Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake

Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.

Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.

Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.

Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.

Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Jiulize kwanini babako hakuwa Rais?
 
Soma mauaji mengine ya Magufuli hapa chini.

UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA BIHARAMULO

👉Mnamo Mwaka 1985 Mwalimu wa Kemia shule ya sekondari Sengerema John Pombe Magufuli aligombea ubunge wa jimbo la Biharamulo akichuana na Mkulima Phares Kabuye. Kabuye alishinda na kutangazwa Mbunge, na Mwalimu Magufuli akarudi Sengerema kufundisha.

👉Mwaka 1990 Mwalimu Magufuli alichuana tena na Mkulima Kabuye kwa mara ya pili. Kabuye alimshinda tena Magufuli na kutetea kiti chake.

👉Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, jimbo la Biharamulo liligawanywa na kupatikana majimbo mawili (Biharamulo Magharibi na Mashariki). Kabuye aligombea Magharibi akashinda. Magufuli nae akagombea Mashariki na kushinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda magharibi.
Baadae jimbo la Biharamulo Mashariki lilibadilishwa na kuitwa Chato..
Miaka kadhaa baadaye Phares Kabuye alifariki kwa ajali Morogoro.
RIP Phares kabuye

"Bila kuigawa Biharamulo mara mbili nazani sasa hivi John pombe magufuli angekuwa mwalimu mstaafu"

Anayemtetea Magufuli ni mshenzi tu.
 
Makosa ya magufuli ni kutetea rasilimali za Tanzania kupiga vita mafisadi na kuwafukuza wenye vyeti feki na hizi ni kelele za vibaraka wa mafisadi
Tanzania hatujawahi kuwa na vyetu feki ndo mana samia aliwarudisha kazini baada ya kuona ilikuwa ni siasa ile ya majitaka
 
Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake

Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.

Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.

Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.

Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.

Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
wewe una uwezo gani? tuanzie kwako kwanza
 
Makosa gani,wewe kwa upande wako Magu alikufanyia mabaya gani?
Au ndio maji kufata mkondo?
Makosa yake yalinigusa moja kwa moja. Hivyo sio mambo ya maji kufuata mkondo.
 
Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake

Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.

Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.

Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.

Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.

Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Ni rahisi sana shabiki wa Mpira kumkosoa mchezaji ambae yuko uwanjani akisakata kabumbu. Ili hari yeye mwenyewe hata aliambiwa akimbie toka lango Moja la goli Hadi jingine hawezi.

JPM pamoja na mapungufu yake yote mnayoyasema ambayo pengine sio yeye aliyafanya. May be watu walitumia mianya mbalimbali kujinufaisha.

Sisi tunabaki kushuhudia matendo Yale ya waziwazi. Matendo ambayo yanaishi Hadi Leo.
Maendeleo ya kasi ya 5G ambayo yapo Tanzania Leo JPM anamchamgo kuliko mtu yeyote anaeisho hivi Leo nchini Tanzania. Ukibisha nipe mfano wa mtu anae mzidi JPM.

Kaa ukijua, maendeleo ni painful process na inahitaji sacrifice ya hatari sana. Katika Mapambano hayo na yenye nia njema JPM alikutana na upinzani mkubwa sana hasa wa beberuzi na vibaraka ambao sitawataja hapa kwa sababu sio sehemu yake.. lakini Bado JPM aliipenda nchi yake kwa moyo wake wote.
 
Ni rahisi sana shabiki wa Mpira kumkosoa mchezaji ambae yuko uwanjani akisakata kabumbu. Ili hari yeye mwenyewe hata aliambiwa akimbie toka lango Moja la goli Hadi jingine hawezi.

JPM pamoja na mapungufu yake yote mnayoyasema ambayo pengine sio yeye aliyafanya. May be watu walitumia mianya mbalimbali kujinufaisha.

Sisi tunabaki kushuhudia matendo Yale ya waziwazi. Matendo ambayo yanaishi Hadi Leo.
Maendeleo ya kasi ya 5G ambayo yapo Tanzania Leo JPM anamchamgo kuliko mtu yeyote anaeisho hivi Leo nchini Tanzania. Ukibisha nipe mfano wa mtu anae mzidi JPM.

Kaa ukijua, maendeleo ni painful process na inahitaji sacrifice ya hatari sana. Katika Mapambano hayo na yenye nia njema JPM alikutana na upinzani mkubwa sana hasa wa beberuzi na vibaraka ambao sitawataja hapa kwa sababu sio sehemu yake.. lakini Bado JPM aliipenda nchi yake kwa moyo wake wote.
Katila marais wote walioirudisha nyuma nchi hii kwa kasi jpm ni namba moja unless huelewi maana ya maendeleo. Maendeleo ni watu siyo vitu. According to Rostow(2020) maendeleo ni proples' happiness not sorrows
 
Tanzania hatujawahi kuwa na vyetu feki ndo mana samia aliwarudisha kazini baada ya kuona ilikuwa ni siasa ile ya majitaka
Hakuna aliyerudi kazini ila alisema atawalipa mafao Yao waliochangia au na wewe ulikuwa na vyeti feki ukaridishwa?
 
Makosa yapi yalikugusa?
Ni vizuri kuwa muwazi.
Ajira, mkopo kukatwa 15% badala ya 3% iliyoachwa na jk. Biashara kufa iliyoathiri maisha moja kwa moja, siasa kuzimwa ambapo wadogo zetu walikuwa wamejiajiri kupitia upinzani, wawekezaji kukimbia akiwemo mbowe ambaye ali omolewa bilcanas ambayo iliajiri more than 50 employees wakaja kuvuta shisha mtaani nk
 
Back
Top Bottom