Sasa mwalimu si akarukeruke nayeye apate mamilioni.Mchezaji wa mpira wa miguu ana tatua changamoto gani zaidi ya kurukaruka uwanjani? Yani mtu anae ruka ruka uwanjani anaweza kuwa anatatua changamoto kushinda mwalimu anae wafundisha watoto wetu ambao baadae watakuja kuwa madaktari, wahandisi n.k?
Vilabu vyote vinasajiliwa kwa mujibu wa sheria za serikali. Bodi ya ligi ipo chini ya serikali,serikali inaweza kuratibu, kuelekeza na kupanga viwango elekezi vya mishahara ya wachezajiKwa sababu waajiri ni tofauti. Simpo tuu kuelewa hili mbona.
Wewe ni kubwa jingaVilabu vyote vinasajiliwa kwa mujibu wa sheria za serikali. Bodi ya ligi ipo chini ya serikali,serikali inaweza kuratibu, kuelekeza na kupanga viwango elekezi vya mishahara ya wachezaji
Hata wewe unasagia kunguni haya buana dah maneno makali ila kweli🤣😂Laki 3 si kataka mwenyewe kulipwa….kwani alilazimishwa kukopa?
We jamaa kumbe kichwani ni mweupe kiasi hiki? Dah inasikitisha sana. Mtu unaweza kuwa unamwona ana akili ila akaku-prove wrong kwa uzi mmoja kama huu.Mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 hadi kumi kwa mwezi na bado hizo zinaonekana eti ni ndogo.
Ila mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh laki 3 kwa.mwezi ( hiyo inawezekana ikawa kubwa zaidi)
Daktari analipwa sh laki 7 kwa mwezi .
So katika taifa letu hili la Tanzania, mchezaji wa mpira wa miguu ni muhimu kuliko mwalimu?
Kuliko Daktari?
Kwa sababu hata anaenza na ajira haanzi na laki 3 mkuuHata wewe unasagia kunguni haya buana dah maneno makali ila kweli🤣😂
Sio kweli hakuna mwalimu anayepwa laki tatu mwanzo nilipuza lqkin kuna walimu msingi wanalipwa milion na laki 7Mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 hadi kumi kwa mwezi na bado hizo zinaonekana eti ni ndogo.
Ila mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh laki 3 kwa.mwezi ( hiyo inawezekana ikawa kubwa zaidi)
Daktari analipwa sh laki 7 kwa mwezi .
So katika taifa letu hili la Tanzania, mchezaji wa mpira wa miguu ni muhimu kuliko mwalimu?
Kuliko Daktari?
Mkuu; angalia au pita kwenye vijiwe na kwingineko walipokusanyika hasa hili rika la vijana usikie wanachoongea kwa sauti na makelele - ni Mpira wa ndani ya nchi au Nje. Sasa kusingekuwa na mpira unadhani hao wangeliishia kuzungumzia nini na wapi, wangetumia muda wao kivipi (Disguised unemployment)? Kama binadamu tungeathirika kwa kukosa mojawapo ya Starehe (entertainment) na kukosa starehe huweza kusababisha msongo wa mawazo(Stress) na stress yaweza kusababisha shinikizo la damu, kuchanganyikiwa (uchizi) n.k. Kila kitu including wacheza mpira kina faida zake.Kwa lengo tu la kubishana hebu tujiulize..
Hivi mcheza mpira ana add value gani kwenye maisha yetu ukilinganisha na daktari?
Mfano wacheza mpira wasingekuepo kungekua na athari gani ambayo tungepata kama binadamu?
Dah ndo maana oscar oscar, antonio nugaz, mc garab, mc pilipili na wengine weengi ualimu waliukimbia mapemaaaa maana waliona mbeke kizaKwa sababu hata anaenza na ajira haanzi na laki 3 mkuu
Huenda ila maisha ni vile unavyoishi mkuuDah ndo maana oscar oscar, antonio nugaz, mc garab, mc pilipili na wengine weengi ualimu waliukimbia mapemaaaa maana waliona mbeke kiza