Mpaka sasa vifo 40 vimeripotiwa kutokana na mapigo wanayofanya Marekani kwa maslahi ya Iran

Mpaka sasa vifo 40 vimeripotiwa kutokana na mapigo wanayofanya Marekani kwa maslahi ya Iran

Mwaka wako wa furaha huu.. Gaza haijaisha wanakuletea mauwaji mengine,Watabakia wakatoliki watupu duniani sasa au unasimeje Mkenya wewe.

Lazima mliwe na maugaidi ya dini yenu....yaani bado hamjasema.
 
TEHRAN season 3 inatoka lini aisee?
Wasiitoe maana Season 2 walikosa story wakatudanganya. Bora FAUDA itoke maana ilionesha uhalisia wa kinachoendelea sasa hapo Gaza na Israel
 
Ushahidi ukipatikana kwamba Iran kafanya yeye mbona huyo kubwa la magaidi ya dini yenu atafutwa kwenye ramani ya dunia.
Kinachotendeka sasa hivi ni kupiga chochote chenye maslahi ya Iran huko nje maana Iran ilishasema maslahi yake yakiguswa huko nje itafanya kitu, sasa inatafutwa ifanye kitu ili ushahidi wa Iran kuhusika moja kwa moja upatikane.
Unataka ushahidi gani wakati Iran ndio msambaza silaha na mtoa mafunzo kwa wana mgambo hao? ukweli ni kwamba ukiipigia Iran maumivu atakayo kupa huwezi kusahau ndio maana hawawezi kuivamia Iran hata kama wale seneta wanataka
 
Unataka ushahidi gani wakati Iran ndio msambaza silaha na mtoa mafunzo kwa wana mgambo hao? ukweli ni kwamba ukiipigia Iran maumivu atakayo kupa huwezi kusahau ndio maana hawawezi kuivamia Iran hata kama wale seneta wanataka

Narudia
Ushahidi ukipatikana kwamba Iran kafanya yeye mbona huyo kubwa la magaidi ya dini yenu atafutwa kwenye ramani ya dunia.
Kinachotendeka sasa hivi ni kupiga chochote chenye maslahi ya Iran huko nje maana Iran ilishasema maslahi yake yakiguswa huko nje itafanya kitu, sasa inatafutwa ifanye kitu ili ushahidi wa Iran kuhusika moja kwa moja upatikane.
 
Unataka ushahidi gani wakati Iran ndio msambaza silaha na mtoa mafunzo kwa wana mgambo hao? ukweli ni kwamba ukiipigia Iran maumivu atakayo kupa huwezi kusahau ndio maana hawawezi kuivamia Iran hata kama wale seneta wanataka
Hayo ni mawazo yako na uelewa wako, lakini Iran 🇮🇷 kwa Israel 🇮🇱.
Israel akitaka kumuadabisha, anamuadabisha vizuri tuuuu
 
B1- Lancer
FB_IMG_17070543630944376.jpg
 
Hayo ni mawazo yako na uelewa wako, lakini Iran 🇮🇷 kwa Israel 🇮🇱.
Israel akitaka kumuadabisha, anamuadabisha vizuri tuuuu
Israhell ipi ile ya six day war au hii inayopelekewa moto na wajuba yaani wajuba wanawapelekea moto haswa haswa
 
Ushahidi ukipatikana kwamba Iran kafanya yeye mbona huyo kubwa la magaidi ya dini yenu atafutwa kwenye ramani ya dunia.
Kinachotendeka sasa hivi ni kupiga chochote chenye maslahi ya Iran huko nje maana Iran ilishasema maslahi yake yakiguswa huko nje itafanya kitu, sasa inatafutwa ifanye kitu ili ushahidi wa Iran kuhusika moja kwa moja upatikane.
Americant wanaiogopa iran kama kufa yaani
Bora Pakistan ana ubavu wa kupiga iran ila sio Americant
 
Hayo ni mawazo yako na uelewa wako, lakini Iran 🇮🇷 kwa Israel 🇮🇱.
Israel akitaka kumuadabisha, anamuadabisha vizuri tuuuu
Hawezi mzee acha porojo , Iran anajiweza kweli kweli
 
Narudia
Ushahidi ukipatikana kwamba Iran kafanya yeye mbona huyo kubwa la magaidi ya dini yenu atafutwa kwenye ramani ya dunia.
Kinachotendeka sasa hivi ni kupiga chochote chenye maslahi ya Iran huko nje maana Iran ilishasema maslahi yake yakiguswa huko nje itafanya kitu, sasa inatafutwa ifanye kitu ili ushahidi wa Iran kuhusika moja kwa moja upatikane.
Nakuuliza tena unataka ushahidi gani wakati Iran ndio anagawa silaha na kutoa mafunzo kwa hao wanamgambo ? vitu vingine ni vichekesho
 
Nakuuliza tena unataka ushahidi gani wakati Iran ndio anagawa silaha na kutoa mafunzo kwa hao wanamgambo ? vitu vingine ni vichekesho

Narudia
Ushahidi ukipatikana kwamba Iran kafanya yeye mbona huyo kubwa la magaidi ya dini yenu atafutwa kwenye ramani ya dunia.
Kinachotendeka sasa hivi ni kupiga chochote chenye maslahi ya Iran huko nje maana Iran ilishasema maslahi yake yakiguswa huko nje itafanya kitu, sasa inatafutwa ifanye kitu ili ushahidi wa Iran kuhusika moja kwa moja upatikane.
 
Kama isingekuwa intelijensia ya marekani na izrael ungekuta waarabu wameshababilisha dunia kwa mtutu wa bunduki kufuata Imani Yao kwa nguvu. Dini gani hiyo ya kulazimishwa imekuwa dawa?
Shangaa na wewe! Eti ukiwa sio muislamu unachinjwa kuanzia nyuma ya shingo. Yaani mambo yakipumbavu kupita kiasi. Kwani lazma niwe mwislam! si mniache tu niende motoni. Wala sihitaji kabsa hao bikira 72,subulini nyie mfe mkawapige miti hao dada zenu
 
Back
Top Bottom