Wewe nae vp?Kufanya maendeleo katika nchi kuna upinzani wa mabeberu!!Jk alijenga shule za kata nchi nzima,sio maendeleo?Alinunua mabasi ya mwendo kasi,magufuli akaja kuyafungua,sio maendeleo?Aliunganisha mikoa yote kwa lami isipokuwa kigoma na mtwara,sio maendeleo?Jk alifanya hayo yote na mengine mengi,hao mabeberu hawakwepo?Mbona hawakumpinga?Na mbona aliyafanya yote hayo bila kuua na kutisha watu?Leo maendeleo yanafanywa kwa kasi.Vituo vya afya nchi nzima,madarasa ya kisasa nchi nzima,n.k.Mabeberu hapo? Mbona hawapingi?Magu wenu alikuwa na kasoro kichwani,kubali usikubali.Yaani kujenga reli hadi uue mtu,ukataze mikutano ya kisasa,uwazibe watu midomo!!Ni wazi alikuwa na kasoro kichwani.Au alikuwa mshirikina.Washirikina hawawezi kujenga ghorofa bila kuua mtu, hawawezi kujenga kiwanda bila kuua,hawawezi kujenga shule bila kuua,n.k.Sasa mtu wa namna hiyo ni tatizo kupewa nchi.Angefanikisha kuifanya Tanzania kama ulaya basi watanzania tungebaki milioni 10 tu.Wengine tungekuwa tumetolewa kafara.