Mpaka sasa mitandao ya kijamii imekusaidiaje katika harakati za kupambana na umasikini?

Imenisaidia kupata hili andiko lako
 
Nimekuwa admin wa ma group 3 ya ngono, mawili ya kubet na moja la vichekesho.
 
Nifuatilie na mimi naitwa "Bill Kiwia"
 
Ni ngumu sana kupambana na umasikini nipo zangu napambana na utajiri nzega
 
Ni ngumu sana kupambana na umasikini nipo zangu napambana na utajiri nzega
Mkuu umeniacha njia panda.

Unapambana na utajiri kwa lengo la kuuondoa au Unapambana kuupata?
 
Nimekuwa admin wa ma group 3 ya ngono, mawili ya kubet na moja la vichekesho.
Mkuu naomba kujua muamko wa watu ukoje katika makundi hayo na njia gani unatumia kupiga pesa kupitia makundi hayo?

Hii inaweza kuwa fursa. Tuelimishe mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…