MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Nchi hii kila chenye mafanikio huwa kinatokea tu kwa BAHATI ya Mungu.Hakuna jitihada isiyo na changamoto, zitatatuliwa jinsi zinavyotokea, hii ndiyo njia pekee ya kuwainua wakulima na kuinua uchumi wa nchi yetu
Na kikishatokea ikaonekana kina MASLAHI MaCCM huwa yanakivamia na kukiwekea vikwazo mpaka KINAKUFA.
Iko wapi Kahawa Chai, Cocoa, Ufuta Mbaazi na KOROSHO ????
Sasa hivi MiCCM inajifanya iko busy na PARACHICHI. Subiri utaona.
MaCCM NI SHETANI mwenye MENO MAKALI Mnyonya DAMU.