Mpaka sasa Lissu hafai kuwa CHADEMA maana chama hicho ni CCM B, hakina tena mpango wa kupigania wananchi

Mpaka sasa Lissu hafai kuwa CHADEMA maana chama hicho ni CCM B, hakina tena mpango wa kupigania wananchi

Sukuma Gang ndiyo mnapiga mayowe kwani hamna nafasi katika kinachoendelea mnaishia kubwekea mitandaoni tu. Chadema kwenye maridhiano ipo na kwenye harakati za kuweka mbinyo field wapo hiyo ndiyo maana ya twanga kotekote. Relax !! Tunawafanyia kazi nzuri kwa mustakabali wa nchi nzima,nyie sukuma Gang msoga Gang wamekwisha kuwa-outsmart tuachieni hii kazi tunaiweza.
Ha ha ha.
Taarifa Taarifa, ngo ngo ngo
Hakuna kabila Kubwa Tanzania na lenye watu makini kama la Wasukuma. Yaani hakuna. Hizi njia mnazotumia CHADEMA za kuwatenga na kuwabagua Wasukuma haiwajengeni.
Vilevile,Hakuna Genge lelote lile linaloitwa Sukuma Gang Tanzania. Hata mkilazimisha vipi. Mnachokifanya ni kujaribu Kuchafua na hapo baadae mje kuangamiza....yaani total Genocide against Sukuma tribe in Tanzania. You will fail. Mtashindwa.

Inaeleweka CHADEMA imeungana na makundi ya Kibeberu kuratibu, na kueneza taarifa na jumbe za Chuki dhidi ya Kabila hili Tanzania ili Iwaangamize na kuwatokomeza kutoka kayika Tanzania hii ya Leo huku wakijua Wasukuma ni Kabila Kubwa yaani robo ya Wapiga kura Tanzania. Kampeni hii, God forbid if CHADEMA takes over Government and its Organs it will as her Members have vowed, Destroy the People's and or Tribe of the Wasukuma so that their land maybe sold to the Highest bidder to the Imperialistic Investers from other Countries CHADEMA associates with. Sukuma land is Rich with Gold and Diamonds surrounded by Fertile Land and Lake. Sukuma tribe has one of the highest voting Block in Elections in Tanzania, and this block, traditionally has been voting for CCM party which CHADEMA looks to oust by(genocide) evicting and destroying the Wasukuma Tribe.

Wasukuma waanze kuwa makini kuhusu CHADEMA na vibaraka wao. Yaani wakiwachagua CHADEMA basi ndio watakuwa wametia sahihi ya kungamizwa kwao. Mkumbuke wataanza na Majimbo, wawaondoe kwenye shughuli za Kiuchumi ati Kwa sababu wameona mlipendelewa na Hayati Rais J.P.M...halina ubishi hili, wameandika hata na Kitabu!
Chagua kwa Makini 2025 tusije tukaangamizwa.
 
Maridhiano yaliyofanywa kati ya CCM na CHADEMA, kila mwenye akili timamu alijua mwisho wake

Hao wenye akili na macho ya kuona kama kina Lissu, waliuona huo mchezo kwamba, hauna tija wala mwisho mwema katika kuitafuta dola kama chama cha upinzani!

Yale yalikuwa maridhiano ya kuipozesha CHADEMA makali yake na si vinginevyo.

Na hayo, M/kiti chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, alionywa, ila baadhi ya mambo aliyaficha hakuyaweka wazi mbele ya viongozi wenzake kuhusiana na yale yenye msingi. Katika mpatano huo wa vyama hivi viwili CCM na CHADEMA.

Ni yale yale viongozi wenzake ambayo walionya kuwa yanahatari ya kukivunja chama na kukidhofisha makali yake kama chama kilichojijengea heshima kubwa kwa jamii kuwa ni chama cha kipekee na chenye kusimamia haki daima, msimamo thabiti n.k, walewale walioshauri na kuonya dhidi ya mapatano hayo feki, sasa wanatoka kuhoji kwenye majukwaa huku M/kiti akiwa hana pa kuanzia

Kuna vyama bila watu wenye misimamo dizaini ya Lissu, Kesho asubuhi kinakuwa siyo chama cha upinzani tena bali ni CCM b"

Naomba sana Lissu afukuzwe CHADEMA na Lissu aunde chama Chake na kiwe chama cha watu wenye msimamo wa kama yeye.
Mkuu Chadema sio chama cha Mbowe na akileta ustupid aliopewa huko kwenu dawa ni nikumng'oa kama jino bovu
 
Mimi sipigi kura Bali 2025 ntakuwa mmoja ya wagombea panapo uzima.
Safi sana Mkuu, Ngoja na Mimi nianze mapeeema, kujipendekeza, maana haya mambo bhana, yanafanya watu waishi kiulaini sana bongo

Mungu akutangulie jembe
 
Mkuu Chadema sio chama cha Mbowe na akileta ustupid aliopewa huko kwenu dawa ni nikumng'oa kama jino bovu
Mbowe kawaweza kondoo wake CHADEMA, wenyewe mnaita Demokrasia! ati mna uhuru wa maoni na kutofautiana. Haya.
 
Lisu anapambana hili alipwe fedha za matibabu akishalipwa hizo kazi imeisha hana lolote,Kwa Sasa Lisu amejifunza kuwa alitaka kupoteza maisha kuwapigania wanafiki.Anachotaka alipwe Mpunga wa matibabu afunge mdomo.Kumbuka mtonyo wa matibabu ni mrefu karibia bajeti ya Wizara ya Mama Gwajima.
 
Mnataka Nini ? Nchi mlipewa mkaishia kuua watu na kutesa watz so mtulie tu .

😌🤔🤔🤔😲 Hata Hitler alianza hivyo hivyo akidai Jews ndie wabaya wake. Yaani CHADEMA imeamua kuangamiza Kabila zima la Wasukumu ati Kwasababu za kutifuana kwa kikabila kwenye Chama Chenu....sasa mnataka kuja kufanya kuanza vurugu.

Haya, tunawasubiri kwenye masanduku ya Kura.
 
😌🤔🤔🤔😲 Hata Hitler alianza hivyo hivyo akidai Jews ndie wabaya wake. Yaani CHADEMA imeamua kuangamiza Kabila zima la Wasukumu ati Kwasababu za kutifuana kwa kikabila kwenye Chama Chenu....sasa mnataka kuja kufanya kuanza vurugu.

Haya, tunawasubiri kwenye masanduku ya Kura.
Mkuu, wasukuma hatuna shida nao , lakini msitegemee kurudi ikulu maana mmeharibu Sana Hii nchi na kutesa watu na kuua kubambikia watu kesi na uchafu Mwingi.
 
Back
Top Bottom