Hatuna dalili ya kuandaa vyema human capital, tazama products za vyuo vyetu Nadhani CCM inachangia kwa kiasi kikubwa vijana wengi waroho na waongo, usitegemee kutangeneza nchi kwa vijana wa silka hiyo. Huenda tukibadili uongozi tunaweza kuona matokeo, jpm alijaribu kwenye vyeti feki akakwamaEthiopia tatizo ni less resourceful ukilinganisha na nchi zingine ndio maana kwa sasa investment yao kubwa ni kwenye service industry ambayo ni muhimu pia...
Kenya itaendelea mbele zaidi sababu ya human resource na wanazidi kuinvest humo maana ndo point yao kubwa of Economic supremacy, Tanzania tukiweka nguvu hapa hatutoshikika
Acha uongo, kipindi cha nyerere kulikuwa na shida kubwa sana ukilinganisha na kipindi cha Mwinyi, mkapa, na Kikwete.
Hatuna dalili ya kuandaa vyema human capital, tazama products za vyuo vyetu Nadhani CCM inachangia kwa kiasi kikubwa vijana wengi waroho na waongo, usitegemee kutangeneza nchi kwa vijana wa silka hiyo. Huenda tukibadili uongozi tunaweza kuona matokeo, jpm alijaribu kwenye vyeti feki akakwama
Azimio la Arusha ndilo lilisababisha wazungu na wahindi kibao walifunga virago Wakati Kenya wwaliwabakiza
Unachongea uongo uchumi uliharibika NYERERE AKIWA madaraka usisukumie maraisi wengine
Vita ya kagera pia ilichangia uchumi kufa
Nchi ilikuwa tupu Haina hata pesa za kigeni.Mwinyi alipokea uongozi kwa Nyerere nchi ikiwa hoi bin taabani kiuchumi
Mleta mada Kawadanganyeni wajnga wenzio
Acha uongo, kipindi cha nyerere kulikuwa na shida kubwa sana ukilinganisha na kipindi cha Mwinyi, mkapa, na Kikwete.
Uongo!
Tanzania haijawahi kuwa na Uchumi mkubwa klk Kenya, simple logic tu mpaka Nyerere anaondoka TZ yetu ilikuwa planned socialist economy wakati Kenya ni capiatalistic from day one, kwanza Uchumi wa Kenya ulikuwa mkubwa mara 2 ya Tanzania, bidhaa karibia zote zilikuwa made in Kenya, hivyo sasa hivi ndiyo pengo limepungua lkn si TZ wala Uganda zilizowahi kuwa na Uchumi mkubwa klk Kenya, ...
Mimi ningependa kusema hivi, jmbo la kwanza ni mimi ni mkenya na mara nyingi huwa nashindwa kueleza tofauti hii yaletwa na nini haswa, samehea kiswahili changu.Kuna shida mahali.
Pamoja na watu kumnanga (very incorrectly and unfairly) Mwalimu Nyerere (RIP mzee wetu) kuhusu sera zake za uchumi, inaonekana dhahiri kuwa alikuwa akifanya vizuri zaidi kiuchumi kwa kuchukulia nchi ya Kenya kama benchmark. Nimeichukulia Kenya kama benchmark kwa vile ndiye mshindani wetu mkubwa kiuchumi kwenye EAC na mara zote Tanzania tumekuwa tukifanya kila jitihada kutaka kuwa juu yake.
Mnyonge mnyongeni lakini...
Sasa ukiangalia graphic trend kwenye video clip hii hapa chini utagundua kuwa wakati mwalimu alipokuwa anaondoka madarakani, Tanzania ilikuwa always juu ya Kenya kiuchumi (GDP) miaka ya 80s hadi anaondoka ofisini 1985. I mean pamoja na changamoto nyingi sana zilizopelekea mdororo wa kiuchumi kwenye late 70s (kuvunjika kwa EAC, vita vya Kagera, nk), bado Tanzania ilibaki kuwa ni "economy giant" kwenye EAC.
Sasa embu angalia performance ya marais waliofuata (ukimuondoa mzee Ruksa) vs Kenya kuanzia 1996:
Mkapa:
1996 aliingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $6B
2005 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $2B
Alijitahidi kupunguza GDP gap, so tunaweza kumpongeza kwa hilo lakini alishindwa kufanya alichokifanya Mwalimu (yaani kuifanya TZ iwe economically superior to KE)!
JK:
2006 aiingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $8B
2015 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $17B
JK aliruhusu gap lipanuke zaidi, pamoja na kwamba alijitahidi ku boost per capita kwa kiwango kikubwa kuliko Mkapa ($480B vs Mkapa's $330B).
JPM:
by 2016 Kenya walikuwa wametuzidi GDP kwa $20B
by 2020 Kenya tayari wameshatuzidi GDP kwa $44B
JPM is the worst performer vs Kenya. Sijui itakuwaje tukimpa tena nchi October - tunaweza kujikuta Kenya wametuzidi kwa $100B!
Kazi kwenu Watanzania. October hiyo yaja!
wacha matusi nyang'au wewe π π π ...!! una maana Watz bado ni wavivu hata sasa chini ya #hapakazitu??!!Mimi ningependa kusema hivi, jmbo la kwanza ni mimi ni mkenya na mara nyingi huwa nashindwa kueleza tofauti hii yaletwa na nini haswa, samehea kiswahili changu.
Anyway kuna mambo kadhaa ambayo nilifanya uchunguzi wangu na kuona ndio yaweza kuwa shida halisi. Awali nilijiuliza mbona iwe hivi wakati TZ lina idadi kubwa zaidi ya watu ,TZ ina eneo kubwa la ardhi tena lenye rotuba na madini kibao? and so I came up with the following issues which if you tanzanians mkiyatilia maanani basi mnaweza kutu pita tena kwa mbali;
1. UVIVU
Kuna muda fulani nilikuwa tanzania kwa muda wa mwezi mmoja hivi na nilizuru sehemu za arusha, manyara, ngorongoro na serengeti. Jambo nlilojionea pale lilinishangaza, watu wengi hawana msukumo wa kufanya kazi, jambo hili lina wadhuru sana kiuchumi. inastahili muwe mnaamka saa kumi asubuhi na kuchapa kazi ya aina yoyote kwa udi na uvumba. kenya twa fanya hivyo,,, twaamka mapema na twa fanya kazi kweli.
2. HASIRA ZA KIPUZI KUFWATIWA MAAMUZI YASIYO FAA
Kuna kipindi kenya ilizozana na uganda kuhusu migingo, tz wakashika ngombe za kenya na kuzipiga mnada halafu pia tz waka choma vifaranga zetu. tz ikaikataza kenya airways kupaa katika anga ya tz among others.
Chunguzeni kwa makini vile kenya huwa ina handle such issues. WE SIMPLY DONT FIGHT BACK, actually what we do ni kutafuta mazungumzo ya ki diplomasia ili kile kidogo tunapata kutoka tz au ug kiuchumi na tuendelee kukipata. Mna stahili kufata mfano huo kwa sababu TZ mnapenda sana kulipza kisasi mkiddani ndio njia bora.
3.KUTOPENDA WAGENI
Leo hii ukija kenya utakuta wa chaga kibao, utakuta wasomali kibao, utakuta wahindi kibao, utakuta wa sudanese kibao... hawa wote tunaishi nao kwa upendo hutojua hata kama si wakenya. kipindi kile nilikuwa TZ nilijionea ubaguzi openly na sio wakufichwa ...niliambiwa kabisa peupe. ilifika wakati hadi nikaletewa askari wakati nilikuwa humo tz kihalali kabisaa.
Cha ukweli hapa hampendi wageni, kuna vile wageni wanawakera kimpango sijawahi elewa ni kwa nini na jambo hili pia lina wagharimu kiuchumi.
Acheni wageni waje hata na waishi huko , wafanye biashara na hii kwa njia moja au nyingine itawainulia uchumi.
USHINDANI MBAYA
Mashindano ya aina yoyote ilre ni mazuri lakini do not put hard feelings ndani yake, shida nyingine hii hapa, mna machungu sana na kenya kwa kuwa ipo juu. machungu haya huwa yanafanya kubaki nyuma maana mtu hujisahau na kuanza kufikiria ya mwenzake sana. although hili sikulipa uzito sana.
ni kitambo niandike kiswahili kinachokaa sanifu hivi... I have really tried.
CCM toka iwepo ni mdororo wa uchumi toka mwanzo wake hata sasa haijalishi nani aliyeingia au kutoka!!kwa ile akili ya Mwinyi unatarajia nini zaidi ya huu utopolo.
Hizi porojo kweli Tanga wezi wengi, nyerere aliyekuwa kibaraka wa wazungu unajaribu kumsafisha kwa jiki, kadanganye watoto wenzio huko madrasaUnajua mataifa yote makubwa yalitaka kuona Nyerere anashindwa na anatolewa madarakani na vibaraka wao. Kiuchumi walihakikisha anashindwa. Strategy za kuiinua Kenya hazikuwa kwa bahati mbaya
In 70s Tanzania ilikuwa mbali kuliko Kenya
takwimu hazidanganyi ndugu!Siyo kweli, haijawahi kutokea, mpaka Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani Tanzania yetu ilikuwa nchi ya 3 kwa umaskini Duniani baada ya Baglandeshi na Msumbiji, Kenya haijawahi kuwa nchini hivyo kwa maana ni capitalistic economy tangia ukoloni, miaka ya 70 Tanzania ilikuwa inategema misaada ktk nje kwa > 85%, Kenya haijawahi kutegemea misaada kwa kiwango hicho, siku zote imekuwa ikifadhili bajeti zake kwa kodi kama tufanyavyo sisi leo hii.
Tanzania yetu haijawahi kuipita Kenya Kiuchumi tangia kuchukuliwa na Mkoloni Muingereza labda wakati wa Mjerumani hapo sijui hali ilikuwaje, ...
takwimu hazidanganyi ndugu!
Kuna shida mahali.
Pamoja na watu kumnanga (very incorrectly and unfairly) Mwalimu Nyerere (RIP mzee wetu) kuhusu sera zake za uchumi, inaonekana dhahiri kuwa alikuwa akifanya vizuri zaidi kiuchumi kwa kuchukulia nchi ya Kenya kama benchmark. Nimeichukulia Kenya kama benchmark kwa vile ndiye mshindani wetu mkubwa kiuchumi kwenye EAC na mara zote Tanzania tumekuwa tukifanya kila jitihada kutaka kuwa juu yake.
Mnyonge mnyongeni lakini...
Sasa ukiangalia graphic trend kwenye video clip hii hapa chini utagundua kuwa wakati mwalimu alipokuwa anaondoka madarakani, Tanzania ilikuwa always juu ya Kenya kiuchumi (GDP) miaka ya 80s hadi anaondoka ofisini 1985. I mean pamoja na changamoto nyingi sana zilizopelekea mdororo wa kiuchumi kwenye late 70s (kuvunjika kwa EAC, vita vya Kagera, nk), bado Tanzania ilibaki kuwa ni "economy giant" kwenye EAC.
Sasa embu angalia performance ya marais waliofuata (ukimuondoa mzee Ruksa) vs Kenya kuanzia 1996:
Mkapa:
1996 aliingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $6B
2005 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $2B
Alijitahidi kupunguza GDP gap, so tunaweza kumpongeza kwa hilo lakini alishindwa kufanya alichokifanya Mwalimu (yaani kuifanya TZ iwe economically superior to KE)!
JK:
2006 aiingia na kukuta Kenya wametuzidi GDP kwa $8B
2015 alitoka na kuacha Kenya wametuzidi GDP kwa $17B
JK aliruhusu gap lipanuke zaidi, pamoja na kwamba alijitahidi ku boost per capita kwa kiwango kikubwa kuliko Mkapa ($480B vs Mkapa's $330B).
JPM:
by 2016 Kenya walikuwa wametuzidi GDP kwa $20B
by 2020 Kenya tayari wameshatuzidi GDP kwa $44B
JPM is the worst performer vs Kenya. Sijui itakuwaje tukimpa tena nchi October - tunaweza kujikuta Kenya wametuzidi kwa $100B!
Kazi kwenu Watanzania. October hiyo yaja!
Mwai kibaki was Best president EverKwa Tanzania uchumi wetu ulikuwa more stable kwenye Era ya Mkapa wakati Kenya bado ilikuwa kwa Moi ambaye nae hakuwa mzuri
Kikwete kaingia lakini hakuwa mzuri kwenye uchumi ukilinganisha na mkapa, kigezo kizuri tu ni control ya mfumuko wa bei na thamani ya shillingi dhidi ya dollar. Ukirudi kwa Kenya time hiyo ndio aliingia Kibaki nayo ikawa golden Era kwa Kenya
Kibaki kaacha msingi imara haswa kwenye miundombinu na demokrasia, fikiria tu mfumo wa kenya kwa sasa ambao serikali kuu imeachia uhusu serikali za chini kama mikoa kujiamulia baadhi ya mambo yake kama budget. Hiyo imechochea zaidi ukuaji wa Kenya
Sitegemei Uchumi ukue in figures kwenye Kipindi cha magufuli maana Sera zake za uchumi ni kama anarekebisha na si kuukuza na mbaya zaidi Private sector inapumulia mashine tu. So, Kenya kwa speed yao wapo vizuri though sisi bado tuna potential kubwa ya kukua kuliko wao