Uchaguzi 2020 Mpaka sasa nafikiria Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe baada ya kuitwa Mrembo

Uchaguzi 2020 Mpaka sasa nafikiria Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe baada ya kuitwa Mrembo

Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Ukiijua hiyo tarehe mkuu unitag...
 
Hakuna sijui mungu acha upuuzi
Dini ni upuuzi wa wa wazungu na waarabu
Afu leo mnajiuliza kwa nini waafrika tumeshikwa na wazungu
Wamekuletea ujinga wao wa kiumbe kipo angani kina moto kitakuchoma
Dini ni mbaya kuliko ccm
Uwe unaamini au huamini uwepo wa Mungu hiyo siyo kazi yangu, ni utashi binafsi. Ila kuanza kuandika jina la Mungu kwa herufi kubwa ni hitaji la lazima la kiuandishi kama ilivyo kuanza herufi kubwa unapoandika jina la mtu au la sehemu.
 
Amshukie nani? kashaambiwa Kawe si pahala pa kijifunzia kupaka poda!! ha ha ha
 
Halima kalianzisha mwenyewe!
Hivi kwa mtu anayemfahamu Gwajima anaweza kumuita majina ya dharau/kejeli hivyo?
Ajue wachungaji wana kipaji cha kuongea (asidharau nguvu ya maji)
Wewe kama unamuogopa gwajima baki na uoga wako, usitake kila mmoja awe na uoga ulionao.
 
Mimi katika hili nina mtizamo kuwa Mch. Gwajima hatakuwa na muda wa kurudisha personal attacks kwa mshindani wake ambaye tayari ameshaonyesha hofu kubwa na ya wazi kabisa. Ninaamini atajikita zaidi kwenye ilani ya uchaguzi ya chama chake. Kuna watu watatu tu ambao ni vigumu mno kwa wao kushindwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu na anayeongoza kwenye kundi hilo ni Mch. Gwajima. Inawezekana kwa mgombea mwingine yeyote yule kushindwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu, ila si Gwajima. Kwa Gwajima uwezeakano huo haupo!
Tapeli gwajima amefaulu sana ku manipulate namna yako ya kumfikiria.
 
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Kwani Halima Mdee alimtaja mojakwamoja Gwajima....mbona unamlisha maneno.Nijuavyo wanaogombea ubunge Jimbo la Kawe wako wengi yawezekana alikua anamaanisha wa vyama vingine vinavyogombea pia na siyo huyo unayemtaja kwa jina
 
Wana JF kama kuna siku naingojea kwa hamu kubwa na ambayo namuomba mwenyezi Mungu anijalie nikutwe na afya njema na niwe sehemu ya mkutano huo wa ufunguzi wa kampeni za askofu Gwajima au niwe sehemu ambayo nitaweza kuona mubashara.

Hii shauku imesababishwa na Halima James Mdee kumuita ASKOFU Gwajima mrembo.

Mpaka sasa nafikilia Gwajima atakavyomshukia Halima kama mwewe anavyoshukia kifaranga cha kuku.

Mimi nadhani CCM hakika walifanya utafiti mkubwa kumchagua gwajima jimbo la Kawe, nasikio la kufa halisikii dawa, maana Mdee naona kachokoza nyuki yeye mwenyewe.

Clip ya mgombea wa CHADEMA H. Mdee inasambaa u-tube kwa kasi akimuita Gwajima mrembo na kumfundisha swaga za kitaa.

Mwe mwe mwe...... halima huyu huyu ninaemjua au ametoa wapi huo ujasiri wana JF?

Nawaomba wana JF tupashane siku na tarehe ya ufunguzi wa kampeni wa askofu Gwajima najua itakuwa burudani kama ya SIMBA DAY au ya WANANCHI Dar young Africa, nchi itasimama.

Halimaaa nasikia bishop saivi anakusanya data zako zote tangia ukiwa mtoto.

Usilalamike maana umeanza mwenyewe yangu macho.
Gwajima miuno
 
Nilijua unasubiri kwa hamu sera za Gwajima, kumbe unasubiri mipasho.

Watz bado tuna safari ndefu.
 
Kama ni mtumishi wa Mungu wa kweli anapaswa kutumia Hekima tu ya kutomjibu! Mwenye Hekima hawezi kujibu maneno ya kipumbavu ya Mdee.
Vinginevyo atakuwa kwenye mtego mkali wa kuporomosha matusi kitu ambacho kitazidi kumshushia heshima kwa jamii.
 
Mrembooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusubirie majibu Sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
ndiyo tunataka aropoke ili tuanze kuwaambia wana Kawe kuwa "safari hii CCM imewaletea mtu aliyeigiza sinema za matusi"
 
Kwani anatakiwa amshukie au akatangaze sera. Mm siwezi mpigia kura mtu ambaye hanadi sera anabakia kuleta vijembe.
 
Askofu hatojibu mapigo. Biblia takatifu inasema ukitandikwa kofi shavu la kushoto, unapaswa kugeuza na lipi utandikwe tena. Mtumishi huyu bila shaka analifahamu hili
 
Hakuna sijui mungu acha upuuzi
Dini ni upuuzi wa wa wazungu na waarabu
Afu leo mnajiuliza kwa nini waafrika tumeshikwa na wazungu
Wamekuletea ujinga wao wa kiumbe kipo angani kina moto kitakuchoma
Dini ni mbaya kuliko ccm
Ugomvi wako na Mungu usituingize na sisi mkuu 😂
Tuache tu enjoy uwepo wake
 
Back
Top Bottom