Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
help me tag herMateso lundo kaka 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
help me tag herMateso lundo kaka 🤣🤣🤣
aaaah😐😐😐 unazinguaa bro.. unamuachaje kirahisi rahisi hivyooo.. tuwaoneshee mkuuHahahahaa! Hata sina laziada I just let her go..
Labda kwavile wote mnaipenda ID ya Clepatina, ndio maana anahisi ni mtu mmoja.endelea kuwaza hivyo sikubishii ila wananijua hapa Half american Analyse watakujulisha kuwa mimi na huyu jamaa ni watu wawili tofauti. Unakariri vibaya halafu test unafeli😄
Halafu sinywi pombe kabisa labda siku moja sana nipate mbege na sinywi ikiwa pombe kaliNi mbingu na ardhi hamfanani hata uandishi
Usijaribu kufanya hivyo, huo ni mtego. 😅Asante mdogo wangu nitapita hapo nipate mmoja mpendwa🙏🏽
Unayoandika humu ndani hayaendani na umri wako, you are better than that.Sio mimi!
Amempata mlokole sasa...🤣
Nina 34yrs sasa!
haha halafu nilianza mimi kurusha mistari jamaa sijui alitokea wapi. Anapenda ligi kweli ile tukose wote😀Labda kwavile wote mnaipenda ID ya Clepatina, ndio maana anahisi ni mtu mmoja.
Yupo humu tupe namba tukulipie kisasi hatuwezi kukubali mwamba ukaumizwa kifala namna hio 😎😎Habari wanajamii, nielekee kwenye hoja husika moja kwa moja.
Nilikuwa na matarajio mengi sana juu yake lakini imekuwa ndivyo sivyo. Nilifikiria sana baada ya kumfungulia thread/Uzi kwakuwa nilimhada na kumpenda sana ila haikuwa bahati yangu kama wasemavyo wahenga, ng’ombe wa maskini hazai, hili ni kweli kabisa.
Hivyo kwa hali hii baada ya kutambua ukweli nimeazimia kusonga mbele na kuweka akili yangu kwenye majukumu yangu zaidi. Nafahamu ipo siku nitapata mwingine mwenye upendo wa kweli zaidi ya huyu aliyeuponda na kuumiza mtima wangu, nina hakika Mungu atanipa mwongozo mzuri sana juu ya hili na kunisimamia vizuri katika hili.
NB: Wanawake wazuri na wenye hekima bado wapo wengi, sitakata tamaa ya kupenda kabisa, nitampata mzuri zaidi yake naamini.
Naishi manzese sweet corner 😍 karibu sana.Asante mdogo wangu nitapita hapo nipate mmoja mpendwa🙏🏽
Askofu 😀 kumbe zile story za kuwa makatekista wanakula masista ni za kweli🤣Yupo humu tupe namba tukulipie kisasi hatuwezi kukubali mwamba ukaumizwa kifala namna hio 😎😎
Thubutuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi mwenyewe ni mwanasaikoloji na nina utimamu wa hali ya juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume mnajuana mbinu zenu ushauri wako nimeupokea mpendwa kwa mikono miwili.Usijaribu kufanya hivyo, huo ni mtego. 😅
Sasa na hizi nyuzi zako unazoshusha km mvua? Unaona ni sawaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo vizuri sana, Wewe si ulisema nisichulie serious mambo ya JF au!?
Jamaa unadhani tunatumia wine ili iweje🤣🤣🤣🤣Askofu 😀 kumbe zile story za kuwa makatekista wanakula masista ni za kweli🤣
Unajua nini?🙆🏾♀️😁😁😁
humjui Gily 😅😅😅Asante mdogo wangu nitapita hapo nipate mmoja mpendwa🙏🏽
haha ukila maharage unajaza protein mwilini unapata shida mvua zikinyesha kidogo😀Jamaa unadhani tunatumia wine ili iweje🤣🤣🤣🤣
Au unadhani tunawekewa mafuta ya taa kwenye msosi 😎
Haiwezekani aisee we kama umesamehe sawa "kisasi ni juu yetu sisi na watoto wetu " 😄😄😄Dah! Naona tumwache tu aendelee na maisha yake 🤣🤣
🤣🤣🤣👋Ndo Yule uliyemuanzishia thread?
Na Leo Naona na yeye kaanzisha thread kapata mume...nikajua ni wewe ..
Kwani mna umri gani??