Dogo unaipemda cdm sema uko unafuta maokoto tuumekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je,
uamuzi wa kuishitaki serikali kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti Dr.Samia Suluhu Hassan
Mtaanzisha threads hata milioni. Bora mngewaachia tu wafanye kongamano lao...sasa hivi tungekuwa tumeshaanza kulisahau....miichofanya mmewapa promotion kubwa sana.umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je,
uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
Nayangoja madini mie..!umekasirika ee kuona maswali ya kibabe ya kisiasa
isiondoke, madini yanaendelea kuja, usichoke bas
Kwa viwango vya nyota ***** au nyota tano nimechukuwa mfano wa zile makazi za kifahari zinazotambulika kwa viwango vya kimataifa.Wale wanao waonea wivu na kuwahujumu nawapa *** nyota tatu tena kwa kuwapendelea ili angalao waache upuuzi ili wakue.Kufikia viwango vya washindani wao Chadema.umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je,
uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je,
uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
uwaache akina nani hao?Mtaanzisha threads hata milioni. Bora mngewaachia tu wafanye kongamano lao...sasa hivi tungekuwa tumeshaanza kulisahau....miichofanya mmewapa promotion kubwa sana.
Sema hivii vision less /less vissionary kupuuuza vissionary ni kawaaiida saana.uwaache akina nani hao?
wafanye uhalifu? rwanda walipuuza1994, kenya wakapuuza2007 unafahamu nni kilitokea huko nadhani,
ni ngumu sana kwa vissionary goverments kupuuza kauli au vihatarishi vya kihalifu na kusubiri athari kwanza kama zilizowakumba nchi nilizotaja, ndicho unachomaanisha na kupendelea, right?
no,Chama kilichoshika hatamu muda wake wote wa uhai wa Tanganyika na Tanzania, ajabu kinapambana na chama ambacho hakijawahi hata kuwa na waziri...
Wewe umeajiriwa na Abduli sio?umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je,
uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
Nchi haiwezi endelea chini ya Rais goigoi na kilaza.umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je,
uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan