Mpaka sasa Umejifunza nini kuhusu Maisha?

Mpaka sasa Umejifunza nini kuhusu Maisha?

Use people as u can do not trust anybody
Hey! Don't use people, instead use money. People have to be loved, not to be used. If you love money you will use people, and if you love people you will use money. The difference between loving people and using money is significant. And a lot of people make this mistake of using people instead of using money.
 
Hey! Don't use people, instead use money. People have to be loved, not to be used. If you love money you will use people, and if you love people you will use money. The difference between loving people and using money is significant. And a lot of people make this mistake of using people instead of using money.
I loved with all my heart but they hurt me a lot so now I will do as they did and I will never stop
 
Wakuu poleni na Majukumu, moja kwa moja kwenye mada .
Binafsi Mpaka sasa nimejifunza haya hapa👇👇
1: Kama hutapambana kufanya kazi kwa bidi kutimiza ndoto zako mwenyewe, kuna mtu atakuajiri na kukupa kusudi.

2: Maisha hayangojei uwe sawa, amka kila siku na uendelee kusonga mbele.


3: Wathamini sana Watu wanaokusema na kukufuatilia Maisha yako

Maana si kazi rahisi Mtu kuacha Matatizo yake na Kuyabeba yako.

4: Kaka jitaidi kuwa Smart, piga pasi na kaperfume kwa mbali.

Kuna wanawake Shida yao ni Mwanaume Smart tu.😀😀

5: Brother Unampenda? Mwambie Akatae yaishe, kuliko kumtumia hizo HEY,HI,Umekula??,Karibu Chai, n.k(be straight to the point)

6: Kuna mpaka ‘’Mabadiliko ya tabia ya Nchi’’ halafu wewe bado unaamini huyo mpenzi wako hawezi badilika??? really😀😀


7: Umri wa Miaka 30 ni Miaka mingi sana Kukaa Ofisini huku ukisubiri kuambiwa ni kipi chakufanya.


8: Maisha ni bora 100% wakati hakuna mtu anajua chochote kukuhusu wewe.

9: Ugali dagaa ni chakula kitamu sana endapo usipozingatia harufu ya pilau kwa jirani yako.

10: Kadri Umri unavyoenda ndio nagundua kwa nini baba alikua hataki kufungulia redio kwa sauti kubwa, jamani KELELE na MADENI haviendani kabisa😀😀

Binafsi nimechelewa sana kujua ukweli kuhusu Maisha, hasa ukitokea kwenye familia inayoamini kwamba ''education is better than Money''
Yaani hata kama kuna fursa ya Kuuza mchicha mtaani basi ukiifanya dharau na kejeli utakazokutana nazo sio za nchi hii.
Je? wewe mpaka sasa umejifunza nini kuhusu maisha????
Nmejifunza maisha ni kitabu chenye kurasa zisizokua na idadi na kila kurasa ya siku ina stori tofauti.
Maumivu, uponyaji, majuto, mapenzi, udanganyifu, wokovu, sintofahamu, kukata tamaa asubui na jion tumain kurejea na kifo
 
Kama ukiwa na mwonekano mzuri ila ukawa na fikra mbovu basi utaumiza mwili kutafuta kipato. Ukiwa na fikra njema hata uwe na mwonekano mbovu basi utatumia akili kula mema
 
1.Nimejifunza mafanikio ya kifedha katika maisha ni 95% bahati & 5 ni jitihada binafsi.ili update hiyo bahati ya kufanikiwa ni lazima Ku take risk no matter what!
2.Tunaishi kijamii plus kiimani kutokana na misingi iliyoweka but yote ni nadharia.
3.Katika huu ulimwengu chochote unachokifahamu ni sawa na tone LA maji kwenye bahari-ulimwengu una siri nyingi sana.
4. Kutokana na kifo nimeona maisha hayana maana kabisa either ni tajiri au masikini.
 
Back
Top Bottom