Mpaka sasa bado sijaona makosa ya Hayati Magufuli labda kosa alilonalo ni kuipenda Tanzania kwa maisha yake na huo ndio upendo wa kweli.

Mpaka sasa bado sijaona makosa ya Hayati Magufuli labda kosa alilonalo ni kuipenda Tanzania kwa maisha yake na huo ndio upendo wa kweli.

Basi tuendele kutii mamlaka mkuu, hata ikirudisha vyeyi feki, ikituuza kwa mikopo ya masharti haramu bado tuendelee kutii mamlaka tusifanye uhaini

Penye makosa lazima tuseme ili Taifa likae kwenye msitari, viongozi sio malaika kwamba hawakosei, na kumbuka maamuzi ya viongozi yanaweza kuangamiza au kuliponya taifa
Muhuni alikuwa yeye sio upinzani. Ndio maana kila siku alikiwa anahangaika na upinzani mpaka anaondoka.
Upinzani gani unaouzungumzia mzee au wapinzani ndio hawa wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia isiyohalali kupitia siasa walilambishwa asali husiki kelele za kutetea maslahi ya wananchi
 
Utekaji,uuaji,kubambikia watu kesi,ukabila na ukanda,ubadhirifu na kubwa kuliko yote wizi wa kura. Haya ndiyo yamemfanya awe motoni sasa hivi.
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Mwacheni mzee wa watu apumzike
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Magufuli alikosea hapa:
1. Kutopandisha madaraja wafanyakazi ambalo ni takwa la kisheria.
2. Kutoajiri kama mzee Kikwete ambapo mpaka sasa wahitimu wamerundikana majumbani huku wakipigiwa mambio ya kujiajiri wakati elimu waliyopewa ni ya kuajiriwa.
3. Kuruhusu wasiojulikana wakaua watu wanaopaswa kuwalinda.
4. Kughairisha kupeleka SGR Kigoma na kupendelea njia ya kuelekea kwao usukumani.
5. Kukosa kabisa political tolerance.
6. Niongeze hujatosheka?...........
 
Ukiulizwa maswali huwezi jibu!

Mfano mdogo, unasema aliiba 1.5t, utuambie alizipeleka wapi na kwenye makusanyo gani ambapo unasema alipika data za TRA na wakati huo huo akifanya ujenzi wa miradi mikubwa mikubwa Karibu nchi nzima?

Kwa sasa serikali inakopa sana na inasema inakusanya kuliko kipindi cha mpika data, utuambie, kwa nini serikali ya sasa inayokusanya kodi kwa wingi zaidi na ambapo miaka yote miwili haijajenga barabara mpya hata moja tu, pesa wanapeleka wapi?

Ukisema inapeleka kwenye miradi, miradi ipi iliyoongezwa tofauti na iliyoikuta?

embu thibitisha wizi wa Magufuli tuuone mkuu
Umempa facts akikujibu nitag
 
K
Kila mtu ana maoni yake kuhusu Magufuli. Kwangu Mimi alikuwa worst president maana aliendekeza chuki za kisiasa hata Kama kuua angeua. Mimi yalinikuta kisa nipo Chadema.
Umber shida ni itikadi ya kisiasa aisee nilikuwa sijui hilo
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Magufuli alikuwa mshenzi tu bana, mazuri gani alifanya? Mtu ambaye anasema nitawafanya matajiri waishi kama mashetani anaweza akawa na zuri?

Ningemuelewa kama angesema "Nitawafanya maskini waishi kama matajiri"

Hivi kweli inaingia akilini Magufuli anaiba mpaka uchaguzi wa Serikali za mitaa? Kweli hayo ndiyo mazuri? Acheni mzaha, yule ilikuwa lazima aage dunia tu kwa uovu wake
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Inabidi uwe na akili ambazo zinafikiria principles, policies na sustainability!
Lakini ukiwa na akili za uchawa huwezi kuona makosa ya JPM. Marehemu alifanikiwa sana kuwarubuni kwa miradi ambayo hata wewe au mwingine angeweza kuifanya kumbe nyuma ya pazia alikuwa na madhaifu mengi sana!
Serikali lazima iajiri watu wake! Hakufanya!
Serikali lazima iangalie maslahi ya wafanyakazi wake! Hakufanya!
Serikali lazima iwe na sera za haki sawa Kwa kila raia... Alionesha wazi wazi kuwapenda kikosi kazi kuliko kawaida!
Alidhulumu na kuwaibia watu wazi wazi! Tena kwa dharau!
Kwangu... Ni aina ya watu waliofanikiwa kushika nafasi za juu kwa sababu nchi imepoteza dira na muelekeo!
Zaidi ya kuibua na kueneza chuki... Hakuna jipya alilotenda!
 
Ukiulizwa maswali huwezi jibu!

Mfano mdogo, unasema aliiba 1.5t, utuambie alizipeleka wapi na kwenye makusanyo gani ambapo unasema alipika data za TRA na wakati huo huo akifanya ujenzi wa miradi mikubwa mikubwa Karibu nchi nzima?

Kwa sasa serikali inakopa sana na inasema inakusanya kuliko kipindi cha mpika data, utuambie, kwa nini serikali ya sasa inayokusanya kodi kwa wingi zaidi na ambapo miaka yote miwili haijajenga barabara mpya hata moja tu, pesa wanapeleka wapi?

Ukisema inapeleka kwenye miradi, miradi ipi iliyoongezwa tofauti na iliyoikuta?

embu thibitisha wizi wa Magufuli tuuone mkuu
Ni mbiu za kihalifu zinazopigwa zisizo na vielelezo.
Hawezi na akikuwekea hivyo vielelezo na kujibu hayo maswali magumu kwa usahihi, naomba unitag.
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Haiti kwenye viroba
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Kosa lake kubwa ni kuwachukia mafisadi mpaka ndani ya Chama chake !!
 
Upinzani gani unaouzungumzia mzee au wapinzani ndio hawa wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia isiyohalali kupitia siasa walilambishwa asali husiki kelele za kutetea maslahi ya wananchi
Wananchi wapi wa kuwatete Tanzania hii, hakuna kitu kigumu kama kuwatetea watu ambao wameridhika na hawajitambui, mara ngapi wapinzani wamwteswa, wamefungwa, wamwsingiziwa kesi, wapepigwa na polisi, wamewekwa ndani, na hata familia zao kupitia mateso kwa sababu ya kutetea wananchi, kuna mwanannchi hata mmoja aliwahi kunyanyuka kuungana na upinzani kutetea wanachosimamia? Sanasan tutapiga kelele kwenye keyboard, Watanzania tumeridhika hatuhitaji mtetezi waacheni walambe asali sasa maana mateso waliyopitia yametosha

Tubaki hivihivi mpaka siku akili zitarudi, tusiwatwishe mzigo wa kututetea watu wengine eti kisa mi wapinzani
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Hivi wewe ni jini unaekunywa damu za watu waliopotezwa kuuliwa na kusokomezwa kusikojulikana hadi leo? wale waburundi waliokodiwa kushughulikia wanaoleta fyokoyoko kule Zanzibar siku za uchaguzi ulikunywa wewe damu zao? watu waliotekwa na wengine kupigwa risasi kupata ulemavu pia sio chochote, watu wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni kunyanganywa hela zao kwa nguvu pia si chochote lakini haki za watu waliopiga kura na kuchagua watu wao badala yake uhuni ukafanyika wakaekwa aliotaka na kujisifu kwa wabunge mimi ndio nimekuleteni hapa bungeni na mengine mkuu, watu kuvunjiwa majumba yao na kunyanganywa mashamba yao ya miaka nenda miaka rudi bado si chochote si lolote, makesi watu kubambikiwa na kusekwa jela
 
Hizo 1.5b aliingiza kwenye account yake binafsi au "alitohoa" matumizi?

Tofautisha ufisadi unaopigiwa kelele sasa na kubadilisha "mfumo" wa manunuzi ama matumizi lakini fedha zikawa zimefanya kazi zile zile za umma kwa mtindo mwingine.

Mimi niseme tu kwamba haitakuja kunitokea hata siku moja kum'rank' Magufuli tofauti, kwa maelezo yoyote mabaya anayozuliwa kwayo hivi sasa baada ya kifo chake.

Ujue, sababu kubwa hasa inayofanya watu kuanza kulalamika na kukufuru baada ya kifo chake ni zile tabia za kuleana zilizomo kwenye damu, wizi na janja janja walizozoea waTz.

Uhalifu ulishakuwa ni utamaduni wa jamii, ndiyo maana hata ufisadi unaofanywa sasa, hakuna anayeshangaa wala kujali.

Alivyofukuza watumishi wa umma wenye vyeti ghushi, viongozi wasiowajibika nk nk, tunajua hakuna ulimi wala vinywa vyao ama vya wahalifu wengine vinavyoweza kumsema vyema pamwe kutambua mchango wake mkubwa alioutoa kwa Taifa hili na kuacha alama za kudumu kwa kipindi chake kifupi.

Mwenyezi Mungu amuweke mahali pema peponi, amina.
Alale anapostahili na ahukumiwe kulingana na matendo yake, hakuna cha alale pma peponi, huo mi msemo tu, kila mtu huwa analala anapostahili
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
1. Hivi wewe, unajua zile 1.5T zilizotajwa na CAG, zilipo?

2. Wewe hivi unafahamu wale wakurugenzi wa NSSF waliotumbuliwa naye, na akawaweka wapya, hivi unafahamu kuna nafasi moja walikuwa wanalipwa watu wawili (mtumbuliwa na mteuliwa mpya) kwa mwaka mzima?

3. Unafahamu kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopo mlimani city alikibomoa na jamaa wakalipwa fidia, na kituo kimejengwa tena pale pale?

4. Unafahamu kuwa kuna kituo cha mafuta kule Mwanza nacho alikibomoa na tukalipishwa?

5. Unajuwa hela za pre-bargai zilienda wapi?

ETC..

BTW,
Unadhani kwanini Rais Samia alisema kulikuwa na simba wa yuda?
Kwanini Kimei juzi tu hapa amesema watu walikuwa wanaziogopa benki?
ETC...

Ukifanya kama afanyavyo mbuni, kwamba alipokuona anajua haupo, basi anaamua aingize kichwa majanini, HUTAONA BWANA YULE ALICHEMKA WAPI, NA ITAKUWA UMEFANYA KWA MAKUSUDI TU..!!
 
Back
Top Bottom