Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahaha 🤣 saafi sana! Punguza basi mahaba na CCMSiku inashika uongozi Chadema bado nitakuwa mtanzania Mkuu, vyama vyote vinanihusu isipokuwa ni jeuri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 🤣 saafi sana! Punguza basi mahaba na CCMSiku inashika uongozi Chadema bado nitakuwa mtanzania Mkuu, vyama vyote vinanihusu isipokuwa ni jeuri tu
Naomba ni-tag kwenye hio thread MpwaNi virungu vya Polisi ndio vitampeleka Ikulu, kwa kura haendi ng'o!
- Thread starterKisamv
- Soma hiyo mkuu ndo ujue nimesimamia wapi
Ha ha ha.Sukuma Gang ndiyo mnapiga mayowe kwani hamna nafasi katika kinachoendelea mnaishia kubwekea mitandaoni tu. Chadema kwenye maridhiano ipo na kwenye harakati za kuweka mbinyo field wapo hiyo ndiyo maana ya twanga kotekote. Relax !! Tunawafanyia kazi nzuri kwa mustakabali wa nchi nzima,nyie sukuma Gang msoga Gang wamekwisha kuwa-outsmart tuachieni hii kazi tunaiweza.
Sawa, tunajua kazi yenu ya kuja kuangamiza Kabila la Wasukuma liko mbioni. Hatuta wachagueni nyie CHADEMAnyie sukuma Gang msoga Gang wamekwisha kuwa-outsmart tuachieni hii kazi tunaiweza.
Mnajiangamiza wenyewe kwa tabia zenu.Sawa, tunajua kazi yenu ya kuja kuangamiza Kabila la Wasukuma liko mbioni. Hatuta wachagueni nyie CHADEMA
IQ yake ilishapimwa ikaonekani ni ngapi?TL . sidhani Kama unamjua vizuri huyo Jamaa yupo na IQ kubwa Sana.
Mkuu Chadema sio chama cha Mbowe na akileta ustupid aliopewa huko kwenu dawa ni nikumng'oa kama jino bovuMaridhiano yaliyofanywa kati ya CCM na CHADEMA, kila mwenye akili timamu alijua mwisho wake
Hao wenye akili na macho ya kuona kama kina Lissu, waliuona huo mchezo kwamba, hauna tija wala mwisho mwema katika kuitafuta dola kama chama cha upinzani!
Yale yalikuwa maridhiano ya kuipozesha CHADEMA makali yake na si vinginevyo.
Na hayo, M/kiti chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, alionywa, ila baadhi ya mambo aliyaficha hakuyaweka wazi mbele ya viongozi wenzake kuhusiana na yale yenye msingi. Katika mpatano huo wa vyama hivi viwili CCM na CHADEMA.
Ni yale yale viongozi wenzake ambayo walionya kuwa yanahatari ya kukivunja chama na kukidhofisha makali yake kama chama kilichojijengea heshima kubwa kwa jamii kuwa ni chama cha kipekee na chenye kusimamia haki daima, msimamo thabiti n.k, walewale walioshauri na kuonya dhidi ya mapatano hayo feki, sasa wanatoka kuhoji kwenye majukwaa huku M/kiti akiwa hana pa kuanzia
Kuna vyama bila watu wenye misimamo dizaini ya Lissu, Kesho asubuhi kinakuwa siyo chama cha upinzani tena bali ni CCM b"
Naomba sana Lissu afukuzwe CHADEMA na Lissu aunde chama Chake na kiwe chama cha watu wenye msimamo wa kama yeye.
We know CHADEMA and its members have Vowed to Destroy the Wasukuma Tribe.Mnajiangamiza wenyewe kwa tabia zenu.
We tulia 2025 uje upige kura ndo Kazi yakoIQ yake ilishapimwa ikaonekani ni ngapi?
Hivi tutampigia kura nani hapo chiefWe tulia 2025 uje upige kura ndo Kazi yako
Mnataka Nini ? Nchi mlipewa mkaishia kuua watu na kutesa watz so mtulie tu .We know CHADEMA and its members have Vowed to Destroy the Wasukuma Tribe.
Hivi tutampigia kura nani hapo chief
Safi sana Mkuu, Ngoja na Mimi nianze mapeeema, kujipendekeza, maana haya mambo bhana, yanafanya watu waishi kiulaini sana bongoMimi sipigi kura Bali 2025 ntakuwa mmoja ya wagombea panapo uzima.
Mbowe kawaweza kondoo wake CHADEMA, wenyewe mnaita Demokrasia! ati mna uhuru wa maoni na kutofautiana. Haya.Mkuu Chadema sio chama cha Mbowe na akileta ustupid aliopewa huko kwenu dawa ni nikumng'oa kama jino bovu
Mnataka Nini ? Nchi mlipewa mkaishia kuua watu na kutesa watz so mtulie tu .
Mkuu, wasukuma hatuna shida nao , lakini msitegemee kurudi ikulu maana mmeharibu Sana Hii nchi na kutesa watu na kuua kubambikia watu kesi na uchafu Mwingi.😌🤔🤔🤔😲 Hata Hitler alianza hivyo hivyo akidai Jews ndie wabaya wake. Yaani CHADEMA imeamua kuangamiza Kabila zima la Wasukumu ati Kwasababu za kutifuana kwa kikabila kwenye Chama Chenu....sasa mnataka kuja kufanya kuanza vurugu.
Haya, tunawasubiri kwenye masanduku ya Kura.