Mpaka hapo imejulikana na imeonekana na imejidhihirisha ni timu gani ina ukuta wa Yeriko

Yanga wamefurahi sana leo

Kuna Mama anacheza 'huyu demu wake nani' anaimba hapa mda huu na jezi zake za Ynaga
 
Majok majok


UMEANDIKA UPUMBAFU.
ILA KWASABABU UMEZUNGUKWA NA WAPUMBAFU WENZIO WANAKUSHANGILIA TU.

Ximeonyesha❌❌ = Imeonyesha✓

Optional❌❌ = Chaguo✓

Inao yenye❌❌❌= yenye✓

MATOKEO❌❌❌ = MATOKEO ya ishindi✓

Ilo. ❌❌ = Hilo✓
Bolu❌❌ = Mpira /boli. ✓

KWELI NYIE WENYE AKILI NI WAWILI.
FICHA MA UPUMBAFU YAKO......
 
Asilimia 99 ya comment ni Pumba tu.

Hivi kwanini Hamna Akili Mmerogwa na nani?????????.????.?...
 
Ndiyo maan hata kocha wa Taifa Stars hajawaita Shabalala & Kapombe kikosini, na kuna watu walihoji sana, lakini mechi hii imedhihirisha. Watani wajipange ama sivyo mashabiki wao watapata maumivu makubwa msimu huu.
 
Simba hawataki kuamini kuwa Kaoombe na Muhammed ni wazee wachovu, wanachezea nyota zao za zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…