Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Yote uliyoandika hapo juu ni mipango ya muumba na hakuna anayeijua hata dakika moja mbele iwapo atakuwa hai au moyo utakuwa umesimama.

Ni historia ya maisha binafsi na siku zote zinakuwa na milima na mabonde, huyo JPM hayupo tena juu ya uso wa ardhi kwa miaka minne, bado mpaka leo anaongelewa kwa chuki nzito namna hii?.

Alikuwa ni shujaa mwenye maamuzi magumu na ameondoka kafanya mengi yenye kuonekana na yataendelea kumtetea kwa miaka na miaka ijayo.
 
True, people make blunders in life!
That was a blunder, not a mistake,
Blunder zimefanyika nyingi sana nchi hii. Kuna baadhi ya watu hata urais wa JK wanasema ni makosa makubwa. Urais wa Mwinyi wanasema ni makosa makubwa.

JPM alikuwa mchapakazi na kiongozi mwenye maamuzi magumu yenye misimamo isiyoyumbishwa na makelele ya wanaharakati.
 
Mpka leo najiuliza unashindwaje kujua baba yako kwa nn alikuzaaa mjinga kma ww
 
We fara kwan huoni aliepo madarakan navyofuja Mali za umaa
 
Ilikuwaje ntu wa deal , Mbowe akawa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 21 ?
 
Stress zitakumaliza brooo
 
WENGIWETU TUTA JIULIZA MPAKA KESHO .....KWANINI SERIKALI HAITAKI KUJIBU KUWA HAINA TAARIFA ZOZOTE ZA KUSHAMBULIWA LISSU KUPOTEA AKINA BEN SAA 8...................KWA MAANA HAWANA EFFECT KWA TAIFA ......SO WACHA WATENGENEZE MATUKIO YA KUJITEKA KUJISHAMBULIA THEN TUNAACHANA NAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…