Mpaka sasa bado ni porojo tu kuhusu ufisadi wa Hayati Magufuli, CCM na wabaya wake mnafeli wapi?

Mpaka sasa bado ni porojo tu kuhusu ufisadi wa Hayati Magufuli, CCM na wabaya wake mnafeli wapi?

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
kelele nyiiingi, wakati inahitajika mtu mmoja athibitishe, mahakama zithibitishe kuhusu hizi kelele za ufisadi wake, lakini mpaka sasa ni kelele tu zisizo na maana! CCM na maadui wa hayati JPM mnakwama wapi?

Huyu aliyekuwa mwamba wa siasa za kiuchumi na rafiki mzuri wa Watanzania wa hali ya chini!

Siasa zake zake za kivitendo na sio masimulizi meeengi kama walivyowatawala wengi! Ili kufanya achukiwe na watanzania ambao kwao alikuwa ni mkombozi na mtetezi wao wa bila uficho, sielewi mnapaswa mfanye kitu gani!

Huyu mheshimiwa wa muda wote, kwanza hayuko duniani 2years, mafaili yote kayaacha hapo Whitehouse na wala hakujiandaa kwamba labda afiche baadhi ya nyaraka, zote ziko hapo! Mnafeli wapi CCM na wabaya wake kuweka peupe kila uwizi na ufisadi wake?

Badala yake mnapiga kelele mitandaoni tena kulazimisha eti kila mmoja akubali kuwa ni mwizi na fisadi?
Siku hizi hakuna mahakama? Mbona Escrow ilijulikana tu nani alihusika nayo na hata sasa ukiuliza kila mtu anajua kuwa nyuma ya Escrow kulikuwa na kigogo fulani?

CCM, wafoji vyeti, mafisadi mnaokula kwa urefu wa kamba zenu, mnatuchosha bhana!
 
Hata kipindi Cha mungu wenu wa chatto inajulikana kuwa ununuzi wa ndege alitupiga , na nyuma ya hizo za uchina ni yy ndo staring
 
Hata kipindi Cha mungu wenu wa chatto inajulikana kuwa ununuzi wa ndege alitupiga , na nyuma ya hizo za uchina ni yy ndo staring
Hizi ni stori kama stori zingine! Basi kama ni hivyo, bongo ni mahali pa mateso na ni jamii ya wapumbavu sana, yakiibiwa, hayaendi mahakamani zaidi ni kushuku tu tulipigwa hapa, tulipigwa kule, huo ni upumbavu!

Nendeni mahakamani nyau nyie
 
Mama hawezi kusema uongo ,pesa zimefichwa china,waminywe mambupu dotto james na biswalo mganga watatema tu ndoano.
 
Back
Top Bottom