Uchaguzi 2020 Mpaka sasa nafikiria Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe baada ya kuitwa Mrembo

Uchaguzi 2020 Mpaka sasa nafikiria Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe baada ya kuitwa Mrembo

Hakuna sijui mungu acha upuuzi
Dini ni upuuzi wa wa wazungu na waarabu
Afu leo mnajiuliza kwa nini waafrika tumeshikwa na wazungu
Wamekuletea ujinga wao wa kiumbe kipo angani kina moto kitakuchoma
Dini ni mbaya kuliko ccm
Upuuzi mkubwa zaidi ni kusema hakuna Mungu, na usijue hao Wazungu waasisi wa atheism wana maelezo mbadala yapi ya ajabu kuliko. Wengi wenu mmedandia tu kusema hakuna Mungu ila hamjui lolote.
 
Kuna mtu ana mpango wa kuchagua kiongozi mwenye nia ya kubadili misikiti kuwa Sunday schools?
 
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Mbona hakutaja jina LA Askofu Gwajima?
 
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Askofu gwajima yule mzinifu anaekula kondoo?
 
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Labda abebe waumini wake kwa style ya Ccm aka wahutubie
 
Huyo mrembo ana subiri support ya magufuli
Halima kalianzisha mwenyewe!
Hivi kwa mtu anayemfahamu Gwajima anaweza kumuita majina ya dharau/kejeli hivyo?
Ajue wachungaji wana kipaji cha kuongea (asidharau nguvu ya maji)
 
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.

Mimi katika hili nina mtizamo kuwa Mch. Gwajima hatakuwa na muda wa kurudisha personal attacks kwa mshindani wake ambaye tayari ameshaonyesha hofu kubwa na ya wazi kabisa. Ninaamini atajikita zaidi kwenye ilani ya uchaguzi ya chama chake. Kuna watu watatu tu ambao ni vigumu mno kwa wao kushindwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu na anayeongoza kwenye kundi hilo ni Mch. Gwajima. Inawezekana kwa mgombea mwingine yeyote yule kushindwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu, ila si Gwajima. Kwa Gwajima uwezeakano huo haupo!
 
Huyu mzee angejikita kwenye sadaka, mambo ya siasa ni magumu - mtaka mawili kwa pupa...
 
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Kama ataamua kumjibu atapoteza muelekeo
 
Mbowe naona kaamua kuwaachia jumba bovu.
Cjsona kampeni mbovu km hizi za chadema mwaka huu.
Taarifa nilizonazo nikwamba gwajima anaandaa fail la uchafu wte wa halima mdee!
Uchafu wakuanzia utoto mpk hapo alipo.

Hii nivita yakugombania madaraka ndani ya chadema ndio inawaumiza kwa sasa.
Uzinduzi wa kampeni kitaifa kunawatu muhim ndani yachadema hawakuwepo nahawapo mpaka sasa.
1.sugu
2.heche
3.msigwa
4.pr. j
5.pr. A.safari
6.Baregu
Wengine mtaongeza, chama kimetekwa na wachaga na myaturu kichaa.
😂😂😂 Gwajiboy ni habari nyingine, ngoja tusubiri hii Vita, baada ya ile vita yake na makonda.!
 
Mbowe naona kaamua kuwaachia jumba bovu.
Cjsona kampeni mbovu km hizi za chadema mwaka huu.
Taarifa nilizonazo nikwamba gwajima anaandaa fail la uchafu wte wa halima mdee!
Uchafu wakuanzia utoto mpk hapo alipo.

Hii nivita yakugombania madaraka ndani ya chadema ndio inawaumiza kwa sasa.
Uzinduzi wa kampeni kitaifa kunawatu muhim ndani yachadema hawakuwepo nahawapo mpaka sasa.
1.sugu
2.heche
3.msigwa
4.pr. j
5.pr. A.safari
6.Baregu
Wengine mtaongeza, chama kimetekwa na wachaga na myaturu kichaa.
😂😂😂 Gwajiboy ni habari nyingine, ngoja tusubiri hii Vita, baada ya ile vita yake na makonda.!
 
Tuna porn clips za gwajiboy tutazirelease soon
Na nyingine ambazo we huna
Kashifa Kama hizi baado hazijawa na nguvu ya kummaliza mtu kisiasa bongo hii.Au hujui kuwa ngono ndo sehemu kubwa ya maisha kwa wabongo🤔?
 
Back
Top Bottom