MTAZAMO JF-Expert Member Joined Feb 8, 2011 Posts 19,675 Reaction score 33,583 Jul 15, 2021 #121 Anaupiga mwingi saaana ....
Kipangaspecial JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 20,778 Reaction score 28,722 Jul 16, 2021 #122 Underrated one said: Kwani mkuu? Click to expand... Kwa sababu mkuu
parcel Member Joined Aug 13, 2020 Posts 16 Reaction score 11 Jul 16, 2021 #123 Mgeni wa Jiji said: Mama hana tatizo, bado anaucheza kama Zizu sema shida maji ya muarabu yamepanda bei sana beki hazikabi Click to expand... Kweli beki hazikabi , Pia hata mafowadi nao mbona wanapoteza mpira kila wakipasiwa, Nazani viungo,walinzi WA Kati na WA pembeni wanapaswa kujiimarisha kwa kujinyumbua kwa umakini
Mgeni wa Jiji said: Mama hana tatizo, bado anaucheza kama Zizu sema shida maji ya muarabu yamepanda bei sana beki hazikabi Click to expand... Kweli beki hazikabi , Pia hata mafowadi nao mbona wanapoteza mpira kila wakipasiwa, Nazani viungo,walinzi WA Kati na WA pembeni wanapaswa kujiimarisha kwa kujinyumbua kwa umakini
Vivax JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 520 Reaction score 184 Jul 16, 2021 #124 Mgeni wa Jiji said: Mama hana tatizo, bado anaucheza kama Zizu sema shida maji ya muarabu yamepanda bei sana beki hazikabi Click to expand... Tukabe kwa gesi.kwani gesi haiwezi toa ruzuku?
Mgeni wa Jiji said: Mama hana tatizo, bado anaucheza kama Zizu sema shida maji ya muarabu yamepanda bei sana beki hazikabi Click to expand... Tukabe kwa gesi.kwani gesi haiwezi toa ruzuku?
Vivax JF-Expert Member Joined Feb 21, 2013 Posts 520 Reaction score 184 Jul 16, 2021 #125 Ivan said said: Umesema vema kiongozi, kodi tulipe wote na mama anakwenda vizuri ni suala tu la kumpa muda. Click to expand... Hivi vya mobile pesa vya juzi na jana siyo kodi baba . Hii inaitwa TOA HELA. TOZO YA NINI? TRA watusaidie kutafsiri hii kitu. What kind of Levy is this? Watamshauri Mheshimiwa Rais hata kuchapisha noti They are good for nothing
Ivan said said: Umesema vema kiongozi, kodi tulipe wote na mama anakwenda vizuri ni suala tu la kumpa muda. Click to expand... Hivi vya mobile pesa vya juzi na jana siyo kodi baba . Hii inaitwa TOA HELA. TOZO YA NINI? TRA watusaidie kutafsiri hii kitu. What kind of Levy is this? Watamshauri Mheshimiwa Rais hata kuchapisha noti They are good for nothing
Mariki boy JF-Expert Member Joined Nov 17, 2019 Posts 359 Reaction score 1,155 Jul 16, 2021 #126 Yani ni bora mtoto akalelewa na mama mkubwa lakini sio Baba mkubwa [emoji848][emoji848]
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 76,039 Reaction score 230,142 Jul 16, 2021 #127 Numbisa said: Yale majitu yaliyokua yanapiga kelele za mataga bado yanakenua meno? Click to expand... Walisema MATAGA watulie dawa iwaingie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
Numbisa said: Yale majitu yaliyokua yanapiga kelele za mataga bado yanakenua meno? Click to expand... Walisema MATAGA watulie dawa iwaingie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app