Mpaka hapo imejulikana na imeonekana na imejidhihirisha ni timu gani ina ukuta wa Yeriko

Mpaka hapo imejulikana na imeonekana na imejidhihirisha ni timu gani ina ukuta wa Yeriko

Ukuta usiupime kwa mechi za jana. Sijaona moments za kutest kuta za hizi timu. Subiri group stages, muda si mrefu Watanzania tutaongea lugha moja.
 
Majok majok


UMEANDIKA UPUMBAFU.
ILA KWASABABU UMEZUNGUKWA NA WAPUMBAFU WENZIO WANAKUSHANGILIA TU.

Ximeonyesha❌❌ = Imeonyesha✓

Optional❌❌ = Chaguo✓

Inao yenye❌❌❌= yenye✓

MATOKEO❌❌❌ = MATOKEO ya ishindi✓

Ilo. ❌❌ = Hilo✓
Bolu❌❌ = Mpira /boli. ✓

KWELI NYIE WENYE AKILI NI WAWILI.
FICHA MA UPUMBAFU YAKO......
Sio ishindi, ni ushindi kaka
 
Yaani ucheze na wakimbizi ndio utambe? Hii timu imemfunga nani? Mechi zote za kirafiki kapigwa.Hawana fitness. Kutana na timu zenye kucheza mpira halafu urudi hapa.
Nikisema Mashabiki wa Yanga/Utopolo hawajielewi naonekana nina roho mbaya.

Hivi Zile Beki za Simba utafananisha na hao Kunguru wenu? Mnacheza na Timu ambazo hazina hata hadhi ya Namungo bado mnajisifia
Subiri makundi ndio utukane mamba. Huyo Merikh amecheza mechi za kirafiki Rwanda akapoteza zote
Yanga wao mpango wao ni kucheza na kuifunga timu yoyote ile ambayo wamepangiwa kukabiliana nayo. Hayo mambo ya ubovu wa timu Yanga huwa wanayasikia kwenu baada ya kuifunga timu husika.
Kabla ya kucheza na hao Wasudani ninyi ndiyo mlisikika mkiisifu, baada ya kuifunga ninyi tena ndiyo mnaongea.
Kwa kifupi ni hivi, wajibu wa Yanga ni kuzifunga timu zote itakazokutana nazo, na nyie kaeni hapohapo muendelee kuifanya vyema kazi ya kuisifu na kuiunga mkono kila timu itakayopangiwa kucheza na Yanga, na kuziponda timu hizo baada ya Mchezo.
 
Back
Top Bottom