Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnahamisha magoli sasa,ikifika makundi mtasema subirini robo ikifika robo mtasema subirini nusu fainaliSubiri makundi ndio utukane mamba. Huyo Merikh amecheza mechi za kirafiki Rwanda akapoteza zote
Naona unatafuta mume kinguvuAsilimia 99 ya comment ni Pumba tu.
Hivi kwanini Hamna Akili Mmerogwa na nani?????????.????.?...
Kolo
Nyie jamaa kila kukicha ni kuhamisha goal tu, mna shida gani??Subiri makundi ndio utukane mamba. Huyo Merikh amecheza mechi za kirafiki Rwanda akapoteza zote
Kwani nyie matajiri mnaishi milele?WATOTO WA kimasikini starehe Yao ni Simba na yanga.
Mtu anakusahihisha Uandike vizuri unamwita Kolo?????
Mmelogwa na nani?????????
Mbona kipya amedaka vizuri tu! Goli la pili alilofungwa mpira ulidunda ukampotezea timing
Robo mtafikaje wakati Hersi amesema lengo la Yanga ni kufika makundi? Hersi bwana! 😁 😁 😁Mnahamisha magoli sasa,ikifika makundi mtasema subirini robo ikifika robo mtasema subirini nusu fainali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ishindi, ni ushindi kakaMajok majok
UMEANDIKA UPUMBAFU.
ILA KWASABABU UMEZUNGUKWA NA WAPUMBAFU WENZIO WANAKUSHANGILIA TU.
Ximeonyesha❌❌ = Imeonyesha✓
Optional❌❌ = Chaguo✓
Inao yenye❌❌❌= yenye✓
MATOKEO❌❌❌ = MATOKEO ya ishindi✓
Ilo. ❌❌ = Hilo✓
Bolu❌❌ = Mpira /boli. ✓
KWELI NYIE WENYE AKILI NI WAWILI.
FICHA MA UPUMBAFU YAKO......
Yaani ucheze na wakimbizi ndio utambe? Hii timu imemfunga nani? Mechi zote za kirafiki kapigwa.Hawana fitness. Kutana na timu zenye kucheza mpira halafu urudi hapa.
Nikisema Mashabiki wa Yanga/Utopolo hawajielewi naonekana nina roho mbaya.
Hivi Zile Beki za Simba utafananisha na hao Kunguru wenu? Mnacheza na Timu ambazo hazina hata hadhi ya Namungo bado mnajisifia
Yanga wao mpango wao ni kucheza na kuifunga timu yoyote ile ambayo wamepangiwa kukabiliana nayo. Hayo mambo ya ubovu wa timu Yanga huwa wanayasikia kwenu baada ya kuifunga timu husika.Subiri makundi ndio utukane mamba. Huyo Merikh amecheza mechi za kirafiki Rwanda akapoteza zote
Kipa la CAFIla yule kipa hakika tumepigwa
Alafu linaitwa AyubuKipa la CAF