GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Salim Abdallah Try Again, Murtaza Mangungu na Mohammed Dewji endeleeni tu kutuona wana Simba SC ni Wapumbavu ila GENTAMYCINE nawaonyeni kama hatutabeba Makombe ya Ngao ya Jamii, la NBC, la ASFC na kufika Nusu Fainali au Fainali ya Klabu Bingwa ( CAFCL ) au Kubeba Kombe la Shirikisho ( CAFCC ) ndiyo mtanijua GENTAMYCINE ni Msela wa Kitambo.
Mimi nawatizameni mnavyojitekenya na Kutaja Majina ya Wachezaji Wabovu mnaotaka Kuwasajili Simba SC kwa Msimu huu ujao.
Mfano huyu Onana wa nini SSC yetu?
Mimi nawatizameni mnavyojitekenya na Kutaja Majina ya Wachezaji Wabovu mnaotaka Kuwasajili Simba SC kwa Msimu huu ujao.
Mfano huyu Onana wa nini SSC yetu?