Mpaka sasa Taifa Stars ndiyo Team Mbovu zaidi kwenye Afcon

Muda huo moroco anaongoza au bado
 
On target 0 siwezi shangaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240118_061540_FotMob.jpg
    19.9 KB · Views: 2


Na ni jambo jema sana, wacha wafungwe, bora yanga wangecheza, hiyo team si ya ccm, na ikishinda Mama anakuwa kaupiga mwingi!
 
nakataa...
Technically ndio team strong zaidi afconi..

ni mtazamo wa chuki tu japo kuna mahali pa kurekebisha kidogo tu kama ambavyo na mataifa mengine yanarekebisha penye changamoto ndani ya vikosi vyao...


Unajua maana ya neno "technically"?
 
Unajua maana ya neno "technically"?
sio tu technically tupo strong but pia team fitness, spirit, confidence, morale ya wachezaji wa Taifa Stars iko juu sana ajabu ukilinganisha na team za mataifa mengine
 
Halafu umlete nani

Moroco sio wydad wale kumbuka walimtoa chozi ronaldo pale qatar
Ah sasa wakicukuzaga kocha sii wanaleta kocha mwengine.
Tuweke mzawa pale hawa wage i wanachukuwa hela zetu na hamna lolote tunalopata...tunawaneemesha wao na ndugu zao
 
Hizi Match za Congo na Zambia tunapita😀😀😀😀Ili sasa aibu ya Dunia itukute kule 16 Bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…