Mpaka nimetoka machozi, ujangili bado ni tatizo kubwa Afrika

Mpaka nimetoka machozi, ujangili bado ni tatizo kubwa Afrika

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Tusipokuwa makini wajukuu zetu hawatapata urithi wowote.
6346CED6-A328-4BF9-A1E8-912300000BBE.jpeg
 
Mbona kafa huku amedindisha ,au alikuwa anakula mzigo wakampiga risasi hapo hapo
 
hao wakiisha tutaanza kuwindana wenyewe, maana ake wajaruo wanameno marefu sana.
 
Usikute huyu tembo kagongwa na nyoka ama kafa kwa uzee tu....jamaa kakimbilia kunya na kuja kuweka utopolo wa Yanga hapa.
 
Madhara yake, Tembo wengi sasa wanazaliwa hawaoti pembe, miaka ijayo Tembo wote watakuwa hawana hayo meno.
 
Duh kumbe Elephant ana mtarimbo mzuri hivo, hongera zenu tembo jike maana
Tukiangalia uwiano Wa mwili na hiyo Mashine, Marehemu alikuwa ni Kibamia tu.!

R.I.P Mr. Tembo.
 
Back
Top Bottom