Mpaka hapo imejulikana na imeonekana na imejidhihirisha ni timu gani ina ukuta wa Yeriko

Mpaka hapo imejulikana na imeonekana na imejidhihirisha ni timu gani ina ukuta wa Yeriko

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Nafikiri mechi za leo zimeonyesha na kuondoa shaka juu ya timu gani inao ukuta wa yeriko, beki bora zitakupa matokeo bora na beki dhaifu zitakupa matokeo dhaifu ya kushikilia roho na kubaki na option moja tu ya kwenda kwa waganga wa kienyeji Tanga ili kupata matokeo.

Yanga imedhihirisha ubora wake na itaendelea kudhihirisha hilo kila mechi, bolu linapigwa na magoli matamu yanafungwa ukikataa basi wewe ni mchawi ama utakuja kurithi uchawi wa bibi yako hapo badae.

Goli 2 safi ugenini ni salamu tosha ya kuwa klabu bingwa inogile na pira gamondi litapasua anga mdogo mdogo!

NB: Pira panado limepigwa Zambia leo na watu hawana raha licha ya sare!
 
Yaani ucheze na wakimbizi ndio utambe?Hii timu imemfunga nani?Mechi zote za kirafiki kapigwa.Hawana fitness.Kutana na timu zenye kucheza mpira halafu urudi hapa.
Aahaaaa, yamekuwa hayo tena.
 
Kipa naye kaisharogwa duu, manake huko Nako kwa kuwanga hawajambo
 
Nikisema Mashabiki wa Yanga/Utopolo hawajielewi naonekana nina roho mbaya.

Hivi Zile Beki za Simba utafananisha na hao Kunguru wenu? Mnacheza na Timu ambazo hazina hata hadhi ya Namungo bado mnajisifia
 
Yaani ucheze na wakimbizi ndio utambe?Hii timu imemfunga nani?Mechi zote za kirafiki kapigwa.Hawana fitness.Kutana na timu zenye kucheza mpira halafu urudi hapa.
Na mtasema, bado amjasema, iyo ni trela tu, mtayaongea yote safari hii mpaka mtatubu, timu zenye kucheza mpira nenda kazitafute labda wengine wanacheza kigodoro ikiwemo simbwa!!!
 
Back
Top Bottom