Halafu umlete naniTufukuze kocha tuu
Naungana na kocha maana ana akili kuliko captainKocha kasema tumekuja kuchukua uzoefu, na captain kasema tumekuja kubeba afcon,
Muda huo moroco anaongoza au badokumbe bado mgeni kwenye mapenzi ee,
yanaumiza na tena yanaua na kuangamiza kabisa....
Ila kwa mechi ya jana ni nuksi tu za a puppet kua uwanjani,
Tayari Morocco walishatepeta kila idara, tulishawadhibiti right left and center na hawakua na la kutufanya ni nuksi tu za yule mjamaa na hakuna jengine 🐒
wanaongoza kwa majeruhi kwasabb ya nuksi za kibaraka sijui ata aliendra kufanya nini uwanjani 🐒Muda huu moroco anaongoza au bado
sure Morocco hawana timu saivi ni kujiangusha tu na kulialia na kuomba huruma za refa lakini timu hakuna na hakuna mahali anaenda this time aroundHakuna timu pale
Sio ujanja ujanja sema ujinga ujingaKwa Tz wanachoweza Watanzani ni Ujanja ujanja tu.
Hakuna Kitu kinachosgindaniwa kwa mazingra huru Tz ikashinda
Kwahiyo wakimbie bila mpira? Maana kumiliki mpira hawaweziNadhani wachezaji wetu wanatakiwa kuanza mazoezi ya riadha kwani hawana mbio kabisa!
Bila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu
Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi.
Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza
UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
View attachment 2874865View attachment 2874893View attachment 2874895
Natumaini watafanya vizuri mechi zinazofuata.... Let us be positive.
Ulijisifu hapa kwamba Lissu kwenda kambini kuhamasisha ili ushindi upatikane? Imekuwaje tena?
nakataa...
Technically ndio team strong zaidi afconi..
ni mtazamo wa chuki tu japo kuna mahali pa kurekebisha kidogo tu kama ambavyo na mataifa mengine yanarekebisha penye changamoto ndani ya vikosi vyao...
Hapo anawaambia kuwa Mama amewapatia nguvu ya kupambana. Rais ametoa hela ya kuwafikisha Ivory Coasy na blah blah nyiiingi.
sio tu technically tupo strong but pia team fitness, spirit, confidence, morale ya wachezaji wa Taifa Stars iko juu sana ajabu ukilinganisha na team za mataifa mengineUnajua maana ya neno "technically"?
Ah sasa wakicukuzaga kocha sii wanaleta kocha mwengine.Halafu umlete nani
Moroco sio wydad wale kumbuka walimtoa chozi ronaldo pale qatar
NakaziaBila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu
Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi.
Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza
UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
View attachment 2874865View attachment 2874893View attachment 2874895
Duuuh !Piga hizo mbwa piga kabisa