Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake

Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.

Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.

Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.

Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.

Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Kwani mkuu hujarudishwa kazini au kulipwa marupurupu vyeti feki walizuia ajira za wengi!
 
Makosa ya magufuli ni kutetea rasilimali za Tanzania kupiga vita mafisadi na kuwafukuza wenye vyeti feki na hizi ni kelele za vibaraka wa mafisadi
Kama alifukuza vyeti feki mbona hakumfukuza bashite?
 
Hii ni baada ya ccm kuogopa kupasuka hvyo wakaamua watafute mtu ambae hana watu katika chama ndo wakampata huyo mwehu
 
Ajira, mkopo kukatwa 15% badala ya 3% iliyoachwa na jk. Biashara kufa iliyoathiri maisha moja kwa moja, siasa kuzimwa ambapo wadogo zetu walikuwa wamejiajiri kupitia upinzani, wawekezaji kukimbia akiwemo mbowe ambaye ali omolewa bilcanas ambayo iliajiri more than 50 employees wakaja kuvuta shisha mtaani nk
Mkuu haya umeorodhesha hapa hayakupi room ya kuona mtu ni mbaya.
Learn kupokea vitu positive hata kama havijakufurahisha as long as haijaondoa uhai wako.

Mzee aliwahi kutwa na dhahama flani kazini,uongozi wa mtawala flani,alikuwa manager,tulikipitia sana,sikuwahi msikia analaani au kuzidi kulaani yule mtawala.
Alifika mbali sana baada ya pale.


kumbe ilikuwa njia ya kumvusha.

Maisha hayako hivyo,kila mtawala ana makando kando yake na mazuri yake.
 
Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake

Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.

Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.

Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.

Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.

Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
2005 mliteleza wapi?
Issue kubwa nliyoona kwa Magufuli ni Mafisadi na Vyeti Feki. Wewe utakuwa kwenye vyeti fake. Nakuelewa lazima iwe hivi kwako. Mimi aliniathiri kwenye ufisadi. Tukiungana hapo badamu batamwagika.
 
Ni rahisi sana shabiki wa Mpira kumkosoa mchezaji ambae yuko uwanjani akisakata kabumbu. Ili hari yeye mwenyewe hata aliambiwa akimbie toka lango Moja la goli Hadi jingine hawezi.

JPM pamoja na mapungufu yake yote mnayoyasema ambayo pengine sio yeye aliyafanya. May be watu walitumia mianya mbalimbali kujinufaisha.

Sisi tunabaki kushuhudia matendo Yale ya waziwazi. Matendo ambayo yanaishi Hadi Leo.
Maendeleo ya kasi ya 5G ambayo yapo Tanzania Leo JPM anamchamgo kuliko mtu yeyote anaeisho hivi Leo nchini Tanzania. Ukibisha nipe mfano wa mtu anae mzidi JPM.

Kaa ukijua, maendeleo ni painful process na inahitaji sacrifice ya hatari sana. Katika Mapambano hayo na yenye nia njema JPM alikutana na upinzani mkubwa sana hasa wa beberuzi na vibaraka ambao sitawataja hapa kwa sababu sio sehemu yake.. lakini Bado JPM aliipenda nchi yake kwa moyo wake wote.
Wewe nae vp?Kufanya maendeleo katika nchi kuna upinzani wa mabeberu!!Jk alijenga shule za kata nchi nzima,sio maendeleo?Alinunua mabasi ya mwendo kasi,magufuli akaja kuyafungua,sio maendeleo?Aliunganisha mikoa yote kwa lami isipokuwa kigoma na mtwara,sio maendeleo?Jk alifanya hayo yote na mengine mengi,hao mabeberu hawakwepo?Mbona hawakumpinga?Na mbona aliyafanya yote hayo bila kuua na kutisha watu?Leo maendeleo yanafanywa kwa kasi.Vituo vya afya nchi nzima,madarasa ya kisasa nchi nzima,n.k.Mabeberu hapo? Mbona hawapingi?Magu wenu alikuwa na kasoro kichwani,kubali usikubali.Yaani kujenga reli hadi uue mtu,ukataze mikutano ya kisasa,uwazibe watu midomo!!Ni wazi alikuwa na kasoro kichwani.Au alikuwa mshirikina.Washirikina hawawezi kujenga ghorofa bila kuua mtu, hawawezi kujenga kiwanda bila kuua,hawawezi kujenga shule bila kuua,n.k.Sasa mtu wa namna hiyo ni tatizo kupewa nchi.Angefanikisha kuifanya Tanzania kama ulaya basi watanzania tungebaki milioni 10 tu.Wengine tungekuwa tumetolewa kafara.
 
Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake

Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi

Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe

Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe

Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri

Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Hata Yesu tunaamini alikuwa mtu mwema kabisa lakini Wayahudi walimkataa na kumkejeli huyo ndio hulka ya binadamu

Any way ulimjua Magufuli akiwa raisi tu au tokea yupo wizara ya uJenzi?

Maana kama Kuna tunzo ya mawaziri waliopita wizara ya ujenzi kihaki kabisa hiyo tunzo ilitakiwa apewe Magufuli

Na hata kama Kuna tunzo ya maraisi waliopita pia kihaki inatakiwa apewe Magufuli
 
Hata Yesu tunaamini alikuwa mtu mwema kabisa lakini Wayahudi walimkataa na kumkejeli huyo ndio hulka ya binadamu

Any way ulimjua Magufuli akiwa raisi tu au tokea yupo wizara ya uJenzi?

Maana kama Kuna tunzo ya mawaziri waliopita wizara ya ujenzi kihaki kabisa hiyo tunzo ilitakiwa apewe Magufuli

Na hata kama Kuna tunzo ya maraisi waliopita pia kihaki inatakiwa apewe Magufuli
Unaongea kinyume chake nahisi
 
Wewe ni nani katika hii nchi?

Kinyangarika tu hata ubalozi huna!

Magufuli alikuwa rais wa nchi na amiri jeshi mkuu, na nafurahii aliwapelekea moto mpaka mkaamua kumdondosha. [emoji1787]

Chuma kinaliaa chumaa HA HA HA chumaa! Weweeee!!
Na aliwanyoosha mpuuzi yule hahaha hawawezi pona majeraha Ni ngumu mno, anapiga Kama netanyahu vile
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Ilikuwa VITA VYA PANZI {jasusi} vs {Rafiki}...
matokeo yake KUNGURU{jiwe}AKAPATA MLO.
 
Ilikuwa VITA VYA PANZI {jasusi} vs {Rafiki}...
matokeo yake KUNGURU{jiwe}AKAPATA MLO.
Hiyo vita ingweza kuendeshwa kistaarabu na rais mstaarabu, na tukapata matokeo chanya.
Mama Samia anaendelea vema ingawaje amezungukwa na watu wa Magufuli.

Magufuli alitumia njia za kuwaangamiza maadui physically, lakini hata waswahili husema, auaye kwa upanga ataangamizwa kwa upanga.
Au kwa wahindi wanasema KARMA!
 
Mpaka hii leo nafikiria, tena critically, ilifanyika vipi hadi John Pombe Mgufuli akafikia hatua ya kuwa Rais wa Tanzania?

Sijamfahamu Magufuli akiwa Rais, nilikuwa namfahamu toka akiwa Naibu Waziri pale Wizara ya Ujenzi. Kuingia ofisini tu siku alipoteuliwa na Rais mkapa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, kuna mhandisi walisoma wote chuoni akamtania kuwa anafanya nini pale wizara ya mainjinia, Magufuli akamwambia hamjui yeye nani, na akaagiza atimuliwe, akatimuliwa.

Na huko alikopata ubunge, tunaambiwa kuna watu wamepotea au wamepotezwa.

Pale Wizara ya ujenzi, uwekaji mipaka ya barabara zimeliwa fedha nyingi sana nchi nzima. Uuzaji wa nyumba za serikali ndio usiseme, wakubwa wote walifaidika. Serikali ilikuw wapi?

Mimi nashindwa kuelewa kuwa kama vyombo vilikuwa vinamjua Magufuli ni kwa nini Mkapa na hata Kikwete walifumbia macho mapungufu yake?

Sitagusa mapungufu ya Magufuli akiwa madarakani, maana hata hawa viongozi wa leo serikalini walionja joto la jiwe.

Imefika wakati lazima tupate post mortem ya kisiasa ya kwa nini hii blunder ilifika kupata Rais ambaye hata uraia wake ulikuwa na maswali? la sivyo Magufuli no. 2 yupo round the corner.
Uoga wa JK bwana white hair angechukua nchi......hapo tuuu
 
2005 mliteleza wapi?
Issue kubwa nliyoona kwa Magufuli ni Mafisadi na Vyeti Feki. Wewe utakuwa kwenye vyeti fake. Nakuelewa lazima iwe hivi kwako. Mimi aliniathiri kwenye ufisadi. Tukiungana hapo badamu batamwagika.
732390.jpg
 
Wewe nae vp?Kufanya maendeleo katika nchi kuna upinzani wa mabeberu!!Jk alijenga shule za kata nchi nzima,sio maendeleo?Alinunua mabasi ya mwendo kasi,magufuli akaja kuyafungua,sio maendeleo?Aliunganisha mikoa yote kwa lami isipokuwa kigoma na mtwara,sio maendeleo?Jk alifanya hayo yote na mengine mengi,hao mabeberu hawakwepo?Mbona hawakumpinga?Na mbona aliyafanya yote hayo bila kuua na kutisha watu?Leo maendeleo yanafanywa kwa kasi.Vituo vya afya nchi nzima,madarasa ya kisasa nchi nzima,n.k.Mabeberu hapo? Mbona hawapingi?Magu wenu alikuwa na kasoro kichwani,kubali usikubali.Yaani kujenga reli hadi uue mtu,ukataze mikutano ya kisasa,uwazibe watu midomo!!Ni wazi alikuwa na kasoro kichwani.Au alikuwa mshirikina.Washirikina hawawezi kujenga ghorofa bila kuua mtu, hawawezi kujenga kiwanda bila kuua,hawawezi kujenga shule bila kuua,n.k.Sasa mtu wa namna hiyo ni tatizo kupewa nchi.Angefanikisha kuifanya Tanzania kama ulaya basi watanzania tungebaki milioni 10 tu.Wengine tungekuwa tumetolewa kafara.
Kauwa wangapi?
Kwani sasa hivi watu hawafi?. Kwani wakati wa kikwete waatu hawakutekwa na kuuwawa.. Au ulikuwa mdogo?

Utofauti wa JPM na wengine ni kutogawa Asali tu. JPM alitaka pesa zote ziende kwenye maendeleo ila wanasiasa na wanaharakati wakawa wanataka wapewe mafungu. Kitu ambacho sasa hivi wanapewa na wanagombana wenyewe kwa wenye. Watu wengi tu wanatekwa na kufa alkini kelele ni chache kwa sababu ya asali.
 
Back
Top Bottom