Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Utopolo kweli ni maumbwa yani unawafunga wakimbizi halafu unabweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu mpka mtavaa chupi kichwaniNikisema Mashabiki wa Yanga/Utopolo hawajielewi naonekana nina roho mbaya.
Hivi Zile Beki za Simba utafananisha na hao Kunguru wenu? Mnacheza na Timu ambazo hazina hata hadhi ya Namungo bado mnajisifia
Hahahahahahahahahahahahahahahaha......kwahiyo alifikili ni panzi na sio mpira..!!Mbona kipya amedaka vizuri tu! Goli la pili alilofungwa mpira ulidunda ukampotezea timing
hoja yako ni ipi ndugu jemedali saidiSubiri makundi ndio utukane mamba. Huyo Merikh amecheza mechi za kirafiki Rwanda akapoteza zote
Wenzako watakuja wakutukane! Shauri yako.Ila yule kipa hakika tumepigwa
Wenzako watakuja wakutukane! Shauri yako.
Yaani ucheze na wakimbizi ndio utambe?Hii timu imemfunga nani?Mechi zote za kirafiki kapigwa.Hawana fitness.Kutana na timu zenye kucheza mpira halafu urudi hapa.
Tunaomba mzitaje kabisa hizo team jamani tutakapo zifunga msihamishe magoli
Maumbwa ni wale waliocheza na timu ya kitayose wa zambia, pira kichefuchefu kama lile lazima uwe na msongo wa mawazoUtopolo kweli ni maumbwa yani unawafunga wakimbizi halafu unabweka.
Hao wana vidonda hawana macho mkuu achana nao.Mbona kipya amedaka vizuri tu! Goli la pili alilofungwa mpira ulidunda ukampotezea timing
Ndiyo maan hata kocha wa Taifa Stars hajawaita Shabalala & Kapombe kikosini, na kuna watu walihoji sana, lakini mechi hii imedhihirisha. Watani wajipange ama sivyo mashabiki wao watapata maumivu makubwa msimu huu.Nafikiri mechi za leo ximeonyesha na kuondoa shaka juu ya timu gani inao ukuta wa yeriko, beki bora zitakupa matokeo bora na beki dhaifu zitakupa matokeo dhaifu ya kushikilia roho na kubaki na option moja tu ya kwenda kwa waganga wa kienyeji Tanga ili kupata matokeo!
Yanga imedhihirisha ubora wake na itaendelea kudhihirisha ilo kila mechi, bolu linapigwa na magoli matamu yanafungwa ukikataa basi wewe ni mchawi ama utakuja kurithi uchawi wa bibi yako hapo badae!
Goli 2 safi ugenini ni salamu tosha ya kuwa klabu bingwa inogile na pira gamondi litapasua anga mdogo mdogo!
N:B pira panado limepigwa zambia leo na watu awana raha licha ya sare!
Bado hujasema, na utasema tuNikisema Mashabiki wa Yanga/Utopolo hawajielewi naonekana nina roho mbaya.
Hivi Zile Beki za Simba utafananisha na hao Kunguru wenu? Mnacheza na Timu ambazo hazina hata hadhi ya Namungo bado mnajisifia
Simba, Al Ahaly, Masandawana (Mamelody) na Wydad.Tunaomba mzitaje kabisa hizo team jamani tutakapo zifunga msihamishe magoli
Simba hawataki kuamini kuwa Kaoombe na Muhammed ni wazee wachovu, wanachezea nyota zao za zamaniNafikiri mechi za leo ximeonyesha na kuondoa shaka juu ya timu gani inao ukuta wa yeriko, beki bora zitakupa matokeo bora na beki dhaifu zitakupa matokeo dhaifu ya kushikilia roho na kubaki na option moja tu ya kwenda kwa waganga wa kienyeji Tanga ili kupata matokeo!
Yanga imedhihirisha ubora wake na itaendelea kudhihirisha ilo kila mechi, bolu linapigwa na magoli matamu yanafungwa ukikataa basi wewe ni mchawi ama utakuja kurithi uchawi wa bibi yako hapo badae!
Goli 2 safi ugenini ni salamu tosha ya kuwa klabu bingwa inogile na pira gamondi litapasua anga mdogo mdogo!
N:B pira panado limepigwa zambia leo na watu awana raha licha ya sare!
Simba hawataki kuamini kuwa Kaoombe na Muhammed ni wazee wachovu, wanachezea nyota zao za zamani
KoloAndika vizuri