Ni shetani pekee, katika kiwiliwili cha binaadam kama wewe anaye weza kuwadanganya watoto na mke kwamba anayo kazi inayompa pato kila siku, kumbe kazi yenyewe ni kwenda kuvuruga utulivu wa waTanzania. Kutwa nzima, kila siku, unaaga unakwenda kazini,...kazi ya kwenda kuangamiza watu!Mungu wa Neema na Rehema akuzidishie mapendo, imani na matumaini, daima akuaepushe na Roho ya kukata tamaa na visasa,
apande mbegu ya msamaha na sadaka moyoni mwako, sasa, daima na milele,
Amen 🙏
Kama jambo hulijui, si kwanza jielimishe na ndipo uandike? Wapi Chadema imesema inaishitaki serikali (ingawa hata serikali inaweza kushtakiwa mahakamani)? Ila kwa suala la Chadema kwa yale yaliyosemwa leo na viongozi wa Chadema, hebu dondoa maneno waliyosema "wataishtaki serikali."umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je, uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
ufunikwe na damu takatifu ya Yesu Kristo alie hai katika, ñjozi na usingizi wako wa leo. Malaika walinzi wa Bwana ndani yako wakujalie utulivu na usingizi wa amani,Ni shetani pekee, katika kiwiliwili cha binaadam kama wewe anaye weza kuwadanganya watoto na mke kwamba anayo kazi inayompa pato kila siku, kumbe kazi yenyewe ni kwenda kuvuruga utulivu wa waTanzania. Kutwa nzima, kila siku, unaaga unakwenda kazini,...kazi ya kwenda kuangamiza watu!
Shetani yule yule, ambaye haoni shida kuwadanganya famili juu ya ushetani wake, ni huyo huyo ambaye anawa hadaa siyo familia pekee bali hata waumini wenzake kwenye nyumba ya ibada, kuficha ushetani wake kwa watu, akidhani mungu wake naye anahadaiwa!ufunikwe na damu takatifu ya Yesu Kristo alie hai katika, ñjozi na usingizi wako wa leo. Malaika walinzi wa Bwana ndani yako wakujalie utulivu na usingizi wa amani,
Mungu akulinde usiku huu na akuamshe salama kesho asubuhi..
kwa Jina la Baba Mwana na roho Mtakatifu🙏
100/100umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je, uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
EEEeeenHEEEEeeeee!ufunikwe na damu takatifu ya Yesu Kristo alie hai katika, ñjozi na usingizi wako wa leo. Malaika walinzi wa Bwana ndani yako wakujalie utulivu na usingizi wa amani,
Mungu akulinde usiku huu na akuamshe salama kesho asubuhi..
kwa Jina la Baba Mwana na roho Mtakatifu🙏
Asanti Mungu kwa kunilinda mimi na wangwana wote humu JF,EEEeeenHEEEEeeeee!
Nikujulishe jambo jingine nililo tambua mapema sasa juu yako.
Hiyo dini unakufuru tu, siyo dini yako. Hili nililitambua toka mwanzo kabisa katika kudadisi ushetani wako.
Sasa sijui kama haya ndiyo yatakupa thawabu kwa huyo mungu wako unaye mtanguliza mbele huku ukiwa shetani mkuu.
expectations za kuhurumiwa na wananchi zilikua ngap na imepatikana ngap gentleman?🐒Kwa ushenzi uliofanywa na polisi:
CHADENA wamepata above expectation (tunawapa 100%)
CCM kwa kuwatumia polisi wamepata below expectation (tunawapa 20%).
Samia ameperform below extreme failure (tunampa 12%).
Wenzako wengi tu walijiapiza kupambana na Chadema wewe ni nani mpaka ufanikiwe ? Yani wewe ni wakawaida sana kama jina lako hangaika na Mambo Yako sio hiki chama utapoteaumesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je, uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Kufungua kesi ni muhimu ingawa hata hao CDM wanajua matokeo ya hiyo kesi itakuaje. Kwasababu hata hao majaji na mahakimu wanawategemea Mapolisi hao hao wawalindeumesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je, uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Ok ni chama gani cha siasa kwa upande wako chenye kiwango kikubwa cha kujenga hoja kwa sasa hapa nchini kwetu kinacho izidi CDM?chedema ni miongoni mwa vyama vya upinzani nchini chenye kiwango cha chini sana kwenye ujengaji hoja, ni wabishi na wenye kiwango cha juu sana cha mihemko,
kweli si kweli?
Alama 95% ya ushindi serikali za mitaa na uchaguzi mkuu,5 zinabaki zile za kuporwa fomu na sarakasi za wasimamizi na sarakasi za tume na mwesabu kura atakaye omba msamaha kwa Mungu baada ya kufanya wizi wa kura.Ni shetani pekee, katika kiwiliwili cha binaadam kama wewe anaye weza kuwadanganya watoto na mke kwamba anayo kazi inayompa pato kila siku, kumbe kazi yenyewe ni kwenda kuvuruga utulivu wa waTanzania. Kutwa nzima, kila siku, unaaga unakwenda kazini,...kazi ya kwenda kuangamiza watu!
Mbeleko lenu bovu linaviwango vya chini mithili ya chawa kungunichedema ni miongoni mwa vyama vya upinzani nchini chenye kiwango cha chini sana kwenye ujengaji hoja, ni wabishi na wenye kiwango cha juu sana cha mihemko,
kweli si kweli?
Sasa mtu akikutukana unapiga. Sasa nani atakuwa mwenye haki. Mtu akikutukana mpeleke mahakamani. Kwasababu mtu akikuambiwa wew ni mpumbavu au mwizi linakuwa tusi kama kweli wewe siyo mpumbavu au mwizi lakini ukiteact ata wale walio kuwa wanadhani kuwa wewe siyo mpumbavu au mwizi wanakutilia mashaka.Kuwa huru hakuna maana unaweza kumtukana kiongozi wako. Huwezi kumtukana mwenye nyumba, huwezi kumtukana boss wako anayekulipa mshahara japo unamfanyia kazi. Chadema wafanye siasa sio kutafuta kick wapigwe, wawekwe ndani ndio wapate trend bila hizi kick hawapati coverage. Wako busy kutafuta kura za huruma.
Umeuliza swali ujibiwe au? Na kama una majibu unauliza swali la nn si uandike jibu ili watu wajadili?umesikitishwa na umekatishwa tamaa kwa kiwango gani kwa hadithi, maelezo, simulizi na malalamiko yasiyo na mashiko ya viongozi waandamizi wa chadema?
Je, uamuzi wa kuishitaki serikali mahakamani kisiasa, una faida au hasara kwa Chadema? au ni kupoteza muda, rasilimali na kukosa hoja, mipango, maono na uelekeo wa kisiasa?
serikali za wanadamu zimetoka kwa Mungu,
Mungu Ibariki Tanzania, chini ya Rais madhubuti sana Dr.Samia Suluhu Hassan
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Hoja yako imetia aibu sana! Ungetafakari kwanza kabla ya kupostimepanic eee, au mihemko tu gentleman