza hivyo sikubishii ila wananijua hapa Half american Analyse watakujulisha kuwa mimi na huyu jamaa ni watu wawili tofauti. Unakariri vibaya halafu test unafeli😄
na ule mzigoo wote mkuu.. umekubali aende hivi hivi 😳😳 Ningekuwa mie damu inge mwagikaNimekubali kuachika mkuu...
🙆🏾♀️😁😁😁Kwa haya ninayoyaona, memba inaweza wasizidi hata kumi!
Fungu la kukosa, maneno ya mkosaji.Code zote zinaeleweka..
Hana ujanja kiivyo
ndio namweleza kuwa labda kwa sababu jamaa aliomba wanitoe ban anaona kama ni I'd mojaAcha aendelee kufeli 😂
Hii comment iwekewe laminationdada Nuzulati karibu manzese nyumbani kama ni njia yako najupa kuku mmoja bure kabisa kiroho safi
Nina mke na watoto wawili naishi nao usidhani nakutongoza nakuheshimu sana 🙏🙏
Watu wameshituka mkuu, server zinapigwq chenga kama kawaidaKuna wakati mods walikuwa wanakata mzizi wa fitina kwa utoto kama huu. Ungekuta tu ID zote mbili zishaunganishwa basi watu weweeee!
Ni mbingu na ardhi hamfanani hata uandishindio namweleza kuwa labda kwa sababu jamaa aliomba wanitoe ban anaona kama ni I'd moja