Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Short cut zipo sana usitegemee uwe kibarua ujenzi au mbeba zege afanye Nazi za zege miaka na miaka eti utakuja kutoboa.1. Maisha hayan Formula
2. Maisha ni kama gwaride, wa mwisho anaweza kuwa wa kwanza na kinyume chake, muda wowote ule
3. Hakuna short cut kwenye maisha
Ni maumivu tu unayapata Bora umwage ugali akimwaga mbogaNimejifunza kukaa kimya ni jibu zuri sn
Na kwanni uishi nao...?
Una against natureNimejifunza kutokumtegemea mtu yeyote
Kweli kabisa mkuu,hata mm nilidhanu katka maisha watu wakaribu watakusaidia nakubeba changamoto zako kama zao kumbe nikinyume kabisa.: Hakuna atakayekuja kubeba majukumu yako mwanzo niliamini watu wa karibu watakusaidia kumbe ilikuwa ni kwa sababu bado nipo chini ya uangalizi wa wazazi(Yani ukipata changamoto wao huibeba) , ukikua hakuna mtu atabeba shida zako (zikabili mwenyewe) rafiki na ndugu watasaidia ila wanakiwango Cha Kikomo Kuna muda wataacha. Ila mtoa Uzi namba 7 umeniacha bana
Kwanini π€£π€£π€£π€£π€£Nimegundua 80% ya wafanyakazi maofisini ni wanafki na WAPUMBAVU.
π€£Hizo ni hasira mkuuNimegundua 80% ya wafanyakazi maofisini ni wanafki na WAPUMBAVU.
Nawaonea Sana huruma Sana vijana wanaingia kwenye mapenzi kazi hawana na demu anataka pesa anaanza kuuza vitu vya ndani kumrizisha demu maisha ni vitu ukipambana mungu atakuonyesha njiaNilikua nashangaa sana mshua akiamka saa 11, siku moja akanambia "itafika kipindi matatizo yako yatakuamsha". Sasa nayaona
πππ"Kadri Umri unavyoenda ndio nagundua kwa nini baba alikua hataki kufungulia redio kwa sauti kubwa, jamani KELELE na MADENI haviendani kabisaππ"
Kwa kweli nina mziki mkubwa lakini kuna muda najikuta tu sitaki kelele.ππππ
Uko sahihi kwahili nnakuunga mkono ktk hili.niwnaafiki nawachawi!Nimegundua 80% ya wafanyakazi maofisini ni wanafki na WAPUMBAVU.