Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Mungu wa kweli amemkimbia, kabaki na mungu wake wa huko anapopajua yeye.
Wajumbe wanashawishika kwa pesa mkuu, Gwaji mtunwa Mungu hakutoa mlungula wajumbe wakamchinja.Gwajima Hana akili ya kushawishi watu wenye akili kama wapiga kura wa jimbo la Kawe!!!
Kama hakuweza kuwashawishi wajumbe tu wa CCM ndo aweze kuwashawishi wapiga kura wa kawe??? Hapana. Labda kama CCM wameona anaweza kujifanyia kampeni kwa fedha zake ila sio kuwashawishi wapiga kura wasomi wa jimbo la Kawe!!! Mdee ameshashinda!
Mtu aliyeshindwa kuwashawishi wajumbe wa CCM tu ndo awashawishi wasomi na matajiri wa jimbo la Kawe? Huku ana skendo zenye ushahidi za ukabila na uzinzi? Labda ashinde Kawe ya mwanza, Sio Kawe hii ya Dar es SalaamHuyu anajitekenya nankucheka mwenyewe hamjui gwajiboy vizuri.
Sidhani kama baba askofu gwajima atapita asee,,sidhani..Sio kwa jimbo la Kawe la wasomi na watu wenye uwezo wa kifedha kwa wingi!!
Gwajima ana makandokando mengi sana, hawezi kupita jimbo la Kawe, labda ingekuwa jimbo lingine!!!
Watu wa Kawe ninaowajua mie sio wa kwenda kumchagua mtu anayejirekodi akifanya mapenzi na mwanamke. Hapana!!! Sio Kawe hii!!! Bora wangempitisha yule Mkurugenzi wa Mwananchi, Francis Nanai
Unamsema Gwaji boy yupi???Huyu anajitekenya nankucheka mwenyewe hamjui gwajiboy vizuri.
Sawa mkuu.Ukishakua Muislam kuna nati huwa zinalegezwa kwenye ubongo haki ya mama
Lakini pia Gwajima amekuwa "sponsor" wa Mdee kipindi chote. Kifupi yule kapelekwa kubomoa alichoshiriki kujenga.Hapa unajidanganya mwenyewe, Gwajima ndio mgombea hatari kuliko mgombea yeyote wa ccm.
Kama mnataka kushinda kawe pangeni mikakati ya ziada kupambana naye, ccm si wajinga kumkata aliyeshinda kura za maoni na kumchukuwa mshindi wa tatu.
Kwanza hatari ya kwanza Gwajima analimudu jukwaa kuliko mtu yeyote yule Tanzania hii, take my word Chadema iwekeze nguvu ya ziada kulichukuwa jimbo la kawe this time, huu ni ukweli mtupu.
Cha mwisho ufahamu Gwajima ni taasisi si mtu wa kawaida yule.
Gwajima hawezi kupita kawe, na hakuna Muislam mwenye akili timamu wakumpigia kura Gwajima, kwahicho Magufuli kakosea kutuletea mwana CCM. Najua Gwajima ananguvu kubwa na Gwajima nitaasis lakini kwa wingi wetu waislam nakuapia Gwajima hatoboi, napia hili jimbo limejaa wapemba&Waha ambao wengi wao hawaipendi CCM.Lakini pia Gwajima amekuwa "sponsor" wa Mdee kipindi chote. Kifupi yule kapelekwa kubomoa alichoshiriki kujenga.
Mimi sio muislamu ila nakuunga mkono!Gwajima sintomchagua kulingana na udini alionao, nashauri waislam wote tunaoishi kawe tusimchague Gwajima kwa sababu ni mdini sana, atazigeuza madrasa zetu kuwa Sunday school.
Heri ndugu zangu waislam hasa wapemba wengi jirani zangu tusimchague Gwajima, amejidhihirisha kutopenda waislam, na kuwatukana kila mahala, kama muislamu kheri nimchague Mdee kuliko, kukubali kuongozwa na mtu anaekashifu dini yangu.
Natangaza rasmi kuanzia leo kuanza kampeni ya mtu kwa mtu kwandugu zangu waislam kuwaonyesha ubaya wa Gwajima juu ya dini yetu waislam. Hatuchagui kiongozi kulingana na dini yake lakini pia hatuko tayari kuchagua kiongozi atakaetubagua kulingana na dini yetu, waislam wenzangu wakawe nawaasa twendeni na Halima, dini yetu nibora kuliko chochote, namtu anaekashifu dini yetu hatuwezi kuruhusu atuongoze, ndugu zangu wana ccm ambao ni waislam Gwajima hatufai kwa sababu nimdini mno.
Kama Muislam siko tayari kumchagua mtu anaekashifu dini yangu waziwazi na nawaasa ndugu zangu waislam tuwe makini juu ya Gwajima , kheri Halima ingawa nimkristo lkn hayuko tayari kutuongoza kwa kufuata dini, nasijawahi kumsikia popote akikashifu dini yamtu.
Heri nionekane mdini lakini sio kuruhusu Gwajima atuongoze waislam tunaoishi kawe.
Pesa zake tunakula na hatumchagui gwajiboy wenu!Halima keshaondoka hapo ingawaje nampenda sana yule dada. Haogopi na anajiamini ila kwa huyu mtu aliyeweka, kazi anayo. Pesa , kuongea na ushawishi.
Ni kweli pasi shaka kwamba Gwaji Boy ni mdini Ila hawezi kugeuza Madrasa kuwa Sunday School kwakua yeye ni mbunge tu na hana mamlaka ya kufanya hivyo.Gwajima sintomchagua kulingana na udini alionao, nashauri waislam wote tunaoishi kawe tusimchague Gwajima kwa sababu ni mdini sana, atazigeuza madrasa zetu kuwa Sunday school.
Heri ndugu zangu waislam hasa wapemba wengi jirani zangu tusimchague Gwajima, amejidhihirisha kutopenda waislam, na kuwatukana kila mahala, kama muislamu kheri nimchague Mdee kuliko, kukubali kuongozwa na mtu anaekashifu dini yangu.
Natangaza rasmi kuanzia leo kuanza kampeni ya mtu kwa mtu kwandugu zangu waislam kuwaonyesha ubaya wa Gwajima juu ya dini yetu waislam. Hatuchagui kiongozi kulingana na dini yake lakini pia hatuko tayari kuchagua kiongozi atakaetubagua kulingana na dini yetu, waislam wenzangu wakawe nawaasa twendeni na Halima, dini yetu nibora kuliko chochote, namtu anaekashifu dini yetu hatuwezi kuruhusu atuongoze, ndugu zangu wana ccm ambao ni waislam Gwajima hatufai kwa sababu nimdini mno.
Kama Muislam siko tayari kumchagua mtu anaekashifu dini yangu waziwazi na nawaasa ndugu zangu waislam tuwe makini juu ya Gwajima , kheri Halima ingawa nimkristo lkn hayuko tayari kutuongoza kwa kufuata dini, nasijawahi kumsikia popote akikashifu dini yamtu.
Heri nionekane mdini lakini sio kuruhusu Gwajima atuongoze waislam tunaoishi kawe.