Mpaka sasa bado sijaona makosa ya Hayati Magufuli labda kosa alilonalo ni kuipenda Tanzania kwa maisha yake na huo ndio upendo wa kweli.

Mpaka sasa bado sijaona makosa ya Hayati Magufuli labda kosa alilonalo ni kuipenda Tanzania kwa maisha yake na huo ndio upendo wa kweli.

Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Kichwa cha Habari kimemaliza Kila kitu
Apumzike kwa Amani
 
Hizo 1.5b aliingiza kwenye account yake binafsi au "alitohoa" matumizi?

Tofautisha ufisadi unaopigiwa kelele sasa na kubadilisha "mfumo" wa manunuzi ama matumizi lakini fedha zikawa zimefanya kazi zile zile za umma kwa mtindo mwingine.

Mimi niseme tu kwamba haitakuja kunitokea hata siku moja kum'rank' Magufuli tofauti, kwa maelezo yoyote mabaya anayozuliwa kwayo hivi sasa baada ya kifo chake.

Ujue, sababu kubwa hasa inayofanya watu kuanza kulalamika na kukufuru baada ya kifo chake ni zile tabia za kuleana zilizomo kwenye damu, wizi na janja janja walizozoea waTz.

Uhalifu ulishakuwa ni utamaduni wa jamii, ndiyo maana hata ufisadi unaofanywa sasa, hakuna anayeshangaa wala kujali.

Alivyofukuza watumishi wa umma wenye vyeti ghushi, viongozi wasiowajibika nk nk, tunajua hakuna ulimi wala vinywa vyao ama vya wahalifu wengine vinavyoweza kumsema vyema pamwe kutambua mchango wake mkubwa alioutoa kwa Taifa hili na kuacha alama za kudumu kwa kipindi chake kifupi.

Mwenyezi Mungu amuweke mahali pema peponi, amina.
Aagh wapii..!!! Jama alikuwa katili na gaidi haswa. Kauli zake nyingi tu zinasema hivyo.
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Magufuli ni shujaa
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Ukiwa na kiwango flani cha akili ndio unaweza kuona ushenzi wa Magufuli.
 
Tafuta machapisho ya hawa watu utapata kujua upande mwingine wa pili wa "MAKENZI" wa CHATTLE.

-Martin Masese
-Luqman Maloto
-Ansbert Ngurumo.
 
1.5 Trilion
Fedha za Plea Bargain
Fedha za Bureu de Change
Fedha za vitambulisho vya wachinga
Uhuni wa uchafuzi aliouita uchaguzi wa serikali za mitaa madiwani na wabunge
Sarakasi zake Kijijini kwao Chato
Kapite Tanzanite bridge na Magufuli Bus Terminal halafu urejee haya. Inaweza kuwa sehemu ya hayo yaweza kuwa yalifanywa na watumishi wengine.
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Kuipenda nchi siokuharibu kukwapua Mali zawavuvi kuipenda nchi siokuiba pesa zawakulima nawafanyabiasha walizo weka benki kuipenda nchi siokushindwa kuajiri watumishi wapya kuipenda nchi sio kuwaua watu namakaburi yao yawe viroba wala sio kumzuru lisu jamaa alikuwa mshenzi nakatili sana mungu amlani sanahukoaliko asipumzishwe kabisa.nimwendo wamoto milele
 
Back
Top Bottom